{"id":5648,"date":"2021-06-21T22:10:20","date_gmt":"2021-06-21T22:10:20","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5648"},"modified":"2022-08-25T20:29:31","modified_gmt":"2022-08-25T20:29:31","slug":"mambo-yanayofaa-kufanya-ndani-ya-swala","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/mambo-yanayofaa-kufanya-ndani-ya-swala\/","title":{"rendered":"MAMBO YANAYOFAA KUFANYA NDANI YA SWALA"},"content":{"rendered":"<h2><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h2>\n<p>Mwenye kuswali anaruhusiwa kisheria kufanya baadhi ya mambo akiwa ndani ya swala, kwa sharti kwamba kuwe na dharura ya kufanya hivyo.<\/p>\n<p>Anaruhusiwa kuyafanya mambo hayo katika hali hiyo ya dharura bila ya swala yake kubatilika. Mambo hayo ni kama yafuatavyo:-<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">1.<\/span> Kutembea katika Swala kwa tukio muhimu kwa sharti ya kutogeuka upande wa kibla kama kufunguwa mlango kama alivyofanya Mtume kwa Hadithi aliyoipokea Bibi Aisha radhi za Allah ziwe juu yake Asema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0643\u0627\u0646 \u0631\u0633\u0648\u0644\u064f \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0635\u0644\u0651\u064e\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648\u0633\u0644\u0651\u064e\u0645 \u064a\u0635\u0644\u0651\u0650\u064a \u0641\u064a \u0627\u0644\u0628\u064a\u062a \u0648\u0627\u0644\u0628\u0627\u0628\u064f \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0645\u063a\u0644\u0642\u060c \u0641\u062c\u0650\u0626\u062a\u064f \u0641\u0627\u0633\u062a\u0641\u062a\u062d\u062a\u064f\u060c \u0641\u0645\u0634\u0649 \u0641\u0641\u062a\u062d \u0644\u064a\u060c \u062b\u0645 \u0631\u062c\u0639\u064e \u0625\u0644\u0649 \u0645\u064f\u0635\u0644\u0627\u0651\u064e\u00a0 \u00a0 \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\"> \u00a0\u0623\u062e\u0631\u062c\u0647 \u0623\u0628\u0648\u062f\u0627\u0648 \u0648\u0627\u0644\u0646\u0633\u0627\u0626\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0alikuwa akiswali Nyumbani na mlango ulikuwa umefungwa nilikuja kuufungua,(nikashindwa) akaja kunifungulia kisha akarudi kwenye Mswala wake]\u00a0\u00a0<span style=\"color: #008000;\">\u00a0[Imepokewa na Abuu Daud na An Nasai]<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2<\/span>. Kubeba mtoto katika Swala<\/p>\n<p>Amepokea\u00a0Abuu Qatada\u00a0Radhi za Alla ziwe juu yake amesema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0631\u0623\u064a\u062a\u064f \u0627\u0644\u0646\u0628\u0650\u064a\u0651\u064e \u0635\u0644\u0651\u064e\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648\u0633\u0644\u0651\u064e\u0645 \u064a\u0624\u0645\u0651\u064f \u0627\u0644\u0646\u0651\u064e\u0627\u0633\u060c \u0648\u0639\u0644\u0649 \u0639\u0627\u062a\u0642\u0650\u0647 \u0623\u0645\u0627\u0645\u0629\u064f \u0628\u0646\u062a \u0632\u064a\u0646\u0628\u060c \u0641\u0625\u0630\u0627 \u0631\u0643\u064e\u0639 \u0648\u0636\u064e\u0639\u0647\u0627\u060c \u0648\u0625\u0630\u0627 \u0631\u0641\u0639 \u0645\u0646 \u0627\u0644\u0633\u0651\u064f\u062c\u0648\u062f \u0623\u0639\u0627\u062f\u064e\u0647\u0627\u00a0<span style=\"color: #ff6600;\"> \u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a \u0648\u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Nilimuona Mtume rehma na amani zimfike yeye akiswalisha watu,na (amembemba) kwenye mabega yake Umaamah bint Zaynab, Alikuwa ikirukuu akimuweka na ikiinika kutoka kwenye Sijda akimrudisha (kumbeba)]\u00a0\u00a0\u00a0\u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3.\u00a0<\/span>Kuuwa nyoka na n\u2019nge katika Swala.<\/p>\n<p>Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0Ameamrisha kuuwa vyeusi viwili ndani ya Swala nyoka na nge\u00a0 \u00a0[Imepokewa na Abuu Daud na An Nasaai na Ibnu Maajah]<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">4.<\/span>\u00a0Kuzunguka katika Swala kwa dharura.<\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Amepokea\u00a0\u00a0Jaabir\u00a0\u00a0radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0aliposhikika na Ugonjwa Tuliswali Nyuma yake na yeye alikuwa amekaa akatuzungukia akatuona Tumesimama akatuashiria (kukaa) tukakaa]\u00a0\u00a0\u00a0 <span style=\"color: #008000;\">\u00a0[Imepkewa na Muslim na Abuu Daud]<\/span><\/span><\/p>\n<p>Ama kuzunguka bila ya Dharura ni Makruhi kwa sababu ni kinyume na Unyenyekevu katika Swala.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">5.\u00a0<\/span>Kulia katika Swala<\/p>\n<p>Alikuwa\u00a0[Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0wa Mwenyezi Mungu akiswali na kwenye kifua chake kuna Sauti kama sauti ya Chungu kwa ajili ya kulia]\u00a0 \u00a0 \u00a0[Imepokewa na Abuu Daud na An Nasai]<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">6.