{"id":7432,"date":"2021-06-25T13:03:53","date_gmt":"2021-06-25T13:03:53","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=7432"},"modified":"2022-09-14T08:39:45","modified_gmt":"2022-09-14T08:39:45","slug":"kwa-banu-saad","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/kwa-banu-saad\/","title":{"rendered":"KWA BANU SA&#8217;AD"},"content":{"rendered":"<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"font-size: 14pt; color: #008000;\"><span style=\"font-size: 18pt;\">KWA BANU SA\u2019AD<\/span><\/span><\/p>\n<hr>\n<p><span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Siku hizo ilikuwa ni mazoea ya watu wa mijini katika Waarabu kuwatafutia watoto wao wanyonyeshaji wa\u00a0mashambani ili kuwaepusha watoto wao na magonjwa ya\u00a0mijini, ill iwe na nguvu miili yao, ikazane mishipa yao na\u00a0waweze kukisema Kiarabu fasaha katika utoto wao.<span style=\"font-size: 14pt;\"><span style=\"color: #ff6600;\">Abdul Muttwalib<\/span>\u00a0akamtafutia Mjumbe wa Mwenyezi Mungu\u00a0<span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>\u00a0wanyonyeshaji. Alimtaka mwanamke mmoja kutoka katika\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px;\">ukoo wa <span style=\"color: #ff6600;\">Saad bin Bakri,<\/span>\u00a0<span style=\"font-size: 18.6667px; color: #ff6600;\">Halima binti Abi Dhuayb<\/span><span style=\"font-size: 18.6667px;\">\u00a0amnyonyeshe Mtume.<span style=\"font-size: 18.6667px;\">Mume wa bibi huyu alikuwa ni <span style=\"color: #ff6600;\">Al-\u00a0Harithi bin Abdil-Uzaa<\/span> aliyekuwa akijulikana kwa jina la Abi\u00a0Kabshah kutoka katika kabila hilo hilo.<\/span><\/span><\/span><\/span><\/span><br \/>\n<span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Ndugu zake Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span> wa kunyonya kutoka kwa mama huyo ni, Abdallah bin Al-Harithi, Unaysah binti Al-\u00a0Harithi Hadhafa au Sudhamah binti Al-Harithi (na huyu\u00a0ndiye Al-Shaymaa na hili ndilo jina lililoeleweka zaidi mijini\u00a0kuliko hata jina lake halisi) naye alikuwa ni mmoja kati ya\u00a0waliokuwa wakimlea Mjumbe wa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span> na Abu Sufyan bin Al-Harithi Bin Abdul Muttwalib, mtoto wa\u00a0Ammi ya Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>.\u00a0<\/span><br \/>\n<span style=\"font-size: 14pt; color: #000000;\">Ammi ya Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span> Hamza Bin Abdul Muttwalib\u00a0alikuwa amenyonyeshwa kwa Banu Saad bin Bakri, mama\u00a0yake alimnyonyesha Mjumbe wa Mwenyezi Mungu <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span> siku moja wakati akiwa kwa mama yake Halima. Kwa hivyo,Hamza alikuwa ni mshirika na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu\u00a0katika kunyonya kwa sehemu mbili, sehemu ya Thuwayba na\u00a0sehemu ya Al-Saadiyya.<\/span><\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>KWA BANU SA\u2019AD Siku hizo ilikuwa ni mazoea ya watu wa mijini katika Waarabu kuwatafutia watoto wao wanyonyeshaji wa\u00a0mashambani ili kuwaepusha watoto wao na magonjwa ya\u00a0mijini, ill iwe na nguvu miili yao, ikazane mishipa yao na\u00a0waweze kukisema Kiarabu fasaha katika utoto wao.Abdul Muttwalib\u00a0akamtafutia Mjumbe wa Mwenyezi Mungu\u00a0\ufdfa\u00a0wanyonyeshaji. Alimtaka mwanamke mmoja kutoka katika\u00a0ukoo wa Saad bin [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15476,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-7432","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sera-ya-mtume"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7432","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=7432"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7432\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15484,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/7432\/revisions\/15484"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15476"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=7432"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=7432"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=7432"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}