١٨٦- باب فضل الأذان
وَعنْ جابرٍ رضَي اللَّه عنْهُ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قَالَ: “مَنْ قَال حِين يسْمعُ النِّداءَ: اللَّهُمَّ رَبَّ هذِهِ الدَّعوةِ التَّامَّةِ، والصَّلاةِ الْقَائِمةِ، آتِ مُحَمَّداً الْوسِيلَةَ، والْفَضَيِلَة، وابْعثْهُ مقَامًا محْمُوداً الَّذي وعَدْتَه، حلَّتْ لَهُ شَفَاعتي يوْم الْقِيامِة” رواه البخاري
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
186 – MLANGO: FADHILA YA ADHANA (KUADHINI)
Imepokewa kutoka kwa Jâbir ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesimulia: “Mtume ﷺ amesema: “Atakayesema baada ya kusikia mwadhini: “Allâhumma rabba hâdhihidda’watittâmmah wassalâtil-qâ-imah âti Muhammadanil wasîlah walfadhîlah wab‘athu maqâmammahmûdanilladhî wa‘attah. [Ewe Mola wa ulinganizi huu uliotimia, na Swala iliosimama, Mpe Muhammad Wasila na fadhila, na umweke katika makamu yenye kusifiwa ambayo Umemuahidi_, atawajibika kupata shafaa yangu Siku ya Qiyama.” [ Imepokewa na Bukhârî.]