0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

516. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Fadhila Ya Njaa, Maisha Ya Chini Kutosheka Kwa Vichache Katika Vyakula…..

 باب فضل الجوع وخشونة العيش والاقتصار عَلَى القليل من المأكول والمشروب والملبوس وغيرها من حظوظ النفس وترك الشهوات


وعن أَبي أُمَامَة إياسِ بن ثعلبةَ الأَنْصَارِيِّ الحارثي – رضي الله عنه -، قَالَ: ذَكَرَ أصْحَابُ رسول الله – صلى الله عليه وسلم – يَوماً عِنْدَهُ الدُّنْيَا، فَقَالَ رسول الله – صلى الله عليه وسلم -: {ألاَ تَسْمَعُونَ؟ ألاَ تَسْمَعُونَ؟ إنَّ البَذَاذَةَ مِنَ الإِيمَانِ، إنَّ البَذَاذَةَ مِنَ الإِيمَانِ} يَعْنِي: التَّقَحُّلَ.     رواهُ أَبو داود


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû Umâmah, Iyâs bin Tha’labah al-Ansâry al-Hârithy (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: “Siku moja Maswahaba wa Mtume ﷺ waliitaja dunia mbele yake. Mtume ﷺ  akasema: “Hamnisikilizi? Hamnisikilizi? Hakika uchakavu ni katika imani, hakika uchakavu ni katika imani.” Yaani: mtu mwenye ngozi yabisi kutokana na maisha duni.    [ Imepokewa na Abuu Dawuud.]

Begin typing your search above and press return to search.