{"id":7433,"date":"2021-06-25T13:03:53","date_gmt":"2021-06-25T13:03:53","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=7433"},"modified":"2022-09-14T10:22:38","modified_gmt":"2022-09-14T10:22:38","slug":"baraka-za-mtume-muhammad-%ef%b7%ba-kwa-banu-saad","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/baraka-za-mtume-muhammad-%ef%b7%ba-kwa-banu-saad\/","title":{"rendered":"BARAKA ZA MTUME MUHAMMAD \ufdfa KWA BANU SA&#8217;AD"},"content":{"rendered":"<p style=\"margin-top: 10px; text-align: center;\"><span style=\"font-size: 18pt; color: #008000; font-family: terminal, monaco;\">BARAKA ZA MTUME MUHAMMAD \ufdfa KWA BANU SA&#8217;AD<\/span><\/p>\n<hr>\n<p style=\"margin-top: 10px; text-align: left;\"><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Kwa sababu ya Baraka za Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span> Halima aliona mambo ambayo aliyasimulia kwa kustajabishwa kwake na&nbsp;tumwache yeye mwenyewe atueleze hilo kwa ufafanuzi:<\/span><\/p>\n<p style=\"margin-bottom: 10px;\"><span style=\"font-size: 14pt;\"><span style=\"color: #000000;\">Ibni Ishaq anasema, Halima aliwahi kusimulia kuwa siku moja alikuwa akitoka katika mji wake pamoja na mume wake,&nbsp;na mtoto wake mdogo akiwa ananyonya, alikuwa ni mmoja&nbsp;miongoni mwa kundi la wanawake katika Banu Sa ad bin&nbsp;Bakr, waliokuwa wakitafuta watoto wa kunyonyesha. Jambo hilo lilikuwa katika mwaka wa ukame mwaka wa njaa ambao&nbsp;haukubakisha kitu chochote kwetu, amesema: &#8220;Nikatoka nikiwa juu ya punda wangu mwenye rangi nyeupe, pamoja na&nbsp;Ngamia wetu, ambaye naapa kwa Jina Mwenyezi Mungu&nbsp;Ngamia wetu, ambaye naapa kwa Jina Mwenyezi Mungu<\/span> <span style=\"color: #0000ff; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span> <span style=\"color: #000000;\">alikuwa hatutolei sisi tone la maziwa. Usiku pia tulikuwa hatulali kwa jinsi mtoto alivyokuwa akilia kwa&nbsp;sababu ya njaa. Katika nyumba yangu sikuwa na kitu&nbsp;kinachoweza kumtosha, matumaini yetu yote yalikuwa ni&nbsp;katika kusubiri mvua. <\/span><\/span><\/p>\n<p style=\"margin-bottom: 10px;\"><span style=\"font-size: 14pt;\"><span style=\"color: #000000;\">Nilitoka nikiwa juu ya punda wangu,kwa hakika nilikuwa nikiomba msaada kwa wasafiri&nbsp;wenzangu mpaka hilo likawa gumu kwao, nilijikongoja hivyo&nbsp;hivyo kwa unyonge mpaka tukafika Makka, tukiwatafuta&nbsp;watoto wa kunyonyesha. Katika sisi hakuna Mwanamke&nbsp;ambaye hakuonyeshwa kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu<\/span><span style=\"color: #008000;\"> \ufdfa<\/span>. Kila aliyekwenda kwao na kufahamishwa kuwa mtoto&nbsp;ni yatima aliondoka, maana kila mmoja alikuwa anataraji&nbsp;mapato kutoka kwa baba wa mtoto. Kila mmoja alikuwa&nbsp;akiwaza yatima ni kitu gani ni kipi ambacho anaweza kufanya&nbsp;mama yake na Babu yake? Kwa hiyo, hatukumtaka kwa&nbsp;sababu hiyo. Kila mwanamke katika msafara wetu alimpata&nbsp;mtoto wa kumnyonyesha isipokuwa mimi. Tulipokuwa&nbsp;tunajiandaa kurudi nilimwambia mume wangu, &#8216;Ninaapa kwa&nbsp;Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff;\">\ufdfb<\/span> , kwa hakika mimi ninaona vibaya&nbsp;kurudi nikiwa kati ya wenzangu na sikupata mtoto wa&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">kumnyonyesha,<\/span>&nbsp;<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ninaapa kwa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff;\">\ufdfb<\/span> nitarudi kwa yule mtoto Yatima nikamchukue.&#8217;<\/span><\/span><br \/>\n<span style=\"font-size: 14pt;\">Mume wangu&nbsp;hakupinga na akasema, &#8216;Hakuna ubaya ukifanya hivyo,huenda Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff;\">\ufdfb<\/span> Akatujaalia Baraka kwa ajili&nbsp;yake. Nikamuendea na kumchukua, nilifanya hivyo kwa vile&nbsp;mimi sikumpata mwingine.&#8217; &#8220;Nilipomchukua nilirejea naye&nbsp;kambini kwangu, nilipomuweka mapajani mwangu ili&nbsp;kumnyonyesha, matiti yangu yalitoa maziwa, akanyonya&nbsp;mpaka akatosheka, na ndugu yake naye akanyonya mpaka&nbsp;akatosheka, kisha wakalala. llikuwa ni mara ya kwanza kulala&nbsp;naye. Mume wangu akasimama na kuelekea alipo Ngamia&nbsp;wetu, alishangazwa maana ghafla alimkuta amejaa maziwa,&nbsp;akakamua nikanywa mimi pamoja naye mpaka tulipotosheka&nbsp;kabisa na kushiba. Tulilala usiku mwema. Ilipofika asubuhi&nbsp;mume wangu aliniambia, &#8216;Je, wajua! ninaapa kwa jina<\/span><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\"> la&nbsp;Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span> ewe <span style=\"color: #ff6600;\">Halima<\/span>, kwa hakika&nbsp;umemchukua mtoto mwenye kubarikiwa!