{"id":5588,"date":"2021-06-21T20:40:51","date_gmt":"2021-06-21T20:40:51","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5588"},"modified":"2022-08-23T11:32:35","modified_gmt":"2022-08-23T11:32:35","slug":"maelezo-kuhusu-hedhi-na-istihadha","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/maelezo-kuhusu-hedhi-na-istihadha\/","title":{"rendered":"MAELEZO KUHUSU HEDHI NA ISTIHADHA"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h3>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">MAELEZO<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">1.\u00a0<\/span>Iwapo mwanamke anajua wakati wa hedhi yake, lakini akawa amesahau idadi ya siku zake za hedhi, basi atashika hesabu ya ada\u00a0wanawake\u00a0wengi.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2.\u00a0<\/span>Iwapo mwanamke anajua idadi ya siku zake za hedhi, lakini akawa amesahau wakati wa hedhi yake, iwapo ni mwanzo wa Mwezi au ni mwisho wake, atahesabu mwanzo wa Mwezi idadi ya siku zake za Hedhi. Akisema kuwa yamjia mwanzo wa Mwezi lakini hawezi kujuwa ni lini wakati wake, atashika hesabu kuanzia mwanzo wa nusu idadi ya siku ilipokuwa Hedhi yake ikimjia, kwa kuwa nusu ya mwezi ndio kadiri iliyo karibu zaidi ya kudhibiti wakati wake.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3.<\/span>\u00a0Kikipita kipindi cha hedhi, na mwanamke yuko kwenye istihadha basi ataoga kisha atafunga kitambaa kwenye tupu yake. Na hukumu yake itakuwa ni ile ya Twahara, ataswali na atafunga, na haitamdhuru Damu itakayomtoka baada ya kutawadha kwa kuwa ana udhuru, na atafanya mojawapo ya mambo matatu katika Twahara:<\/p>\n<p>A)\u00a0Atawadhe kwa kila Swala baada ya wakati kuingia. Hilo ni baada ya kuosha tupu yake na kuifunga kitambaa, kwa kauli ya Mtume \ufdfa kumwambia Fatimah binti Hubaish Radhi za Allah ziwe juu yake :<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u062b\u0645 \u062a\u0648\u0636\u0626\u064a \u0644\u0643\u0644 \u0635\u0644\u0627\u0629]\u00a0 \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\"> \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Kisha tawadha kwa kila Swala na uswali]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Bukhari.].<\/span><\/span><\/p>\n<p>B).\u00a0Aicheleweshe Adhuhuri mpaka kabla ya Alasiri, kisha aoge na aswali Adhuhuri na Alasiri, na atafanya hivi katika Swala nyingine. Hii ni kwa neno lake Mtume\u00a0<span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span>\u00a0kumwambia Hamnah binti Jahsh Radhi za Allah ziwe juu yake:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0641\u064e\u0625\u0650\u0646\u0652 \u0642\u064e\u0648\u0650\u064a\u062a\u0650 \u0639\u064e\u0644\u064e\u0649 \u0623\u064e\u0646\u0652 \u062a\u064f\u0624\u064e\u062e\u0651\u0650\u0631\u0650\u064a \u0627\u0644\u0638\u0651\u064f\u0647\u0652\u0631\u064e \u0648\u064e\u062a\u064f\u0639\u064e\u062c\u0651\u0650\u0644\u0650\u064a \u0627\u0644\u0639\u064e\u0635\u0652\u0631\u064e\u060c \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u062a\u064e\u063a\u0652\u062a\u064e\u0633\u0650\u0644\u0650\u064a\u0646\u064e \u062d\u0650\u064a\u0646\u064e \u062a\u064e\u0637\u0652\u0647\u064f\u0631\u0650\u064a\u0646\u064e\u060c \u0648\u064e\u062a\u064f\u0635\u064e\u0644\u0651\u0650\u064a\u0646\u064e \u0627\u0644\u0638\u0651\u064f\u0647\u0652\u0631\u064e \u0648\u064e\u0627\u0644\u0639\u064e\u0635\u0652\u0631\u064e \u062c\u064e\u0645\u0650\u064a\u0639\u064b\u0627\u060c \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u062a\u064f\u0624\u064e\u062e\u0651\u0650\u0631\u0650\u064a\u0646\u064e \u0627\u0644\u0645\u064e\u063a\u0652\u0631\u0650\u0628\u064e\u060c \u0648\u064e\u062a\u064f\u0639\u064e\u062c\u0651\u0650\u0644\u0650\u064a\u0646\u064e \u0627\u0644\u0639\u0650\u0634\u064e\u0627\u0621\u064e\u060c \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u062a\u064e\u063a\u0652\u062a\u064e\u0633\u0650\u0644\u0650\u064a\u0646\u064e\u060c \u0648\u064e\u062a\u064e\u062c\u0652\u0645\u064e\u0639\u0650\u064a\u0646\u064e \u0628\u064e\u064a\u0652\u0646\u064e \u0627\u0644\u0635\u0651\u064e\u0644\u064e\u0627\u062a\u064e\u064a\u0652\u0646\u0650\u060c \u0641\u064e\u0627\u0641\u0652\u0639\u064e\u0644\u0650\u064a\u060c \u0648\u064e\u062a\u064e\u063a\u0652\u062a\u064e\u0633\u0650\u0644\u0650\u064a\u0646\u064e \u0645\u064e\u0639\u064e \u0627\u0644\u0635\u0651\u064f\u0628\u0652\u062d\u0650 \u0648\u064e\u062a\u064f\u0635\u064e\u0644\u0651\u0650\u064a\u0646\u064e\u060c \u0648\u064e\u0643\u064e\u0630\u064e\u0644\u0650\u0643\u0650 \u0641\u064e\u0627\u0641\u0652\u0639\u064e\u0644\u0650\u064a\u060c \u0648\u064e\u0635\u064f\u0648\u0645\u0650\u064a \u0625\u0650\u0646\u0652 \u0642\u064e\u0648\u0650\u064a\u062a\u0650 \u0639\u064e\u0644\u064e\u0649 \u0630\u064e\u0644\u0650\u0643\u064e<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Na ukiweza kuchelewesha Adhuhuri na kuitanguliza Alasiri, kisha ukaoga unapo twahirika na ukakusanya baina ya Swala (mbili) Adhuhuri na Alasiri, kisha ukachelewesha Swala ya Magharibi na akaitanguliza Swala ya Isha, kisha uoge, na ukusanye Swala mbili, basi fanya hivyo. Na ukauoga wakati wa wa swala ya Alfajiri na ukswali basi fanya hivyo, na ufunge, kama waeza kufunga]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Ibnu Maajah.].<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">4.<\/span>\u00a0Mwanamke akitokwa na damu kwa sababu yoyote ile, kama operesheni, na ikatiririka, basi yeye ni mojawapo wa hali mbili:<\/p>\n<p>Hali ya Kwanza:\u00a0Ijulikane kuwa hatapata hedhi. Huyu hazipitishwi kwake hukumu za istihadhah, wala haachi kuswali wakati wowote, na ile damu ni ya ugonjwa na kuharibika kwa kitu, na atatawadha kwa kila Swala.<\/p>\n<p>Hali ya Pili:\u00a0Ijulikane kuwa yeye inamkinika kuingia hedhini. Huyu hukumu yake ni ya istihadhah.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">5.\u00a0<\/span>Inafaa kumuingilia mwanamke aliye kwenye istihadhah.kwa kuwa Sheria haikumkataza.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI MAELEZO 1.\u00a0Iwapo mwanamke anajua wakati wa hedhi yake, lakini akawa amesahau idadi ya siku zake za hedhi, basi atashika hesabu ya ada\u00a0wanawake\u00a0wengi. 2.\u00a0Iwapo mwanamke anajua idadi ya siku zake za hedhi, lakini akawa amesahau wakati wa hedhi yake, iwapo ni mwanzo wa Mwezi au ni mwisho wake, atahesabu mwanzo wa Mwezi idadi [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":14491,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[68],"tags":[],"class_list":["post-5588","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5588","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5588"}],"version-history":[{"count":7,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5588\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14612,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5588\/revisions\/14612"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/14491"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5588"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5588"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5588"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}