{"id":5819,"date":"2021-06-22T08:56:47","date_gmt":"2021-06-22T08:56:47","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5819"},"modified":"2023-06-29T15:42:28","modified_gmt":"2023-06-29T15:42:28","slug":"maana-ya-mnyama-wa-tunu-aina-yake-na-hukmu-yake","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/maana-ya-mnyama-wa-tunu-aina-yake-na-hukmu-yake\/","title":{"rendered":"MAANA YA MNYAMA WA TUNU AINA YAKE NA HUKMU YAKE"},"content":{"rendered":"<h2><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h2>\n<hr>\n<p><strong>Maana ya mnyama wa tunu:<\/strong><br \/>\nNi wanyama hoa wanaotunukiwa sehemu takatifu kwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, au ilio wajibishwa kwa sababu ya&nbsp;Tamattu\u2019au&nbsp;Qiraan&nbsp;au kufungizika<\/p>\n<p><strong>Aina ya wanyama wanaotunukiwa<\/strong><\/p>\n<p><span style=\"color: #000000;\"><span style=\"color: #ff6600;\">1.<\/span> Tunuku ya Tamattu na Qiraan<\/span><br \/>\nAnayechanganya Hija na Umra kwa njia ya Tamattu au Qiraan itamlazimu achinje Mnyama wa tunuku: naye ni Mbuzi au fungu moja la mafungu saba ya Ngamia au Ngombe. Akikosa mnyama atafunga siku kumi, siku tatu ziwe katika Hija na siku saba ziwe baada ya mwenye kuhiji kurudi kwa watu wake. Hili humlazimu yule ambaye si mkazi wa Makka, iwapo ni miongoni mwa wakazi wa Makka, hatalazimika kuchinja Mnyama wa kutunuku wala kufunga, kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0641\u064e\u0645\u064e\u0646 \u062a\u064e\u0645\u064e\u062a\u0651\u064e\u0639\u064e \u0628\u0650\u0671\u0644\u06e1\u0639\u064f\u0645\u06e1\u0631\u064e\u0629\u0650 \u0625\u0650\u0644\u064e\u0649 \u0671\u0644\u06e1\u062d\u064e\u062c\u0651\u0650 \u0641\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0671\u0633\u06e1\u062a\u064e\u064a\u06e1\u0633\u064e\u0631\u064e \u0645\u0650\u0646\u064e \u0671\u0644\u06e1\u0647\u064e\u062f\u06e1\u064a\u0650\u06da \u0641\u064e\u0645\u064e\u0646 \u0644\u0651\u064e\u0645\u06e1 \u064a\u064e\u062c\u0650\u062f\u06e1 \u0641\u064e\u0635\u0650\u064a\u064e\u0627\u0645\u064f \u062b\u064e\u0644\u064e\u0670\u062b\u064e\u0629\u0650 \u0623\u064e\u064a\u0651\u064e\u0627\u0645\u0656 \u0641\u0650\u064a \u0671\u0644\u06e1\u062d\u064e\u062c\u0651\u0650 \u0648\u064e\u0633\u064e\u0628\u06e1\u0639\u064e\u0629\u064d \u0625\u0650\u0630\u064e\u0627 \u0631\u064e\u062c\u064e\u0639\u06e1\u062a\u064f\u0645\u06e1\u06d7 \u062a\u0650\u0644\u06e1\u0643\u064e \u0639\u064e\u0634\u064e\u0631\u064e\u0629\u065e \u0643\u064e\u0627\u0645\u0650\u0644\u064e\u0629\u065e\u06d7 \u0630\u064e\u0670\u0644\u0650\u0643\u064e \u0644\u0650\u0645\u064e\u0646 \u0644\u0651\u064e\u0645\u06e1 \u064a\u064e\u0643\u064f\u0646\u06e1&nbsp; \u0623\u064e\u0647\u06e1\u0644\u064f\u0647\u064f\u06e5 \u062d\u064e\u0627\u0636\u0650\u0631\u0650\u064a \u0671\u0644\u06e1\u0645\u064e\u0633\u06e1\u062c\u0650\u062f\u0650 \u0671\u0644\u06e1\u062d\u064e\u0631\u064e\u0627\u0645\u0650\u06da&nbsp; &nbsp; &nbsp;\u0627\u0644\u0628\u0642\u0631\u0629:196<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Mwenye kujistarehesha kwa Umra mpaka Hija, basi itamlazimu achinje mnyama wa kutunuku aliye sahali kwake, na asipopata atafunga siku tatu katika Hija na saba mtakaporudi. Hizo ni kumi kamili. Hukumu hiyo inamhusu yule ambaye watu wake wa nyumbani si wakazi wa maeneo ya Msikiti wa Haram]<\/em>&nbsp; &nbsp; [2: 196].<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2.<\/span> Mnyama wa kutunuku wa kujiotolea<br \/>\nNaye ni mnyama ambaye mwenye kuhiji&nbsp; au anayefanya Umra Akajitolea kutoa tunuku, mwenye kufanya Hija ya Qiraan au ya Tamattu anamtunuku kwa kutoa zaidi ya wajibu, au ni mnyama ambye hutunukiwa Makka na mtu ambaye hako kwenye ihramu kwa ajili ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu.<\/p>\n<p>Mnyama anayetunukiwa kwa kujitolea na yule wa Hija ya Tamattu\u2019 au Qiraan, inafaa kwa yule anayemtoa kula kitu katika nyama yake, bali ni sunna kufanya hivyo. Hii ni kuambatana na kitendo cha Mtume&nbsp;\ufdfa&nbsp;kwa kuwa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0623\u064e\u0645\u064e\u0631\u064e \u0631\u064e\u0633\u064f\u0648\u0644\u064f \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u0650 \ufdfa \u0645\u0650\u0646\u0652 \u0643\u064f\u0644\u0650 \u0628\u064e\u062f\u064e\u0646\u064e\u0629\u064d \u0628\u0650\u0628\u064e\u0636\u0652\u0639\u064e\u0629\u064d \u0641\u064e\u0637\u064f\u0628\u0650\u062e\u064e\u062a\u0652 \u0648\u064e\u0634\u064e\u0631\u0650\u0628\u064e \u0645\u0650\u0646\u0652 \u0645\u064e\u0631\u064e\u0642\u0650\u0647\u064e\u0627]&nbsp; &nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #ff6600;\">\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u062a\u0631\u0645\u0630\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">&nbsp;[Aliamrisha Mtume wa Mwenyezi Mungu \ufdfa katika kila mnyama aliyemtoa kuchinjwa,&nbsp;Basi ikapikwa na akanywa supu yake]&nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #008000;\">&nbsp;[Imepokewa na Tirmidhi]<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3.