{"id":5716,"date":"2021-06-22T07:24:55","date_gmt":"2021-06-22T07:24:55","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5716"},"modified":"2022-09-04T12:09:44","modified_gmt":"2022-09-04T12:09:44","slug":"hukmu-ya-kufunga-saumu-na-masharti-ya-kuwajibika","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hukmu-ya-kufunga-saumu-na-masharti-ya-kuwajibika\/","title":{"rendered":"HUKMU YA KUFUNGA SAUMU NA MASHARTI YA KUWAJIBIKA"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h3>\n<p>Suali:\u00a0Ni ipi hukmu ya kufanga?<\/p>\n<p>Jawabu:\u00a0Hukumu ya kufunga saumu<br \/>\nImegawanyika saumu ambayo Mwenyezi Mungu ameiweka katika sheria vigawanyo vifuatavyo:<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>1. SAUMU YA WAJIBU<\/strong><\/span><br \/>\nNayo iko sampuli mbili:<\/p>\n<p>Sampuli ya kwanza:\u00a0Ni Saumu aliyoiwajibisha Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala kwa waja wake. nayo ni saumu ya kufunga mwezi wa Ramadhani, na saumu hii ni nguzo moja wapo katika nguzo za Uislamu.Kama alivyo sema Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u064a\u064e\u0627 \u0623\u064e\u064a\u0651\u064f\u0647\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a\u0646\u064e \u0622\u0645\u064e\u0646\u064f\u0648\u0627 \u0643\u064f\u062a\u0650\u0628\u064e \u0639\u064e\u0644\u064e\u064a\u0652\u0643\u064f\u0645\u064f \u0627\u0644\u0635\u0651\u0650\u064a\u064e\u0627\u0645\u064f \u0643\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0643\u064f\u062a\u0650\u0628\u064e \u0639\u064e\u0644\u064e\u0649 \u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a\u0646\u064e \u0645\u0650\u0646 \u0642\u064e\u0628\u0652\u0644\u0650\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0644\u064e\u0639\u064e\u0644\u0651\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u062a\u064e\u062a\u0651\u064e\u0642\u064f\u0648\u0646\u064e} \u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u0628\u0642\u0631\u0629:183<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Enyi mlo Amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andkikwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kucha mungu.&#8221;<\/em>\u00a0 [Al-Baqara:183]<\/span><\/p>\n<p>Na kama ilivyo kuja kwenye hadithi ya Bwana Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0628\u0646\u064a \u0627\u0644\u0625\u0633\u0644\u0627\u0645 \u0639\u0644\u0649 \u062e\u0645\u0633 : \u0634\u0647\u0627\u062f\u0629 \u0623\u0646 \u0644\u0627 \u0625\u0644\u0647 \u0625\u0644\u0627 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u060c \u0648\u0623\u0646 \u0645\u062d\u0645\u062f\u0627 \u0631\u0633\u0648\u0644 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u060c \u0648\u0625\u0642\u0627\u0645 \u0627\u0644\u0635\u0644\u0627\u0629 \u060c \u0648\u0625\u064a\u062a\u0627\u0621 \u0627\u0644\u0632\u0643\u0627\u0629 \u060c \u0648\u062d\u062c \u0627\u0644\u0628\u064a\u062a \u060c \u0648\u0635\u0648\u0645 \u0631\u0645\u0636\u0627\u0646<\/span> \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">\u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a \u0648\u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Umejengwa Uislamu kwa mambo matano: Kushuhudia ya kwamba hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu na kwamba Muhammad ni mja wake na ni Mtume wake, na kusimamisha Swala (tano za kila siku), na kutoa Zaka, na kuhiji nyumba tukufu (Al-ka\u2019abah \u2013 ilioko Makkah), na kufunga Mwezi wa Ramadhani]\u00a0\u00a0\u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Bukhari na Muslim.]<\/span><\/span><\/p>\n<p>Sampuli ya pili:\u00a0Ni Saumu ambayo kwamba mja ndiye anayekuwa sababu ya kuwajibishwa yeye mwenyewe kuifunga, kama vile saumu ya nadhiri na saumu ya kafara.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>2. SAUMU ZA SUNNA<\/strong><\/span><br \/>\nNayo ni kila saumu ambayo kwamba sheria ya kiislamu imependekeza saumu hiyo kufungwa, kama kufunga siku ya Jumatatu na Alhamisi, na kufunga siku tatu za kila mwezi, na kufunga siku ya A\u2019shura, na kufunga masiku kumi ya mwanzo wa mwezi wa Dhilhijja, na kufunga siku ya A\u2019rafah.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>MASHARTI YA KUWAJIBIKA KUFUNGA<\/strong><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #008000;\">Suali<\/span>:\u00a0Ni yapi Mashrti ya mtu kuwajibika Kufunga:<\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Jawabu:<\/span>\u00a0Masharti ya mtu kuwajibika Kufunga ni haya yafuatayo:<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">1.\u00a0<\/span>Uislamu: Haimlazimu kafiri kufunga.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2<\/span>.\u00a0Kubaleghe: Sio lazima kwa mtoto mdogo kufunga, lakini huamrishwa kufunga akiwa anaweza ili kumpa mazoezi ya saumu naye azoee.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3<\/span>.\u00a0Kuwa na akili: Sio wajibu kwa mwendawazimu kufunga.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">4<\/span>.\u00a0Uwezo wa kufunga: Sio wajibu kufunga kwa mtu ambaye hawezi kufunga (labda amekuwa mzee sana ama afya yake haimruhusu kuhimili saumu).<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">5<\/span>.\u00a0Kwa Mwanamke asiwe kuwa kwenye ada yake ya Mwezi, au damu yanifasi.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI Suali:\u00a0Ni ipi hukmu ya kufanga? Jawabu:\u00a0Hukumu ya kufunga saumu Imegawanyika saumu ambayo Mwenyezi Mungu ameiweka katika sheria vigawanyo vifuatavyo: 1. SAUMU YA WAJIBU Nayo iko sampuli mbili: Sampuli ya kwanza:\u00a0Ni Saumu aliyoiwajibisha Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala kwa waja wake. nayo ni saumu ya kufunga mwezi wa Ramadhani, na saumu hii ni nguzo [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15077,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[71],"tags":[],"class_list":["post-5716","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-saumu"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5716","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5716"}],"version-history":[{"count":6,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5716\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15083,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5716\/revisions\/15083"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15077"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5716"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5716"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5716"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}