{"id":5780,"date":"2021-06-22T08:25:47","date_gmt":"2021-06-22T08:25:47","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5780"},"modified":"2023-06-13T09:15:34","modified_gmt":"2023-06-13T09:15:34","slug":"kulala-muzdalifa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/kulala-muzdalifa\/","title":{"rendered":"KULALA MUZDALIFA"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h3>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">1.<\/span>\u00a0Haji atakapofika muzdalifa atanza na Swala ataswali Maghrib na Ishaa kwa kuzikusanya na kupunguza Swala ya isha, kabla kuteremsha mizigo na vitu vyake.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2.\u00a0<\/span>Nilazima kulala Muzdalifa usiku wake na ataswali Alfajiri mapema, na haifai kuondoka muzdalifa kabla ya Alfajiri ila kwa wenye udhuru, kama watu madhaifu katika wanawake, na watoto na kwa wale wanaofuatana nawao, ambao wanawatumikia wao yafaa kuodoka nawao mwisho wa usiku Mwezi unapo zama.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3.<\/span>\u00a0Anapo maliza kuswali Alfajiri inapendekezwa kwa mahujaji aende kwenye Mash\u2019aril haram, na aeleke kibla na azidishe dhikri na Dua hali yakuwa ameinuwa mikono yake na ataendelea kufanya hivyo mpaka kupambazuke sana, na sehemu yoyote atakapo simama Muzdalifa yafaa, kwa neno lake Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0648\u0642\u0641\u062a \u0647\u0627\u0647\u0646\u0627 \u0648\u062c\u0645\u0639 \u0643\u0644\u0647\u0627 \u0645\u0648\u0642\u0641]\u00a0\u00a0\u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Nimesimama hapa na jam\u2019u yote ni mahali pakisimamo] \u00a0 <span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Muslim]<\/span><\/span><\/p>\n<p>na makusuduio ya Jam\u2019u ni Muzdalifa.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">4.<\/span>\u00a0Anapoondoka haaji kutoka muzdalifa inapendekezwa aokote vijiwe saba pekeyake kwa ajili yakutupa kwenye jamaraat, ama masiku yalio baki ataokota vijiwe mina au sehemu yoyote atakapo okota yafaa<\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI 1.\u00a0Haji atakapofika muzdalifa atanza na Swala ataswali Maghrib na Ishaa kwa kuzikusanya na kupunguza Swala ya isha, kabla kuteremsha mizigo na vitu vyake. 2.\u00a0Nilazima kulala Muzdalifa usiku wake na ataswali Alfajiri mapema, na haifai kuondoka muzdalifa kabla ya Alfajiri ila kwa wenye udhuru, kama watu madhaifu katika wanawake, na watoto na kwa [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":19361,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[72],"tags":[],"class_list":["post-5780","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-hija"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5780","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5780"}],"version-history":[{"count":3,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5780\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":20781,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5780\/revisions\/20781"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/19361"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5780"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5780"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5780"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}