<\/span>\u00a0Kuleta tasbihi kwa wanaume na kupiga makofi kwa wanawake<\/p>\n<p>Amesema Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0645\u064e\u0646 \u0646\u0627\u0628\u064e\u0647 \u0634\u064a\u0621\u064c \u0641\u064a \u0635\u0644\u0627\u062a\u0647\u060c \u0641\u0644\u0652\u064a\u064f\u0633\u0628\u0651\u0650\u062d\u061b \u0641\u0625\u0646\u0651\u064e\u0645\u0627 \u0627\u0644\u062a\u0651\u064e\u0635\u0641\u064a\u0642 \u0644\u0644\u0646\u0651\u0650\u0633\u0627\u0621]\u00a0 \u00a0 <span style=\"color: #ff6600;\">\u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a \u0648\u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Atakayepatwa na jambo ndani ya swala yake na aseme: Sub-haanallah,ama kupiga makofi ni kwa wanawake]\u00a0\u00a0\u00a0 <span style=\"color: #008000;\">\u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim]<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">7.<\/span>\u00a0Kumfunguza Imamu anapo sahau katika kisomo<\/p>\n<p>Amepokea\u00a0\u00a0Ibnu Umar radhi za Allah ziwe juu yake Asema Mtume \ufdfa aliswali swala na akasoma akachangana (kisomo) alipo maliza akamuliza Ubayyah<span style=\"color: #0000ff;\"> je uliswali pamoja na sisi?? akasema ndio akamwambia: Ni nini kilikuzuia? (Kunirekebisha nilipo changaya kisomo)\u00a0<\/span> \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008080;\">\u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Abuu Daud na Isnadi yake ni Hasan]<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">8.<\/span>\u00a0Kuashiria kwa Mkono kwa ajili ya kurudisha salamu<\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Amepokea\u00a0Ibnu Umar\u00a0radhi za Allah ziwe juu yake asema nilimuliza Bilal\u00a0 Mtume akirudisha vipi salamu anaposwalimiwa akiwa katika swala? akasema (Bilal) alikuwa akiashiria kwa mkono wake.<\/span>\u00a0\u00a0\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Abuu Daud na At Tirmidhiy]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">9.\u00a0<\/span>Kutoa ishara ya kufahamisha kwa anae swali wakati akitokewa na haja<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">10.<\/span>\u00a0Kumshukuru Mwenyezi Mungu anapoona linalo kupelekea kufanya hivyo<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">11.\u00a0<\/span>Kutema mate na kohozi katika Swala upande wakushoto<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">12.<\/span>\u00a0Kumzuia anaepita mbele ya mwenye kuswali<\/p>\n<p>Kwa kauli ya Bwana Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0625\u0630\u0627 \u0643\u0627\u0646 \u0623\u062d\u064e\u062f\u064f\u0643\u0645 \u064a\u064f\u0635\u0644\u0651\u0650\u064a\u060c \u0641\u0644\u0627 \u064a\u062f\u064e\u0639\u0652 \u0623\u062d\u062f\u064b\u0627 \u064a\u0645\u0631\u0651\u064f \u0628\u064a\u0646 \u064a\u062f\u064e\u064a\u0652\u0647\u060c \u0648\u0644\u0652\u064a\u064e\u062f\u0631\u0623\u0647 &#8211; (\u064a\u0639\u0646\u064a \u0644\u064a\u062f\u0641\u0639\u0647) &#8211; \u0645\u0627 \u0627\u0633\u062a\u0637\u0627\u0639\u060c \u0641\u0625\u0646\u0652 \u0623\u0628\u064e\u0649 \u0641\u0644\u0652\u064a\u064f\u0642\u0627\u062a\u0644\u0647\u061b \u0641\u0625\u0646\u0651\u064e\u0645\u0627 \u0647\u0648 \u0634\u064a\u0637\u0627\u0646<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Atakaposwali mmjoa wenu kuelekea kitu (kinachomsitiri na watu,) asimuachie mtu kupita mbele yake na amzuie kwa kadri ya uwezo wake, Akikataa basi na amzuie kwa nguvu, kwani huyo ni shetani].\u00a0 \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Bukhari na Muslim]<\/span><\/span><\/p>\n<p>Kwa ujumla inafaa kufanya kila tendo ambalo halipingani na adabu, suna au unyenyekevu wa swala. Kama vile mtu kujikuna na kadhalika, isipokuwa tu anafaa kufanya haya tulioeleza kwa Dharura anapokuwa na haja ya kufanya hivyo.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI Mwenye kuswali anaruhusiwa kisheria kufanya baadhi ya mambo akiwa ndani ya swala, kwa sharti kwamba kuwe na dharura ya kufanya hivyo. Anaruhusiwa kuyafanya mambo hayo katika hali hiyo ya dharura bila ya swala yake kubatilika. Mambo hayo ni kama yafuatavyo:- 1. Kutembea katika Swala kwa tukio muhimu kwa sharti ya kutogeuka upande [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":14705,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[69],"tags":[],"class_list":["post-5648","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-swala"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5648","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5648"}],"version-history":[{"count":11,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5648\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14755,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5648\/revisions\/14755"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/14705"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5648"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5648"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5648"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}