0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

1030. Riyadhu Swalihina Mlango wa Fadhila za Udhu


١٨٥- باب فضل الوضوء


وعن أبي هريرةَ رضي اللَّه عنْهُ وعنْهُ أَنَّ رسُولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قَالَ: “أَلا أَدُلُّكُمْ عَلَى مَا يَمْحُو اللَّه بِهِ الخَطَايا، ويرْفَعُ بِهِ الدَّرجاتِ؟ “ قَالُوا: بَلَى يَا رَسُول اللَّهِ، قَالَ: “إِسْباغُ الوُضُوءِ عَلَى المكَارِهِ وكَثْرَةُ الخُطَا إِلَى المساجِدِ، وانْتِظَارُ الصَّلاةِ الصَّلاةِ، فَذلِكُمُ الرِّبَاطُ، فذلِكُمُ الرِّباطُ ”     رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



185. MLANGO WA FADHILA ZA UDHU


Imepokewa kutoka kwa Abû Huraira  ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) Mtume amesema:”  “Je, niwajulishe jambo ambalo, Allâh Hufuta dhambi kwa sababu yake na Hupandisha daraja kwa sababu yake?” Wakasema: “Tujulishe Yâ Rasûlallâh.” Akawaambia: “Kutawadha vizuri wakati wa kuona karaha, kwenda hatua nyingi hadi Msikitini na kuingojea Swala baada ya Swala. Basi (kufanya hayo) ndio kujifunga katika njia ya Allâh.”    [ Imepokewa na Muslim. ]


Begin typing your search above and press return to search.