&#8217;, Nikasema,&nbsp;&#8216;Ninaapa kwa Jina la Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff;\">\ufdfb<\/span>, hakika&nbsp;ninataraji hilo&#8217;. Kisha tukatoka, &#8216;Mimi nikampanda punda&nbsp;wangu, nikamchukua mtoto. Ninaapa kwa Jina la Mwenyezi&nbsp;Mungu <span style=\"color: #0000ff; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span>, kwa hakika mwendo niliokuwa nakwenda&nbsp;haukuweza kufikiwa na yeyote katika msafara wetu, punda&nbsp;wao hawakuweza kitu chochote katika kuyakata masafa kama&nbsp;nilivyokuwa ninafanya. Wenzangu wakaniambia kwa&nbsp;mshangao, &#8216;Ewe mtoto wa <span style=\"color: #ff6600;\">Abu Dhuayb<\/span>, nenda polepole na&nbsp;sisi, kwani huyo si Yule punda wako, ambaye&nbsp;ulikuwa&nbsp;umetoka naye?&#8217; Nikawahoji, &#8216;Kwa nini?&#8217; Ninaapa kwa Jina la&nbsp;Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span> hakika punda huyu ndiye Yule yule&#8217;,&nbsp;<\/span><br \/>\n<span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">wakawa wanasema: &#8216;Tunaapa kwa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span> kwa hakika punda huyu ana jambo.&#8217; Tukaenda mpaka&nbsp;tukafika majumbani kwetu katika miji ya Banu Saad, na siijui&nbsp;ardhi yoyote katika ardhi ya Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #0000ff; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span> iliyokuwa na ukame mkali kama ilivyokuwa ardhi ya Banu&nbsp;Saad wakati huo. Tulipofika naye, mbuzi wangu wakawa&nbsp;wanarudi jioni hali ya kuwa wameshiba na wana maziwa&nbsp;mengi, tukawa tukikamua na kunywa. Wakati huo hakuna&nbsp;mtu aliyekuwa akikamua maziwa kutoka katika mifugo yake,mpaka jamaa zetu wakawa wakisema kuwaambia&nbsp;wachungaji, hasara ni yenu, wachungeni wanyama wenu&nbsp;pahala anapochungia mchungaji wa binti <span style=\"color: #ff6600;\">Abu Dhuayb<\/span>. Hata&nbsp;hivyo mbuzi wao walikuwa wakirudi na njaa na hawatoi tone&nbsp;<\/span><br \/>\n<span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">la maziwa, na mbuzi wangu walikuwa wakirudi wameshiba&nbsp;wakiwa na maziwa mengi sana, tulifahamu kuwa Mwenyezi&nbsp;Mungu <span style=\"color: #0000ff; font-size: 18.6667px;\">\ufdfb<\/span> Ametuongezea kheri. Hali iliendelea hivyo&nbsp;mpaka ilipokamilika miaka yake miwili ya kunyonyeshwa na&nbsp;nikamwachisha ziwa. Mtoto alikuwa akikua kwa namna&nbsp;isiyofanana na makuzi ya watoto wengine, alipofikisha miaka&nbsp;miwili alikuwa ni kijana aliye mkubwa.&#8221; &#8220;Tukampeleka kwa&nbsp;mama yake na hali ya kuwa sisi tunatamani sana aendelee&nbsp;kukaa kwetu, kutokana na yale ambayo tulikuwa tunayaona&nbsp;miongoni inwa baraka zake, tukazungumza na mama yake&#8217;,&nbsp;nikamwambia, &#8220;Mw ache mtoto wangu kwanza mpaka&nbsp;akomae, kwani ninahofia asije akapata magonjwa ya&nbsp;kuambukiza ya Makka. Hatukuacha kumkazania mpaka&nbsp;akaturuhusu kurudi naye.<\/span><br \/>\n<span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Kwa hivyo Mjumbe wa Mwenyezi Mungu <span style=\"font-size: 18.6667px; color: #008000;\">\ufdfa <\/span>aliendelea kuishi kwa Banu Saad mpaka alipofikisha umri wa&nbsp;miaka minne au mitanow tokea kuzaliwa kwake.&nbsp;Wakati huo ndipo lilipotokea tukio la kupasuliwa kwa&nbsp;kifua chake. *<\/span><\/p>\n<hr>\n<p style=\"margin-bottom: 10px;\">&nbsp;<span style=\"font-size: 12pt; color: #800000;\">* Arraheeq Al Makhtuum&nbsp;<\/span><\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>BARAKA ZA MTUME MUHAMMAD \ufdfa KWA BANU SA&#8217;AD Kwa sababu ya Baraka za Mtume \ufdfa Halima aliona mambo ambayo aliyasimulia kwa kustajabishwa kwake na&nbsp;tumwache yeye mwenyewe atueleze hilo kwa ufafanuzi: Ibni Ishaq anasema, Halima aliwahi kusimulia kuwa siku moja alikuwa akitoka katika mji wake pamoja na mume wake,&nbsp;na mtoto wake mdogo akiwa ananyonya, alikuwa ni [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15476,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-7433","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sera-ya-mtume"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7433","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=7433"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7433\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15548,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7433\/revisions\/15548"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15476"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=7433"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=7433"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=7433"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}