0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

172. Riyadhu Swalihina Mlango wa Atakaeweka Mwendo mwema au Mbaya Hadithi ya 02


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن ابن مسعودٍ رضي اللَّه عنه أَنَّ النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « ليس مِنْ نفْسٍ تُقْتَلُ ظُلماً إِلاَّ كَانَ عَلَى ابنِ آدمَ الأوَّلِ كِفْلٌ مِنْ دمِهَا لأَنَّهُ كَان أَوَّل مَنْ سَنَّ الْقَتْلَ »    متفقٌ عليه


Kutoka kwa Ibn Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake ya kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: [Hakuna nafsi yeyote inayouliwa kwa dhulma isipokuwa yule mwanadamu wa kwanza atapata sehemu yake ya madhambi kwani yeye ndiye wa kwanza aliyeweka mtindo wa kuuwa.]       [Imepokewa na Bukhari Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.