{"id":7444,"date":"2021-06-25T13:03:51","date_gmt":"2021-06-25T13:03:51","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=7444"},"modified":"2022-09-14T08:53:52","modified_gmt":"2022-09-14T08:53:52","slug":"kujengwa-kwa-al-kaab-zama-za-mtume-%ef%b7%ba","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/kujengwa-kwa-al-kaab-zama-za-mtume-%ef%b7%ba\/","title":{"rendered":"KUJENGWA KWA AL-KA&#8217;AB ZAMA ZA MTUME \ufdfa"},"content":{"rendered":"<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 18pt; color: #008000;\">KUJENGWA KWA AL-KA&#8217;AB ZAMA ZA MTUME \ufdfa<\/span><\/p>\n<hr>\n<p style=\"text-align: left;\">&nbsp;<span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Baada ya muda wa miaka thalathini na tano tokea kuzaliwa kwa Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>, Makuraishi walisimama katika&nbsp;ujenzi wa Al-Ka&#8217;aba. Jambo hili lilifanyika kwa sababu Al-Ka&#8217; aba ni jengo la mawe lenye urefu wa mita <span style=\"color: #ff6600;\">6.30<\/span> tokea zama&nbsp;za Ismail na haikuwa na kiezeko na kwa sababu hiyo kundi la&nbsp;wezi liliwahi kuiba mali iliyokuwa ndani ya Al-Ka&#8217;aba. Jengo&nbsp;lake lilikuwa limeanza kupatwa na udhaifu kwa kuchakaa,hasa ikizingatiwa kuwa ilikuwa ni nyumba ya kale. llipatwa&nbsp;na udhaifu huo kutokana na ukale na zikapasuka kuta zake.<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Kabla ya kupewa kwake Utume kwa miaka mitano mji wa&nbsp;Makka ulikumbwa na mafuriko makubwa sana&nbsp;yaliyoporomokea kwenye nyumba tukufu ya Al-Ka&#8217;aba.Kutokana na mafuriko hayo Al-Ka&#8217;aba ilikaribia kubomoka&nbsp;kabisa. Makuraishi walilazimika kulijenga upya jengo lake ili&nbsp;kuirudisha hadhi yake. Katika hili walikubaliana wote kuwa&nbsp;isiingie katika ujenzi huo isipokuwa mali ya halali, kwa hiyo&nbsp;hawataingiza mali yenye kutokana na zinaa, wala mauzo ya&nbsp;riba, wala mali iliyopatikana kwa njia ya dhuluma.<\/span><\/p>\n<p><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Wakati wa kuanza ujenzi ulipofika wakawa wanaogopa&nbsp;kuibomoa Al-Kaaba, mpaka alipoanza kuibomoa <span style=\"color: #ff6600;\">Al-Walid ibn&nbsp;Al-Mughirah Al-Makhzumi<\/span>, ndio na watu wengine&nbsp;wakamfuata baada ya kuona kuwa hakupatwa na jambo&nbsp;lolote. Walibomoa mpaka walipofika katika misingi&nbsp;iliyojengwa na Ibrahim (a.s). Walipotaka. kuanza ujenzi,wakaigawa Al-Ka&#8217;aba na kulihusisha kila kabila sehemu yake,wakaanza kuijenga na msimamizi wa ujenzi huo alikuwa&nbsp;Mrumi aliyekuwa akiitwa Baqum, jengo lilipofika mahali pakuwekwa jiwe jeusi, walitofautiana ni nani ambaye&nbsp;atapwekeka kwa kupata utukufu wa kuliweka mahali pake.<\/span><\/p>\n<hr>\n<p><em><span style=\"color: #ff6600;\">Siratu Ibn Hisham, [uzuu 2, Uk. 162-197. <\/span><\/em><br \/>\n<em><span style=\"color: #ff6600;\">104 Ibn Hisham, Juzuu I, Uk. 128.<\/span><\/em><\/p>\n<p><em><span style=\"color: #ff6600;\">Arraheeq Al Makhtum 94-96<\/span><\/em><\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>KUJENGWA KWA AL-KA&#8217;AB ZAMA ZA MTUME \ufdfa &nbsp;Baada ya muda wa miaka thalathini na tano tokea kuzaliwa kwa Mtume \ufdfa, Makuraishi walisimama katika&nbsp;ujenzi wa Al-Ka&#8217;aba. Jambo hili lilifanyika kwa sababu Al-Ka&#8217; aba ni jengo la mawe lenye urefu wa mita 6.30 tokea zama&nbsp;za Ismail na haikuwa na kiezeko na kwa sababu hiyo kundi la&nbsp;wezi liliwahi [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15476,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-7444","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sera-ya-mtume"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7444","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=7444"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7444\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15497,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7444\/revisions\/15497"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15476"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=7444"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=7444"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=7444"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}