{"id":5585,"date":"2021-06-21T20:38:43","date_gmt":"2021-06-21T20:38:43","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5585"},"modified":"2022-08-23T09:30:42","modified_gmt":"2022-08-23T09:30:42","slug":"miongoni-mwa-hukmu-za-hedhi","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/miongoni-mwa-hukmu-za-hedhi\/","title":{"rendered":"MIONGONI MWA HUKMU ZA HEDHI"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h3>\n<p><span style=\"color: #993300;\">1. HUKMU YA UVINDU NA UMANJANO<\/span><\/p>\n<p>Mwanamke akiona damu ya manjano au iliyochanganyika baina ya umanjano na weusi, au akaona umajimaji tu, huwa ni moja ya hali mbili:<\/p>\n<p>A). Ima aione wakati wa hedhi au imeungana na hedhi kabla ya utwahara:<\/p>\n<p>Katika hali hii itapewa hukumu ya hedhi, kwa hadithi ya Aishah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba wanawake walikuwa wakimtumia kibakuli ambacho ndani yake kuna pamba yenye dowa rangi ya manjano, na yeye akiwambia:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0627\u0646\u062a\u0638\u0631\u0646 \u0644\u0627 \u062a\u0639\u062c\u0644\u0646 \u062d\u062a\u0649 \u062a\u0631\u064a\u0646 \u0627\u0644\u0642\u0635\u0629 \u0627\u0644\u0628\u064a\u0636\u0627\u0621]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Ngojeni musifanye haraka mpaka muone paku leupe]\u00a0akikusudia kwa hilo ndio kutwahirika na hedhi<\/span><\/p>\n<p>B). Ima aione wakati wa twahara:<\/p>\n<p>Katika hali hii huwa haizingatiwi kuwa ni kitu chochote, na haimpasi udhu wala kuoga, kwa hadithi ya Ummu Atiyyah kwamba alisema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0643\u064f\u0646\u0651\u064e\u0627 \u0644\u0627 \u0646\u064e\u0639\u064f\u062f\u0651\u064f \u0627\u0644\u0652\u0643\u064f\u062f\u0652\u0631\u064e\u0629\u064e \u0648\u064e\u0627\u0644\u0635\u0651\u064f\u0641\u0652\u0631\u064e\u0629\u064e \u0628\u064e\u0639\u0652\u062f\u064e \u0627\u0644\u0637\u0651\u064f\u0647\u0652\u0631\u0650 \u0634\u064e\u064a\u0652\u0626\u064b\u0627]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Hatukuwa tukiizingatia damu iliyochafuka au iliyo manjano baada ya kujitwahirisha kuwa ni chochote]\u00a0\u00a0\u00a0\u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Abu Daud.].<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">2. HUKMU YA KUKATIKA KATIKA KWA HEDHI:<\/span><\/p>\n<p>Mwanamke aonapo damu siku moja na kukatika siku moja na mfano wake, basi yeye ni mojawapo wa hali mbili<\/p>\n<p>1. Hali hiyo iendelee na yeye kila wakati:<br \/>\nBasi hiyo ni damu ya istihadhah<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2.<\/span> Iwe yakatikakatika:<br \/>\nKwa namna ya kwamba ikawa yamjia wakati mwingine na atwahirika wakati mwingine. Basi hukumu yake ni kama ifuatayo:<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">a.<\/span> Kukatika damu kukipungua kwa siku moja, basi kipindi hiko kitahesabiwa kuwa ni katika kipindi cha hedhi.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">b.<\/span> Na akioona katika kipindi cha utwahara dalili za damu, kama kuona paku leupe, basi kipindi hiki ni cha utwahara, liwe ni dogo au kubwa, au liwe chini ya siku moja au zaidi.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI 1. HUKMU YA UVINDU NA UMANJANO Mwanamke akiona damu ya manjano au iliyochanganyika baina ya umanjano na weusi, au akaona umajimaji tu, huwa ni moja ya hali mbili: A). Ima aione wakati wa hedhi au imeungana na hedhi kabla ya utwahara: Katika hali hii itapewa hukumu ya hedhi, kwa hadithi ya Aishah [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":14491,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[68],"tags":[],"class_list":["post-5585","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5585","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5585"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5585\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14599,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5585\/revisions\/14599"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/14491"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5585"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5585"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5585"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}