0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

1016. Riyadhu Swalihina Mlango wa Mahimizo ya kusoma sura na Aya makhsusi


١٨٣- باب الحثِّ عَلَى سور وآيات مخصوصة


وعن أَبي هريرةَ رضيَ اللَّهُ عنهُ أَنَّ رسولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قالَ: “مِنَ القُرْآنِ سُورَةٌ ثَلاثُونَ آيَةً شَفعتْ لِرَجُلٍ حَتَّى  غُفِرَ لَهُ،”  وهِيَ: {تبارَكَ الذِي بِيَدِهِ المُلْكُ} [المُلْكُ: ١]

رواه أَبُو داود والترمذي وقال: حديث حسن

“وفي رواية أَبي داود:  “تَشْفَعُ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



183. MLANGO WA MAHIMIZO YA KUSOMA SURA NA AYA MAKHSUSI


Imepokewa kutoka kwa Abû Huraira ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesimulia: “Mtume  ﷺ amesema: “Katika Qur’âni muna Sura yenye Aya thalathini, zilimwombea mtu mpaka akasamehewa, Sura hiyo ni: Tabârakalladhî biyadihil-Mulk.”      [ Imepokewa na Abû Dâwûd na Tirmidhy, na amesema: Hadîth hii ni Hasan.]


Begin typing your search above and press return to search.