0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

1117. Riyadhu Swalihina Mlango wa Sunna ya Adhuhuri.


١٩٩- باب سُنّة الظهر


 وعَنْ عبدِ اللَّهِ بن السائب رضِيَ اللَّه عَنْهُ أَنَّ رسولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم كانَ يُصَلِّي أَرْبعاً بعْدَ أَن تَزول الشَّمْسُ قَبْلَ الظُّهْرِ، وقَالَ:” إِنَّهَا سَاعَةٌ تُفْتَحُ فِيهَا أَبوابُ السَّمَاءِ، فأُحِبُّ أَن يَصعَدَ لِي فيهَا عمَلٌ صَالِحٌ”   رواه التِّرمِذِيُّ وقالَ: حديثٌ حسنٌ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



199. MLANGO WA SUNNAH YA ADHUHURI


Imepokewa kutika kwa ‘Abdullâh bin as-Sâ-ib (Radhi za Allah ziwe juu yao) amesimulia: “Mtume ﷺ alikuwa akiswali rakaa nne baada ya jua kupinduka kabla ya adhuhuri, na akasema: “Huu ni wakati ambao milango ya mbinguni hufunguliwa. Kwa hivyo mimi napenda amali yangu njema ipande wakati huu.” 

[ Imepokewa na Tirmidhy, na amesema: Hadîth hii ni Hasan Sahîh. ]


Begin typing your search above and press return to search.