{"id":7466,"date":"2021-06-25T13:03:48","date_gmt":"2021-06-25T13:03:48","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=7466"},"modified":"2022-09-14T09:02:48","modified_gmt":"2022-09-14T09:02:48","slug":"msimamo-wa-makuraish-juu-ya-ulinganizi-wa-mtume-%ef%b7%ba","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/msimamo-wa-makuraish-juu-ya-ulinganizi-wa-mtume-%ef%b7%ba\/","title":{"rendered":"MSIMAMO WA MAKURAISH JUU YA ULINGANIZI WA MTUME \ufdfa"},"content":{"rendered":"<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 18pt; color: #0000ff; font-family: terminal, monaco;\">AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM<\/span><\/p>\n<hr>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Makuraishi walibaini kuwa kwa mafundisho hayo nafasi <span style=\"font-size: 18.6667px;\">ya baadhi ya watu kujiona kuwa ni bora kuliko wengine, au&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwa msemo mwingine, kuondolewa kwa ubwana na utwana,&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">tabia iliyokuwa imezoeleka sana na Waarabu wakati huo,&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">lilikuwa ni jambo gumu kukubalika. Walitakiwa kufuata&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">muundo wa Dini mpya na kutekeleza mambo yanayoridhiwa&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">na Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff;\">\ufdfb<\/span> na Mtume Wake. Walitakiwa pia&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kujizuia na mambo ya dhulma, kwa namna yoyote ile, na&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">maovu mengine waliyokuwa wakiyatenda asubuhi na jioni.&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Walikuwa wameelewa vizuri athari ya mafundisho hayo,&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">lakini nafsi zao zilikuwa zinakataa kuikubali hali hiyo na kwa&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mtizamo wao waliona kuwa ni hali inayoondosha utukufu&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">wao kwa sababu hapakuwa na kheri yoyote kwao.&nbsp;<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 14pt; color: #008000;\">{\u0628\u064e\u0644\u0652 \u064a\u064f\u0631\u0650\u064a\u062f\u064f \u0627\u0644\u0652\u0625\u0650\u0646\u0633\u064e\u0627\u0646\u064f \u0644\u0650\u064a\u064e\u0641\u0652\u062c\u064f\u0631\u064e \u0623\u064e\u0645\u064e\u0627\u0645\u064e\u0647\u064f}<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\"><em><span style=\"color: #0000ff;\">[Lakini mtu anataka tu kuyakataa yaliyo mbele yake (ili <\/span><\/em><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><em><span style=\"color: #0000ff;\">ajipe moyo kuuia hakuna kitu huko Akhera, azidi kufanya&nbsp;<\/span><\/em><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><em><span style=\"color: #0000ff;\">maovu).]<\/span><\/em>&nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #0000ff;\">[75:5.]&nbsp;<\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Waliyaelewa yote hayo vizuri sana isipokuwa walikosa <span style=\"font-size: 18.6667px;\">jambo la kufanya mbele ya mtu waliyekwisha mpa sifa ya&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuwa mkweli mwaminifu, aliyekuwa mfano wa hali ya juu&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kabisa katika maadili ya kibinaadamu, na katika kuwa na&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">tabia nzuri hawajawahikuona mfano wake kwa kipindi kirefu&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">katika historia za mababa zao na mataifa mbalimbali&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">waliyokuwa wakiyajua. Walikuwa hawajui la kufanya.&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Wafanye nini sasa? Walikwama katika hilo na walikuwa na&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">haki ya kukwama.&nbsp;<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Baada ya majadiliano marefu, hawakuona njia isipokuwa <span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwenda kwa ammi yake Abu Twalib na kumwomba arnzuie&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mtoto wa ndugu yake kueneza yale aliyokuwa akiyaeneza. Ili&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">maombi yao yakubalike na kuonekana kuwa yanafaa, ya&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ukweli na uhakika waliona ni bora wakaseme maneno&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">yafuatayo: &#8216;Kwa hakika mafunzo anayoyatoa kwa watu ili&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">waiache miungu ye tu, na kusema kwake kuwa miungu hiyo&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">haina manufaa na haina uwezo wowote ni matusi makubwa&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">na ni udhalilishaji mkubwa wa miungu ye tu, na maana yake&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ni kuwafanya baba na babu zetu kuwa ni wapumbavu na&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwamba kwa kufuata imani hiyo, tumepotea.&#8217; Hii ndio njia&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">waliyoiona inafaa kufuatwa na maneno ya kusemwa.*<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<hr>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\"><em><span style=\"font-size: 10pt;\">*Arraheeq Al Makhtum 131-132<\/span><\/em><\/span><\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM Makuraishi walibaini kuwa kwa mafundisho hayo nafasi ya baadhi ya watu kujiona kuwa ni bora kuliko wengine, au&nbsp;kwa msemo mwingine, kuondolewa kwa ubwana na utwana,&nbsp;tabia iliyokuwa imezoeleka sana na Waarabu wakati huo,&nbsp;lilikuwa ni jambo gumu kukubalika. Walitakiwa kufuata&nbsp;muundo wa Dini mpya na kutekeleza mambo yanayoridhiwa&nbsp;na Mwenyezi Mungu \ufdfb na Mtume Wake. Walitakiwa pia&nbsp;kujizuia [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15476,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-7466","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sera-ya-mtume"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7466","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=7466"}],"version-history":[{"count":6,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7466\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15512,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7466\/revisions\/15512"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15476"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=7466"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=7466"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=7466"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}