{"id":7468,"date":"2021-06-25T13:03:47","date_gmt":"2021-06-25T13:03:47","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=7468"},"modified":"2022-09-14T11:52:41","modified_gmt":"2022-09-14T11:52:41","slug":"mbinu-za-kuwazuia-mahujaji-na-dawa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/mbinu-za-kuwazuia-mahujaji-na-dawa\/","title":{"rendered":"MBINU ZA KUWAZUIA MAHUJAJI NA DA&#8217;WA"},"content":{"rendered":"<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 18pt; color: #0000ff; font-family: terminal, monaco;\">AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Katikati ya masiku haya, Makuraishi walishughulishwa na jambo jingine, nalo ni kuwa msimu wa Hijja ulikuwa ukikaribia na Makuraishi walikuwa wakielewa kuwa makundi ya Waarabu yatawasili kama ilivyokuwa ada, nao walikuwa wakikhofu juu ya wao kufikishiwa ujumbe, na kwa sababu hiyo wakaona hakuna njia isipokuwa ni lazima pawe na maneno maalumu ambayo watayasema dhidi ya Muhammad <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>, ili Da&#8217;wa yake isiwe na athari yoyote\u00a0katika nafsi za Waarabu.<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Makuraishi walikusanyana kwa AI-Walid bin Al- <span style=\"font-size: 18.6667px;\">Mughirah kwa ajili ya kujadiliana kuhusu maneno ambayo\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">watayasema ili kufanikisha azma yao.<\/span><\/span><br \/>\n<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Al-Walid akawaeleza, katika jambo hili mnatakiwa <span style=\"font-size: 18.6667px;\">kukubaliana na rai moja na msitofautiane kwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kukadhibishana wenyewe kwa wenyewe. Wakamtaka atoe rai\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">yake kwanza, naye akawaambia kuwa waseme wao kwanza\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">rai waliyonayo, wakasema: &#8216;Tutawaambia watu kuwa yeye ni\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuhani&#8217;, Akasema: &#8216;Hapana, Ninaapa kwa jina la Mwenyezi\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Mungu <span style=\"font-size: 18.6667px; color: #008000;\">\ufdfb<\/span> yeye si kuhani, kwa hakika tumewahi kuwaona\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">makuhani, na maneno yake hayana sifa za kikuhani, kwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">namna yalivyo na mpangilio\u00a0<span style=\"font-size: 14pt;\">mzuri.&#8217;\u00a0<span style=\"font-size: 14pt;\">Wakasema: &#8216;Tutasema\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuwa yeye ni mwendawazimu.&#8217; Al- Walid akasema: &#8216;Hatuwezi\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kudai kuwa &#8216;yeye ni mwenda wazimu, kwani tumewahi\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuuona uwendawazimu na kuuelewa, hatuwezi kuaminika\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwa maelezo hayo.&#8217; Wakasema: &#8216;Tutawaeleza watu kuwa ni\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mshairi.&#8217; Akasema, &#8216;Hapana yeye si mshairi, kwa hakika\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">tunayajua mashairi yote, naye msamiati wake sio wa kishairi,<span style=\"font-size: 18.6667px;\">hapana vina, mizani wala muwala (Hivi ni baadhi ya\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">vipengele vya mashairi ya Kiarabu), hivyo Muhammad\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">hawezi kuwa mshairi.&#8217; Wakasema: &#8216;Tutasema yeye ni\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">hawezi kuwa mshairi.&#8217; Wakasema: &#8216;Tutasema yeye ni\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mchawi.&#8217; Akasema, &#8216;Hapana yeye si mchawi, kwani sisi\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">tumekwisha kuwaona wachawi wangapi? na uchawi wao\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">haukuwa kitu isipokuwa upuliziaji na ufungaji wa mafundo.\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Wao sasa wakahoji: &#8216;Tuseme nini basi?&#8217; Akasema; &#8220;Ninaapa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwa Jina la Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #008000;\">\ufdfb <\/span>kwa hakika maneno\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">yake ni matamu na kwa hakika shina lake lina rutuba, na kwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">hakika tawi lake lina matunda, na nyinyi hamuwezi kusema\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">chochote isipokuwa watu watafahamu kuwa hilo ni batili.&#8221;\u00a0<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><br \/>\n<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 18.6667px;\">Kwa hakika maneno yaliyokaribu na jambo hilo ambayo\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mnaweza kuyasema ni kusema kuwa ni mchawi, amekuja na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">maneno ambayo ni uchawi wa kutenganisha mtu na baba\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">yake, kati ya mtu na ndugu yake, kati ya mtu na mke wake na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kati ya mtu na jamaa zake. Wakatawanyika kutoka kwake,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">wakiwa wamekubaliana juu ya hayo.<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><br \/>\n<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Baadhi ya mapokezi yanafahamisha kuwa baada ya AI- <span style=\"font-size: 18.6667px;\">Walid kuyakataa yote waliyopendekeza, walimtaka awatajie\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">maoni yake ambayo yangewafaa katika shaurillile, hapo ndipo\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">alipowaambia wampe muda mpaka kwanza afikiri. -Al-Walid\u00a0<span style=\"font-size: 14pt;\">alifikiri kitambo na mwisho ndio akaja na rai ambayo tayari\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">tumekwisha itaja.