0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

534. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Ukinaifu, Kujizuiya Kuomba Kufanya Iktisadi Katika Maisha….

باب القناعة والعَفاف والاقتصاد في المعيشة والإنفاق وذم السؤال من غير ضرورة


وعن ثوبان – رضي الله عنه -، قَالَ: قَالَ رسول الله – صلى الله عليه وسلم –: { مَنْ تَكَفَّلَ لِي أنْ لاَ يَسْأَلَ النَّاسَ شَيْئاً، وَأتَكَفَّلُ لَهُ بِالْجَنَّةِ؟} فقلتُ: أنَا، فَكَانَ لاَ يَسْأَلُ أحَداً شَيْئاً. ر     واه أَبُو داود بإسناد صحيح


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Thawbân (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: “Mtume ﷺ  aliuliza: “Ni nani atakayenidhaminia mimi kuwa hatawaomba watu chochote nami nimdhaminie Pepo?” Nikajibu: “Mimi.” [Mpokezi anaeleza:_ Akawa hamuombi yeyote chochote.”     [ Imepokewa na Abû Dâwûd, isnadi yake ni Sahîh.

Begin typing your search above and press return to search.