0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

543. Riyadhu Swalihina Mlango Wa ukarimu ufadhili na Kutoa katika njia za kheri kwa kumwamini Allah …..

باب الكرم والجود والإنفاق في وجوه الخير ثقةً بالله تعالى


وعن ابن مسعود – رضي الله عنه -، عن النبيِّ – صلى الله عليه وسلم -، قَالَ: { لا حَسَدَ إِلاَّ في اثْنَتَيْنِ: رَجُلٌ آتَاهُ اللهُ مَالاً، فَسَلَّطَهُ عَلَى هَلَكَتِهِ في الحَقّ، وَرَجُلٌ آتَاهُ اللهُ حِكْمَةً، فَهُوَ يَقْضِي بِهَا ويُعَلِّمُهَا}     متفقٌ عَلَيْهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa ‘Abdullâh bin Mas‘ûd (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesimulia: “Mtume ﷺ amesema: “Hakuna wa kuonewa wivu ila watu wawili: mtu aliepewa mali na Allâh, akaitumia katika kuitoa katika haki, na mtu aliepewa hekima na Allâh, akawa anahukumu kwayo na anaifundisha.”          [ Wameafikiana Bukhari na Muslim  ].

Begin typing your search above and press return to search.