١٨٢- باب استحباب تحسين الصَّوت بالقرآن وطلب القراءة من حَسَن الصوت والاستماع لها
وعن أَبي موسى الأشْعَرِيِّ رضيَ اللهُ عنهُ أنَّ رسولَ اللهِ صلى الله عليه وسلم قالَ لهُ: ” لَقَدْ أُوتِيتَ مِزْمَارَاً مِنْ مَزَامِيرِ آلِ دَاوُد” متفقٌ عَلَيْهِ
وفي روايةٍ لمسلمٍ: أنَّ رسولَ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قالَ لهُ: “لَوْ رَأَيْتَنِي وَأَنَا أَسْتَمِعُ لِقِرَاءَتِكَ البارحَةَ”
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
182 MLANGO WA SUNNAH YA KUPENDEKEZWA YA KUIBORESHA SAUTI KATIKA KUISOMA QUR’ẤNI NA KUMTAKA MWENYE SAUTI NZURI AISOME NA KUMSIKILIZA
Imepokewa kutoka kwa Abû Mûsâ al- Ash‘ary ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesimulia: “Mtume ﷺ alimwambia: “Hakika umepewa sauti nzuri kama aliyopewa (Nabii) Dâwûd.” [ Wameafikiana Bukhari na Muslim ] .
Riwaya nyingine ya Muslim imesema: “Lau ungaliniona nami nasikiliza usomaji wako usiku (ungalipendezewa).”