١٨٣- باب الحثِّ عَلَى سور وآيات مخصوصة
وعن أَبي سعيدٍ الخُدْرِيِّ رضيَ اللَّه عنه أنَّ رَجُلاً سمِع رَجُلاً يَقْرَأُ:” {قَلُ هُوَ اللَّه أَحدٌ} [الإخلاص: ١] يُردِّدُها فَلَمَّا أَصْبَحَ جاءَ إِلى رسولِ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم، فَذَكَرَ ذلكَ لَهُ وكَانَ الرَّجُلُ يتَقَالهُّا فَقَالَ رسول الله صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم: “والَّذي نَفْسِي بِيَدِهِ، إِنَّها لَتَعْدِلُ ثُلُثَ الْقُرْآنِ “ رواه البخاري
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
183. MLANGO WA MAHIMIZO YA KUSOMA SURA NA AYA MAKHSUSI
Imepokewa kutoka kwa Abû Sa‘îd al-Khudry ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) alimsikia mtu akisoma “Qulhuwallâhu Ahad,” huku anairudia-rudia. Kulipopambauka, alimwendea Mtume ﷺ akamweleza habari hiyo, na yule mtu alikuwa akiona kuwa kuisoma Sura hiyo ni amali ndogo. Mtume ﷺ akasema: “Naapa kwa Ambaye nafsi yangu imo Mkononi Mwake, Sura hiyo inalingana na thuluthi ya Qur’âni.” [ Imepokewa na Bukhârî.]