{"id":7472,"date":"2021-06-25T13:03:45","date_gmt":"2021-06-25T13:03:45","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=7472"},"modified":"2022-09-14T09:11:46","modified_gmt":"2022-09-14T09:11:46","slug":"kutumia-mbinu-za-mateso","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/kutumia-mbinu-za-mateso\/","title":{"rendered":"KUTUMIA MBINU ZA MATESO"},"content":{"rendered":"<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 18pt; color: #0000ff; font-family: terminal, monaco;\">AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM<\/span><\/p>\n<hr \/>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Mushrikina walitumia mbinu mbalimbali ambazo <span style=\"font-size: 18.6667px;\">tumezitaja kwa lengo la kutaka kuuzuia wito wa Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span><span style=\"font-size: 18.6667px;\">\u00a0baada ya kudhihiri kwake, mwanzoni mwa mwaka wa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">nne wa Utume. Waliendelea na harakati zao hizo majuma na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">miezi na hali ya kuwa wamebaki na mbinu hizo tu, hawana\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">uwezo wa kubuni nyingine. Waliendelea kushikilia njia za\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ukandamizaji na kuadhibu. Walipoona kuwa mbinu hizi\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">haziwaletei manufaa yoyote katika kuuzuia wito wa Kiislamu,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">walikutana tena kwa mara nyingine; safari hii wakaunda\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kamati, iliyokuwa na wajumbe ishirini na watano (25),\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">miongoni mwa mabwana wa Kikuraishi. Kiongozi wao\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">alikuwa <span style=\"color: #ff6600;\">Abu Lahab<\/span> ammi ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff;\">\ufdfb<\/span>\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">. Kamati ikaamua kuwa juhudi za kuupinga Uislamu\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ziongezwe, waendelee kumuudhi Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span> na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuwaadhibu wote watakaomfuata na kuingia katika Dini\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">yake, na kuwatayarishia kila aina ya mateso na maumivu.\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Wakaazimia kuyatekeleza hayo dhidi ya Waislamu, hasa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">wale waliokuwa wanyonge miongoni mwao, maana hilo\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ilikuwa jambo jepesi kwao.\u00a0<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Ama kwa upande wa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span><span style=\"font-size: 18.6667px;\">\u00a0mambo yalikuwa tofauti kabisa, kwani alikuwa ni\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mwenye haki yenye busara na utukufu, mwenye shakhsia ya\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kipekee, marafiki na maadui wote walikuwa wakimuheshimu\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">sana, kwa sifa ya kuwa haitabiriwi mfano wa shakhsia hiyo\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">isipokuwa kwa heshima na utukufu, na hakuna aliyethubutu\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kumfanyia mambo yaliyoduni na maovu isipokuwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">aliyekuwa duni miongoni mwa watu na mjinga wao. Pamoja\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">na ukweli huu, pia alikuwa katika dhamana ya Abu Twalib,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">na<span style=\"color: #ff6600;\"> Abu Twalib<\/span> alikuwa ni mmoja kati ya watu wachache wa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Makka mwenye kuheshimiwa sana miongoni mwa watu na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kutukuzwa. Hakukuwa na mtu aliyeweza kuthubutu kufanya\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ujasiri wa kuvunja dhamana au himaya yake. Kwa hakika hali\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">hii iliwakera mno Makuraishi, iliwafanya wasimame na wakae\u00a0<span style=\"font-size: 14pt;\">Subira iliwashinda. Wakazidisha uadui dhidi ya Mtume<span style=\"color: #008000;\"> \ufdfa<\/span><span style=\"font-size: 18.6667px;\">\u00a0wakiongozwa na <span style=\"color: #ff6600;\">Abu Lahab<\/span>. Kwani Abu Lahab\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">alikuwa ameutangaza msimamo wake huu dhidi ya Mjumbe\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">wa Mwenyezi Mungu <span style=\"font-size: 18.6667px;\">\ufdfa<\/span> kuanzia siku ya kwanza hata\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kabla Makuraishi hawajakusudia kufanya hivyo. Tumekwisha\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">taja baadhi ya mambo ambayo aliwahi kumfanyia Mtume<span style=\"color: #008000;\"> \ufdfa<\/span><span style=\"font-size: 18.6667px;\">, katika baraza la Banu Hashim, na lile ambalo alilifanya\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">katika mlima wa Swafaa.\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">wakiwaza, mpaka lini wataendelea kuwa na subira hii ndefn,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mbele ya Da&#8217;wa ambayo ilikuwa inaumaliza ukubwa wao wa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kidini na uongozi wao wa kidunia? *<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<hr \/>\n<p><em><span style=\"font-size: 12pt; color: #ff6600;\">* Arraheeq Al Makhtum Uk. 145<\/span><\/em><\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM Mushrikina walitumia mbinu mbalimbali ambazo tumezitaja kwa lengo la kutaka kuuzuia wito wa Mtume \ufdfa\u00a0baada ya kudhihiri kwake, mwanzoni mwa mwaka wa\u00a0nne wa Utume. Waliendelea na harakati zao hizo majuma na\u00a0miezi na hali ya kuwa wamebaki na mbinu hizo tu, hawana\u00a0uwezo wa kubuni nyingine. Waliendelea kushikilia njia za\u00a0ukandamizaji na kuadhibu. Walipoona kuwa mbinu [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15476,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-7472","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sera-ya-mtume"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7472","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=7472"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7472\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15525,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7472\/revisions\/15525"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15476"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=7472"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=7472"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=7472"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}