٢١٤- باب فضل قيام ليلة القدْر وبَيان أرجى لياليها
وعن ابنِ عُمر رضِيَ اللَّه عَنهما أَنَّ رِجَالاً مِنْ أَصْحَابِ النَّبِيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم، أُرُوا ليْلَةَ القَدْرِ في المنَامِ في السَّبْعِ الأَواخِرِ، فَقال رسُولُ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم: “ أَرى رُؤيَاكُمْ قَدْ تَواطَأَتْ في السَّبْعِ الأَوَاخِرِ، فَمَنْ كَانَ مُتحَرِّيهَا، فَلْيَتَحرَّهَآ في السبْعِ الأَواخِرِ” متُفقٌ عليهِ
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
214. MLANGO WA FADHILA YA KUSWALI LAILATUL-QADRI NA KUBAINISHA MASIKU YAKE YANAYOTARAJIWA ZAIDI
Imepokewa kutaka kwa ‘Abdullâh bin ‘Umar ( Radhi za Allah ziwe juu yao ) amesimulia: “Watu fulani miongoni mwa Maswahaba wa Mtume ﷺ walionyeshwa Lailatulqadri usingizini katika saba la mwisho. Mtume ﷺ akawaambia: “Naona ndoto zenu zimeafikiana katika saba la mwisho. Basi anayetaka kuutafuta usiku huo, autafute katika saba la mwisho.” [ Wameafikiana Bukhari na Muslim ].