{"id":5587,"date":"2021-06-21T20:40:00","date_gmt":"2021-06-21T20:40:00","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5587"},"modified":"2022-08-23T11:13:49","modified_gmt":"2022-08-23T11:13:49","slug":"hali-za-aliye-kwenye-istihadha","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hali-za-aliye-kwenye-istihadha\/","title":{"rendered":"HALI ZA ALIYE KWENYE ISTIHADHA"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h3>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">HALI YA KWANZA:<\/span><\/p>\n<p>Awe na ada inayojulikana ya siku zake za hedhi kabla ya kujiwa na istihadhah:<\/p>\n<p>Huyo atahesabu siku za kadiri ya ada yake kuwa ni hedhi na zinazosalia katika mwezi ni istihadhah, kwa hadithi ya \u2018Aisha Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Fatimah binti Abi Hubaish\u00a0Radhi za Allah ziwe juu yake alisema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Mimi sitwahiriki, je niache kuswali? Mtume akamwambia<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0627\u062c\u062a\u0646\u0628\u064a \u0627\u0644\u0635\u0644\u0627\u0629 \u0623\u064a\u0627\u0645 \u062d\u064a\u0636\u0643 \u062b\u0645 \u0627\u063a\u062a\u0633\u0644\u064a \u0648\u062a\u0648\u0636\u0626\u064a \u0644\u0643\u0644 \u0635\u0644\u0627\u0629 \u060c \u062b\u0645 \u0635\u0644\u064a]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Acha kuswali kadiri ya siku zako za kuingia hedhini, kisha oga na utwadhe kila Swala kisha uswali]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">\u00a0[Imepokewa na Bukhari.].<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">HALI YA PILI:<\/span><\/p>\n<p>Asiwe na ada inayojulikana, lakini anaweza kupambanua baina ya damu ya hedhi na damu ya istuhadhah:<br \/>\nBasi huyu atatumia upambanuzi wake, kwa ilivyothubutu kwamba Fatimah binti Hubaish Radhi za Allah ziwe juu yake alikuwa kwenye damu ya istihadha, Mtume akamwambia:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0625\u0646 \u062f\u0645 \u0627\u0644\u062d\u064a\u0636 \u062f\u0645\u064c \u0623\u0633\u0648\u062f \u064a\u064f\u0639\u0631\u0650\u0641\u060c \u0641\u0625\u0630\u0627 \u0643\u0627\u0646 \u0630\u0644\u0643 \u0641\u0623\u0645\u0633\u0650\u0643\u064a \u0639\u0646 \u0627\u0644\u0635\u0644\u0627\u0629\u060c \u0641\u0625\u0630\u0627 \u0643\u0627\u0646 \u0627\u0644\u0622\u062e\u0631 \u0641\u062a\u0648\u0636\u0651\u064e\u0626\u0650\u064a \u0648\u0635\u0644\u0651\u0650\u064a]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Hakika damu ya hedhi, ni damu nyeusi inayojulikana. ikija, acha kuswali, na ikija ile nyingine tawadha na uswali, kwani damu hiyo ni kishipa]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Abu Daud.].<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">HALI YA TATU:<\/span><\/p>\n<p>Asiwe na ada Maalumu na asiweze kupambanua:<br \/>\nBasi huyo atatumia ada za wengi wa wanawake, hivyo basi hedhi itakuwa ni siku sita au saba katika kila mwezi, ataanzia mwanzo wa kipindi anapoona damu, na siku zilizosalia zitahesabiwa ni istihadha. Hii ni kwa kauli yake Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0kumwambia Hamnah binti Jahsh Radhi za Allah ziwe juu yake.<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0641\u062a\u062d\u064a\u0651\u064e\u0636\u064a \u0633\u062a\u0651\u064e\u0629 \u0623\u064a\u0651\u064e\u0627\u0645\u064d \u0623\u0648 \u0633\u0628\u0639\u0629\u064b\u060c \u062b\u0645\u0651\u064e \u0627\u063a\u062a\u0633\u0644\u064a\u060c \u0641\u0625\u0630\u0627 \u0627\u0633\u0652\u062a\u064e\u0646\u0652\u0642\u064e\u0623\u0652\u062a\u0650 \u0641\u0635\u0644\u0651\u0650\u064a \u0623\u0631\u0628\u0639\u0629\u064b \u0648\u0639\u0634\u0631\u064a\u0646\u060c \u0623\u0648 \u062b\u0644\u0627\u062b\u0629\u064b \u0648\u0639\u0634\u0631\u064a\u0646\u060c \u0648\u0635\u064f\u0648\u0645\u064a \u0648\u0635\u0644\u0651\u0650\u064a\u061b \u0641\u0625\u0646 \u0630\u0644\u0643 \u064a\u064f\u062c\u0632\u0626\u064f\u0643\u060c \u0648\u0643\u0630\u0644\u0643 \u0641\u0627\u0641\u0639\u0644\u064a \u0643\u0645\u0627 \u062a\u062d\u064a\u0636\u064f \u0627\u0644\u0646\u0633\u0627\u0621\u064f<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Basi hesabu kuwa wewe uko hedhini kwa siku sita au siku saba kisha oga, ukitakasika, basi swali kwa masiku ishirini na tatu na Ufunge na uswali, kwani hilo linakutosheleza. Na ufanye hivyo kama wanavyohidhi wanawake]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">\u00a0[Imepokewa na Abu Daud na At Tirmidhiy.]<\/span><\/span><\/p>\n<p>Kwa hivyo atafanya kama wanavyotwahirika wanawake wengine, kulingana na nyakati zao za hedhi na utwahara.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">HALI YA NNE:<\/span><\/p>\n<p>Awe na ada Maalumu na aweze kupambanua:<br \/>\nHuyu atazingatia ada na siyo kupambanua, kwa kuwa ada ina udhibiti zaidi kwa mwanamke. Na anaposahau ada yake basi atatumia upambanuzi.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI HALI YA KWANZA: Awe na ada inayojulikana ya siku zake za hedhi kabla ya kujiwa na istihadhah: Huyo atahesabu siku za kadiri ya ada yake kuwa ni hedhi na zinazosalia katika mwezi ni istihadhah, kwa hadithi ya \u2018Aisha Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Fatimah binti Abi Hubaish\u00a0Radhi za Allah ziwe [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":14491,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[68],"tags":[],"class_list":["post-5587","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5587","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5587"}],"version-history":[{"count":3,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5587\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14605,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5587\/revisions\/14605"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/14491"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5587"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5587"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5587"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}