{"id":5741,"date":"2021-06-22T07:43:54","date_gmt":"2021-06-22T07:43:54","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5741"},"modified":"2022-09-04T13:42:44","modified_gmt":"2022-09-04T13:42:44","slug":"hukmu-ya-kukaa-itikafu-na-masharti-yake","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hukmu-ya-kukaa-itikafu-na-masharti-yake\/","title":{"rendered":"HUKMU YA KUKAA ITIKAFU NA MASHARTI YAKE"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\"><strong>HUKMU YA KUKAA ITIKAFU<\/strong><\/span><\/h3>\n<p>Hukumu ya Kukaa Itikafu<br \/>\n&#8220;Kufanya itikafu ni Sunna wakati wowote ule, na ubora wake zaidi kuifanya ni katika kumi la mwisho wa mwezi wa Ramadhani; kwasababu Mtume <span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span> alidumu katika kufanya itikafu kwenye kumi la mwisho wa mwezi wa Ramadhani&#8221;\u00a0 \u00a0[Zaadul-Ma\u2019ad.].<\/p>\n<p>Masharti ya Kukaa Itikafu<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">1.<\/span>\u00a0Kutia niya.<br \/>\nMwenye kufanya itikafu anatia niya ya kujilazimisha kukaa ndani ya msikiti kwa lengo la kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na kumuabudu; kwa kauli ya Mtume\u00a0<span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0625\u0646\u0651\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0652\u0623\u064e\u0639\u0652\u0645\u064e\u0627\u0644\u064f \u0628\u0650\u0627\u0644\u0646\u0651\u0650\u064a\u0651\u064e\u0627\u062a\u0650]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a \u0648\u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/span><\/p>\n<p>[Hakika kila Amali ni kwa niya ya mtu]\u00a0\u00a0\u00a0 \u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim].<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">2.\u00a0<\/span>Msikiti atakaofanyia Itikafu uwe ni msikiti wa kuswali swala ya jumaa.<br \/>\nHaifai kufanya Itikafu isipokuwa Msikitini kwa neno lake Mwenyezi Mungu:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0648\u064e\u0623\u064e\u0646\u062a\u064f\u0645\u0652 \u0639\u064e\u0627\u0643\u0650\u0641\u064f\u0648\u0646\u064e \u0641\u0650\u064a \u0627\u0644\u0652\u0645\u064e\u0633\u064e\u0627\u062c\u0650\u062f\u0650}\u00a0 \u00a0 {\u0627\u0644\u0628\u0642\u0631\u0629:187}<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Hali yakuwa mumekaa itikafu msikitini]<\/em>\u00a0 \u00a0 \u00a0[Al-baqara: 187]<\/span><\/p>\n<p>Na kwa kitendo chake Mtume\u00a0<span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>\u00a0kwani hakufanya Itikafu isipokuwa Msikitini.<\/p>\n<p>Na kufanya itikafu msikiti usio swaliwa Jamaa itampelekea Mwenye kufanya Itikafu kutoka mara kwa mara kuenda kuswali jamaa kwa sababu Swala ya jamaa kwake ni wajibu, na kule kutoka mara kwa mara hukosekana maana ya Itikafu. Ama mwanamke husihi Itikafu yake msikiti wowote sawa uwe msikiti waswaliwa jamaa au hauswaliwi, na hii ni ikipelekea kutopatikana fitna katika kukaa kwake itikafu, ama ikipatikana fitna haifai na atakatazwa.<\/p>\n<p>Na ubora uwe msikiti unaswaliwa swala ya ijumaa lakini hilo si katika masharti ya itikafu<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">3.\u00a0<\/span>Kuwa twahara kutokamana na hadathi kubwa.<br \/>\nHaifai kwa mwenye janaba kufanya Itikafu, wala mwenye damu ya heidhi, wala mwenye damu ya nifasi, kwa kule kukosekana kwao ruhusa ya kukaa ndani ya msikiti.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>HUKMU YA KUKAA ITIKAFU Hukumu ya Kukaa Itikafu &#8220;Kufanya itikafu ni Sunna wakati wowote ule, na ubora wake zaidi kuifanya ni katika kumi la mwisho wa mwezi wa Ramadhani; kwasababu Mtume \ufdfa alidumu katika kufanya itikafu kwenye kumi la mwisho wa mwezi wa Ramadhani&#8221;\u00a0 \u00a0[Zaadul-Ma\u2019ad.]. Masharti ya Kukaa Itikafu 1.\u00a0Kutia niya. Mwenye kufanya itikafu anatia [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15077,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[71],"tags":[],"class_list":["post-5741","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-saumu"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5741","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5741"}],"version-history":[{"count":7,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5741\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15125,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5741\/revisions\/15125"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15077"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5741"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5741"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5741"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}