&nbsp;<\/span>Kuchinja mnyama wa kutunuku kwa kuzuiliwa kuhiji<\/p>\n<p>Ihswaar:&nbsp;Ni kuzuiliwa kutimiza Hija au Umra au yote mawili. Mwenye kuhirimia Hija au Umra, akazuiliwa na adui kuifikia Alkaaba, au akatukiwa na jambo likamfanya asiweze kufika kwenye Alkaaba, basi atachinja Mnyama mahali alipo, kisha atajitoa kwenye vikwazo vya ihramu, kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0641\u064e\u0625\u0650\u0646\u06e1 \u0623\u064f\u062d\u06e1\u0635\u0650\u0631\u06e1\u062a\u064f\u0645\u06e1 \u0641\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0671\u0633\u06e1\u062a\u064e\u064a\u06e1\u0633\u064e\u0631\u064e \u0645\u0650\u0646\u064e \u0671\u0644\u06e1\u0647\u064e\u062f\u06e1\u064a\u0650\u06d6 }&nbsp; \u0627\u0644\u0628\u0642\u0631\u0629: 196<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Basi mkizuilika kuendelea na (ibada ya Hija au Umra,) chinjeni kilichokuwa sahali]<\/em>&nbsp; [2: 196].<\/span><\/p>\n<p>Na wanyama wa kuchinjwa kwa sababu ya kuzuilika ni Mbuzi\/kondoo au fungu moja kati ya mafungu saba ya Ngamia au Ng\u2019ombe.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>Mahali pa kuchinja mnyama wa kutunuku<\/strong><\/span><br \/>\nTunuku ya Hija ya&nbsp;Tamatta\u2019&nbsp;au&nbsp;Qiraan&nbsp;au ya kujitolea, huchinjwa ndani ya mipaka ya Haram na hugawiwa masikini wake. Iwapo atachinja nje ya mipaka ya Haram haitomtosheleza.<\/p>\n<p>Na mnyama wa tunuku kwa sababu ya kuzuiliwa atamchinja mahali alipozuilika.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>Wakati wa kuchinja mnyama wa kutunuku<\/strong><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">1.<\/span> Tunuku ya Hijja ya Tamattu\u2019 Qiraan na ya kujitolea<\/p>\n<p>Wakati wake unaanza baada ya Swala ya Iddi ya siku ya Idd mpaka jua la siku ya mwisho ya siku za Tashriiq kuzama, nayo ni siku ya 13.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2.<\/span> Tunuku ya kuzuilika<\/p>\n<p>Wakati wake ni pale kizuizi kinapotokea<\/p>\n<p>Miongoni mwa hukumu za Hadyi (Kuchinja mnyma)<br \/>\nInafaa kwa mwenye kuhiji kumuwakilisha mtu wa kumchinjia ikiwa Hijja yake ni ya&nbsp;Qiraan&nbsp;au&nbsp;Tamattu&nbsp;na akiwa aliyewakilishwa ni mwaminifu. Na lililo bora ni kuwa mwenye kuhiji afanye mwenyewe kwa kuwa Mtume&nbsp;<span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>&nbsp;ndivyo alivyofanya.<\/p>\n<p>Fidia haitoshelezi iwe ni badala ya kudhahi, kwa kuwa fidia ni ya kuchanganya Hija na Umra, ama kudhahi ni sunna ya anayehiji na asiyehiji.<\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI Maana ya mnyama wa tunu: Ni wanyama hoa wanaotunukiwa sehemu takatifu kwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, au ilio wajibishwa kwa sababu ya&nbsp;Tamattu\u2019au&nbsp;Qiraan&nbsp;au kufungizika Aina ya wanyama wanaotunukiwa 1. Tunuku ya Tamattu na Qiraan Anayechanganya Hija na Umra kwa njia ya Tamattu au Qiraan itamlazimu achinje Mnyama wa tunuku: naye ni Mbuzi au [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":19361,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[72],"tags":[],"class_list":["post-5819","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-hija"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5819","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5819"}],"version-history":[{"count":9,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5819\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":21074,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5819\/revisions\/21074"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/19361"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5819"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5819"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5819"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}