0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

468. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Fadhila Ya Kuipa Mgongo Dunia, Mahimizo Ya Kuwa Nao Kwa Uchache Na Fadhila Ya Ufukara.

باب فضل الزهد في الدنيا والحث عَلَى التقلل منها وفضل الفقر


وعن أَبي هريرة – رضي الله عنه، -، قَالَ: لَقَدْ رَأيْتُ سَبعِينَ مِنْ أهْلِ الصُّفَّةِ، مَا منهُمْ رَجُلٌ عَلَيْهِ رِدَاءٌ: إمَّا إزارٌ، وَإمَّا كِسَاءٌ، قَدْ رَبَطُوا في أعنَاقِهِمْ، فَمِنْهَا مَا يَبْلُغُ نِصْفَ السَّاقَيْن، وَمِنْهَا مَا يَبْلُغُ الكَعْبَيْنِ، فَيَجْمَعُهُ بِيَدِهِ كَراهِيَةَ أنْ تُرَى عَوْرَتُهُ. رواه البخاري


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka Abû Abû Huraira (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: “Mtume amesema: [ “Nimewaona watu sabiini miongoni mwa watu wa Suffa, hakuna kati yao aliyekuwa na shuka, ima kuna mwenye kikoi au mwenye kitambaa, wamejitatia shingoni mwao, katika nguo hizo muna zifikazo katikati ya miundi kuna na zinazofika katika vifundo vya miguu, basi hapo mtu akiishika kwa mkono wake kwa kuchelea asije akaonekana uchi wake.”]    [ Imepokewa na Bukhari .]


Begin typing your search above and press return to search.