{"id":5772,"date":"2021-06-22T08:18:48","date_gmt":"2021-06-22T08:18:48","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5772"},"modified":"2023-06-13T11:13:20","modified_gmt":"2023-06-13T11:13:20","slug":"miongoni-mwa-hukumu-za-ihramu","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/miongoni-mwa-hukumu-za-ihramu\/","title":{"rendered":"MIONGONI MWA HUKUMU ZA IHRAMU"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\"><strong>SOMO<\/strong> LA<strong> FIQHI<\/strong><\/span><\/h3>\n<p>Aliye kwenye ihramu akisumukwa na Nywele tatu anapopangusa kichwa katika kutawadha au kuoga, hilo halimdhuru. Pia lau baadhi ya nywele za masharubu au ndevu zilisumuka au ukucha wake ukakatika, hilo halitamdhuru, isipokuwa akizisumua kwa kusudi. Na mwanamke analingana na mwanamume katika hilo la kutodhurika na kusumukwa na nywele au kucha.<\/p>\n<p>Inafaa kwa aliye kwenye ihramu kufunga uzi mguuni mwake akihitajia hilo au kukiwa na maslahi ya kufanya hivyo.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">UWEKAJI MASHARTI KATIKA NIA<\/span><\/p>\n<p>Ambaye ni mgonjwa, au anaogopea kutokewa na jambo lenye kumzuia kukamilisha ibada yake ya Hijja, ni sunna kwake aweke sharti wakati wa kuhirimia na aseme:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0644\u0628\u064a\u0643 \u0639\u0645\u0631\u0629\u060c \u0623\u0648 \u0644\u0628\u064a\u0643 \u062d\u062c\u0627\u064b\u060c &#8220;\u0641\u0625\u0646 \u062d\u0628\u0633\u0646\u064a \u062d\u0627\u0628\u0633 \u0641\u0645\u062d\u0644\u064a \u062d\u064a\u062b \u062d\u0628\u0633\u062a\u0646\u064a]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">\u00abTunaitikia mwito wako wa Umra (au Hija) iwapo kutatokea kitu chochote chenye kunifunga mimi (nisimalize ibada yangu,) basi mahali pangu pa kutahalali ni pale uliponifunga\u00bb.<\/span><\/p>\n<p>Bibi Aishah\u00a0radhi za Allah ziwe juu yake amepokewa akisema kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu\u00a0\ufdfa\u00a0aliingia kwa\u00a0Dhuba&#8217;ah binti Zubair\u00a0akamwambia: (Huenda ulitaka kuhiji) Aksema: \u201cNajikuta naumwa. Akamwambia:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u062d\u062c\u064a \u0648\u0627\u0634\u062a\u0631\u0637\u064a \u0648\u0642\u0648\u0644\u064a : \u0627\u0644\u0644\u0647\u0645 \u0645\u062d\u0644\u064a \u062d\u064a\u062b \u062d\u0628\u0633\u062a\u0646\u064a]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Hiji na ujiwekee sharti na useme \u2018 Ewe Mola! Mahali pangu pa kujifungua na ihramu ni pale uliponifunga]\u00a0\u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Bukhari na Muslim.].<\/span><\/span><\/p>\n<p>Akisema hivyo, kisha akapatikana na jambo la kumzuia, basi itafaa atahalali (ajifungue na ihramu) bila kulazimiwa na kitu.<\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI Aliye kwenye ihramu akisumukwa na Nywele tatu anapopangusa kichwa katika kutawadha au kuoga, hilo halimdhuru. Pia lau baadhi ya nywele za masharubu au ndevu zilisumuka au ukucha wake ukakatika, hilo halitamdhuru, isipokuwa akizisumua kwa kusudi. Na mwanamke analingana na mwanamume katika hilo la kutodhurika na kusumukwa na nywele au kucha. Inafaa kwa [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":19361,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[72],"tags":[],"class_list":["post-5772","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-hija"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5772","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5772"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5772\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":20853,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5772\/revisions\/20853"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/19361"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5772"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5772"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5772"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}