0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

145. MLANGO WA DUA ANAYOOMBEWA MGONJWA

[باب مَا يُدعى به للمريض]


عن عائشة، رضي اللَّه عنها، أَن النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم كَانَ إِذا اشْتكى الإِنْسانُ الشَّيءَ مِنْهُ، أَوْ كَانَتْ بِهِ قَرْحةٌ أَوْ جُرْحٌ، قَالَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم، بأُصْبُعِهِ هكَذا، وَوَضَعَ سُفْيانُ بْنُ عُييْنَة الرَّاوي سبابتَهُ بِالأَرْضِ ثُمَّ رَفَعَهَا وقال: “بِسْمِ اللَّهِ، تُربَةُ أَرْضِنا، بِرِيقَةِ بَعْضنَا، يُشْفَى بِهِ سَقِيمُنَا، بِإِذْن رَبِّنَا”    متفقٌ عَلَيْهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



144. MLANGO WA KUMTEMBELEA MGONJWA, KUSINDIKIZA MAITI (JENEZA), KUMSWALIA, KUHUDHURIA MAZISHI YAKE NA KUKETI KABURINI MWAKE BAADA YA KUMZIKA


Imepokewwa na Âisha (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesimulia kuwa: “Mtume ﷺ alikuwa wakati mtu anapoumwa, au ana kidonda au jeraha, Mtume ﷺ huashiria kwa kidole chake hivi.” Sufyân bin ‘Uyainah ambaye ni mpokezi (wa Hadîth hii) akakiweka kidole chake cha shahada katika mchanga kisha akakiinua, na akasema: “Bismillâhi turbatu, ardhinâ birîqati ba’dhinâ, yushfâ bihî saqîmunâ, bi-idhni rabbinâ [Kwa Jina la Allâh. Mchanga wa ardhi yetu baadhi yetu waponywe kwa mate ya wenziwao, kwa Idhini ya Mola wetu].”     [ Wameafikiana Bukhârî na Muslimu ].

 


Begin typing your search above and press return to search.