0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

704. Riyadhu Swalihina Mlango WA Sunnah Kwenda Kuswali, Katika Kikao Cha Ilimu Na Mfano Wake Miongoni Mwa Ibada Nyinginezo Kwa Utulivu Na Makini

باب الندب إِلَى إتيان الصلاة والعلم ونحوهما من العبادات بالسكينة والوقار


وعن ابن عباس – رضي الله عنهما -: أنَّهُ دَفَعَ مَعَ النَّبيِّ – صلى الله عليه وسلم – يَوْمَ عَرَفَةَ فَسَمِعَ النبيُّ – صلى الله عليه وسلم – وَرَاءهُ زَجْراً شَديداً وَضَرْباً وَصَوْتاً للإِبْلِ، فَأشَارَ بِسَوْطِهِ إلَيْهِمْ، وقال: {يَا أيُّهَا النَّاسُ، عَلَيْكُمْ بالسَّكِينَةِ، فَإنَّ الْبِرَّ لَيْسَ بالإيضَاعِ}     رواه البخاري، وروى مسلم بعضه

{الْبِرُّ}: الطَّاعَةُ. وَ{الإيضَاعُ} بِضادٍ معجمةٍ قبلها ياءٌ وهمزةٌ مكسورةٌ، وَهُوَ: الإسْرَاعُ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa na Abdullâh bin ‘Abbâs (Radhi za Allah ziwe juu yao) amesimulia kuwa, yeye aliteremkia ‘Arafa pamoja na Mtume (ﷺ) . Mtume (ﷺ) akasikia nyuma yake kelele nyingi, mapigo na sauti za ngamia. Akawaashiria kwa fimbo yake na akawaambia: “Enyi watu, fanyeni utulivu, hakika ibada sio kufanya haraka.”    [ Imepokewa na Bukhârî.]


Begin typing your search above and press return to search.