\u00a0<span style=\"font-size: 12pt;\">(1)<\/span><\/span><br \/>\n<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><br \/>\n<span style=\"font-size: 14pt;\">Kuhusu Al-Walid, Mwenyezi Mungu\u00a0<span style=\"color: #0000ff;\"><span style=\"color: #008000;\">\ufdfb<\/span>\u00a0<\/span> <span style=\"font-size: 18.6667px;\">Ameteremsha aya kumi na sita katika Surati Al-Muddathir\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kutokea aya ya 18 &#8211; 25 na ndani ya aya hizo Ameonyesha sura\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ya namna ya kufikiri kwake, kwa Kusema:<\/span><\/span><\/span><br \/>\n<\/span><\/p>\n<p style=\"text-align: right;\"><span style=\"font-size: 14pt; color: #008000;\">\u0625\u0650\u0646\u0651\u064e\u0647\u064f \u0641\u064e\u0643\u0651\u064e\u0631\u064e \u0648\u064e\u0642\u064e\u062f\u0651\u064e\u0631\u064e \u0641\u064e\u0642\u064f\u062a\u0650\u0644\u064e \u0643\u064e\u064a\u0652\u0641\u064e \u0642\u064e\u062f\u0651\u064e\u0631\u064e\u00a0 \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0642\u064f\u062a\u0650\u0644\u064e \u0643\u064e\u064a\u0652\u0641\u064e \u0642\u064e\u062f\u0651\u064e\u0631\u064e\u00a0 \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0646\u064e\u0638\u064e\u0631\u064e\u00a0 \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0639\u064e\u0628\u064e\u0633\u064e \u0648\u064e\u0628\u064e\u0633\u064e\u0631\u064e\u00a0 \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0623\u064e\u062f\u0652\u0628\u064e\u0631\u064e \u0648\u064e\u0627\u0633\u0652\u062a\u064e\u0643\u0652\u0628\u064e\u0631\u064e\u00a0 \u0641\u064e\u0642\u064e\u0627\u0644\u064e \u0625\u0650\u0646\u0652 \u0647\u064e\u0670\u0630\u064e\u0627 \u0625\u0650\u0644\u0651\u064e\u0627 \u0633\u0650\u062d\u0652\u0631\u064c \u064a\u064f\u0624\u0652\u062b\u064e\u0631\u064f\u00a0 \u0625\u0650\u0646\u0652 \u0647\u064e\u0670\u0630\u064e\u0627 \u0625\u0650\u0644\u0651\u064e\u0627 \u0642\u064e\u0648\u0652\u0644\u064f \u0627\u0644\u0652\u0628\u064e\u0634\u064e\u0631\u0650<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em><span style=\"font-size: 14pt;\">[Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!Kisha akatazama,Kisha akakunja kipaji, na akanuna.Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.]<\/span><\/em><br \/>\n<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Baada- ya baraza kukubaliana kuhusu maamuzi haya <span style=\"font-size: 18.6667px;\">waliingia katika kuyatekeleza. Walichofanya ni kukaa katika\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">njia inayopitwa na watu wengi wakati wa msimu wa Hijja, na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">walikuwa hapiti mtu yeyote katika njia hiyo isipokuwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">walimtahadharisha kuhusu Mtume <span style=\"color: #008000; font-size: 18.6667px;\">\ufdfa<\/span> na kumtajia\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mambo yake.<span style=\"font-size: 12pt;\">(1)<\/span> Kiongozi wa jambe hilo alikuwa Abu Lahab.\u00a0<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><br \/>\n<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Mjumbe wa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #008000; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb <\/span>alikuwa na tabia ya <span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuwafuata watu majumbani mwao, katika soko la &#8216;Ukadha,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\"><em>Mijannnah na Dhil Majazi<\/em>, wakati wa msimu wa Hijja na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuwaita kwa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #008000; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span>. Abu Lahab alikuwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">akimfuata nyuma yake huku akisema; &#8216;Msimtii, huyu\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ameacha dini ya wazazi wake na ni mrongo.<span style=\"font-size: 12pt;\">(2)<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><br \/>\n<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\"><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><span style=\"font-size: 18.6667px;\">Hatua hii\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">iliwafanya Waarabu kuondoka na ujumbe wa Mtume wa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #008000; font-size: 18.6667px;\">\ufdfa<\/span> kutoka katika msimu huo na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ukaenea utajo wake katika miji ya yote ya Waarabu.<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><span style=\"font-size: 14pt;\"><br \/>\n<\/span><\/p>\n<hr \/>\n<p><span style=\"font-size: 12pt; color: #ff6600;\"><em>1) Ibn Hisham, Juzuu 1, Uk. 275.<\/em><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600; font-size: 12pt;\"><em>2)\u00a0Ahmad, Juzuu 3, Uk. 492; Juzuu 4, Uk. 341.<\/em><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\"><em><span style=\"font-size: 12pt;\">2) Arraheeq Al Makhtum Uk 136<\/span><\/em><br \/>\n<\/span><\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM Katikati ya masiku haya, Makuraishi walishughulishwa na jambo jingine, nalo ni kuwa msimu wa Hijja ulikuwa ukikaribia na Makuraishi walikuwa wakielewa kuwa makundi ya Waarabu yatawasili kama ilivyokuwa ada, nao walikuwa wakikhofu juu ya wao kufikishiwa ujumbe, na kwa sababu hiyo wakaona hakuna njia isipokuwa ni lazima pawe na maneno maalumu ambayo watayasema [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15476,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-7468","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sera-ya-mtume"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7468","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=7468"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7468\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15659,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7468\/revisions\/15659"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15476"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=7468"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=7468"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=7468"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}