0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

528. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Ukinaifu, Kujizuiyz Kuomba Kufanya Iktisadi Katika Maisha….

باب القناعة والعَفاف والاقتصاد في المعيشة والإنفاق وذم السؤال من غير ضرورة


وعن أَبي عبدِ الرحمان عوف بن مالِك الأَشْجَعِيِّ – رضي الله عنه -، قَالَ: كُنَّا عِنْدَ رسول الله – صلى الله عليه وسلم – تِسْعَةً أَوْ ثَمَانِيَةً أَوْ سَبْعَةً، فَقَالَ: { ألاَ تُبَايِعُونَ رسولَ الله – صلى الله عليه وسلم -} وَكُنَّا حَديثِي عَهْدٍ ببَيْعَةٍ، فَقُلْنَا: قَدْ بَايَعْنَاكَ يَا رسولَ اللهِ، ثمَّ قالَ: {ألا تُبَايِعُونَ رسولَ اللهِ} فَبَسَطْنا أيْدينا، وقلنا: قدْ بايعناكَ فَعَلامَ نُبَايِعُكَ؟ قَالَ: { عَلَى أنْ تَعْبُدُوا اللهَ وَلاَ تُشْرِكُوا بِهِ شَيْئاً، وَالصَّلَوَاتِ الخَمْسِ وَتُطِيعُوا الله} وأَسَرَّ كَلِمَةً خَفِيفَةً { وَلاَ تَسْألُوا النَّاسَ شَيْئاً} فَلَقَدْ رَأيْتُ بَعْضَ أُولئِكَ النَّفَرِ يَسْقُطُ سَوطُ أحَدِهِمْ فَمَا يَسأَلُ أحَداً يُنَاوِلُهُ إيّاهُ.     رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû Abdirrahmân, ‘Awf bin Mâlik al-Ashja‘iy (Radhi za Allah ziwe juu yake) amehadithia: “Tulikuwa na Mtume watu tisa au wanane au watu saba. Akatwambia: “Si mumbai Mtume ” na tulikuwa tumembai karibuni, tukamwambia: “Tumeshakubai Yâ Rasûlallâh.” Akasema: “Si mumbai Mtume ” Tukainyosha mikono yetu, tukasema: “Tumekubai Yâ Rasûlallâh, tukubai juu ya jambo gani?” Akatwambia: “Juu ya kwamba, mtamwabudu Allâh wala hamutamshirikisha kwa chochote, kuswali Swala tano na mumtii Allâh,” na akasema neno moja kwa sauti ya chini: “Wala msiwaombe watu chochote.” Hakika niliwaona baadhi ya wale waliobai, mmoja wao anaponyokwa na fimbo wala hamuombi yeyote ampatie.]   [ Imepokewa na Muslim ]

Begin typing your search above and press return to search.