{"id":7466,"date":"2021-06-25T13:03:48","date_gmt":"2021-06-25T13:03:48","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=7466"},"modified":"2022-09-14T09:02:48","modified_gmt":"2022-09-14T09:02:48","slug":"msimamo-wa-makuraish-juu-ya-ulinganizi-wa-mtume-%ef%b7%ba","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/msimamo-wa-makuraish-juu-ya-ulinganizi-wa-mtume-%ef%b7%ba\/","title":{"rendered":"MSIMAMO WA MAKURAISH JUU YA ULINGANIZI WA MTUME \ufdfa"},"content":{"rendered":"<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 18pt; color: #0000ff; font-family: terminal, monaco;\">AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM<\/span><\/p>\n<hr>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\">Makuraishi walibaini kuwa kwa mafundisho hayo nafasi <span style=\"font-size: 18.6667px;\">ya baadhi ya watu kujiona kuwa ni bora kuliko wengine, au\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwa msemo mwingine, kuondolewa kwa ubwana na utwana,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">tabia iliyokuwa imezoeleka sana na Waarabu wakati huo,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">lilikuwa ni jambo gumu kukubalika. Walitakiwa kufuata\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">muundo wa Dini mpya na kutekeleza mambo yanayoridhiwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">na Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff;\">\ufdfb<\/span> na Mtume Wake. Walitakiwa pia\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kujizuia na mambo ya dhulma, kwa namna yoyote ile, na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">maovu mengine waliyokuwa wakiyatenda asubuhi na jioni.\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Walikuwa wameelewa vizuri athari ya mafundisho hayo,\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">lakini nafsi zao zilikuwa zinakataa kuikubali hali hiyo na kwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mtizamo wao waliona kuwa ni hali inayoondosha utukufu\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">wao kwa sababu hapakuwa na kheri yoyote kwao.\u00a0<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 14pt; color: #008000;\">{\u0628\u064e\u0644\u0652 \u064a\u064f\u0631\u0650\u064a\u062f\u064f \u0627\u0644\u0652\u0625\u0650\u0646\u0633\u064e\u0627\u0646\u064f \u0644\u0650\u064a\u064e\u0641\u0652\u062c\u064f\u0631\u064e \u0623\u064e\u0645\u064e\u0627\u0645\u064e\u0647\u064f}<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt;\"><em><span style=\"color: #0000ff;\">[Lakini mtu anataka tu kuyakataa yaliyo mbele yake (ili <\/span><\/em><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><em><span style=\"color: #0000ff;\">ajipe moyo kuuia hakuna kitu huko Akhera, azidi kufanya\u00a0<\/span><\/em><span style=\"font-size: 18.6667px;\"><em><span style=\"color: #0000ff;\">maovu).]<\/span><\/em>\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #0000ff;\">[75:5.]\u00a0<\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Waliyaelewa yote hayo vizuri sana isipokuwa walikosa <span style=\"font-size: 18.6667px;\">jambo la kufanya mbele ya mtu waliyekwisha mpa sifa ya\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kuwa mkweli mwaminifu, aliyekuwa mfano wa hali ya juu\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kabisa katika maadili ya kibinaadamu, na katika kuwa na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">tabia nzuri hawajawahikuona mfano wake kwa kipindi kirefu\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">katika historia za mababa zao na mataifa mbalimbali\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">waliyokuwa wakiyajua. Walikuwa hawajui la kufanya.\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Wafanye nini sasa? Walikwama katika hilo na walikuwa na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">haki ya kukwama.\u00a0<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Baada ya majadiliano marefu, hawakuona njia isipokuwa <span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwenda kwa ammi yake Abu Twalib na kumwomba arnzuie\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">mtoto wa ndugu yake kueneza yale aliyokuwa akiyaeneza. Ili\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">maombi yao yakubalike na kuonekana kuwa yanafaa, ya\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ukweli na uhakika waliona ni bora wakaseme maneno\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">yafuatayo: \u2018Kwa hakika mafunzo anayoyatoa kwa watu ili\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">waiache miungu ye tu, na kusema kwake kuwa miungu hiyo\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">haina manufaa na haina uwezo wowote ni matusi makubwa\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">na ni udhalilishaji mkubwa wa miungu ye tu, na maana yake\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ni kuwafanya baba na babu zetu kuwa ni wapumbavu na\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kwamba kwa kufuata imani hiyo, tumepotea.\u2019 Hii ndio njia\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">waliyoiona inafaa kufuatwa na maneno ya kusemwa.*<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><\/p>\n<hr>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\"><em><span style=\"font-size: 10pt;\">*Arraheeq Al Makhtum 131-132<\/span><\/em><\/span><\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM Makuraishi walibaini kuwa kwa mafundisho hayo nafasi ya baadhi ya watu kujiona kuwa ni bora kuliko wengine, au\u00a0kwa msemo mwingine, kuondolewa kwa ubwana na utwana,\u00a0tabia iliyokuwa imezoeleka sana na Waarabu wakati huo,\u00a0lilikuwa ni jambo gumu kukubalika. Walitakiwa kufuata\u00a0muundo wa Dini mpya na kutekeleza mambo yanayoridhiwa\u00a0na Mwenyezi Mungu \ufdfb na Mtume Wake. Walitakiwa pia\u00a0kujizuia [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15476,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-7466","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sera-ya-mtume"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7466","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=7466"}],"version-history":[{"count":6,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7466\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15512,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7466\/revisions\/15512"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15476"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=7466"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=7466"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=7466"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}