{"id":5566,"date":"2021-06-21T20:24:48","date_gmt":"2021-06-21T20:24:48","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5566"},"modified":"2022-08-22T11:08:38","modified_gmt":"2022-08-22T11:08:38","slug":"hekima-ya-kuoga-janaba","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hekima-ya-kuoga-janaba\/","title":{"rendered":"HEKIMA YA KUOGA JANABA"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">HEKIMA YA KUOGA JANABA<\/span><\/h3>\n<p>Kuoga katika sheria lina hekima na faida nyingi, miongoni mwa hizo ni kama zifuatazo :<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">1.<\/span> Kupata thawabu<\/p>\n<p>Hii ni kwa sababu Kuoga kwa maana na mtazamo wa kisheria ni Ibaada kwa kuwa ndani yake kuna kutekeleza amri ya sheria na kuitumia hukumu ya sheria.<\/p>\n<p>Kwa hivyo lina hili la utekelezaji amri na hukumu ya sheria ujira mkubwa.<\/p>\n<p>Ni kwa mantiki hii ndio Bwana Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0akatuambia :<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0627\u0644\u0637\u0651\u064f\u0647\u064f\u0648\u0631\u064f \u0634\u064e\u0637\u0652\u0631\u064f \u0627\u0644\u0652\u0625\u0650\u064a\u0645\u064e\u0627\u0646\u0650]\u00a0 \u00a0 \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Twahara ni nusu ya imani]\u00a0 \u00a0 \u00a0[Imepokelewa na Muslim.]<\/span><\/p>\n<p>Ni vema ikaeleweka wazi kuwa twahara imekusanya udhu, Kuoga, Tayammum na mengineyo.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2.<\/span> Kuwa Msafi<\/p>\n<p>Muislamu anapokoga, mwili wake hutakasika na kuwa msafi.<\/p>\n<p>Usafi huu ni kinga kubwa ya vijidudu vinavyoweza kusababisha maradhi kama vile upele na humfanya muislamu anukie vema, kitu ambacho humkurubisha na watu kwani watu humteta mtu mchafu anukaye.<\/p>\n<p>Imepokelewa kutoka kwa Bibi Aisha Allah amuwie radhi kwamba amesema :<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0643\u0627\u0646 \u0623\u0635\u062d\u0627\u0628 \u0631\u0633\u0648\u0644 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0635\u0644\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648\u0633\u0644\u0645 \u0639\u0645\u0627\u0644 \u0623\u0646\u0641\u0633\u0647\u0645\u060c \u0648\u0643\u0627\u0646 \u064a\u0643\u0648\u0646 \u0644\u0647\u0645 \u0623\u0631\u0648\u0627\u062d\u060c \u0641\u0642\u064a\u0644 \u0644\u0647\u0645: \u0644\u0648 \u0627\u063a\u062a\u0633\u0644\u062a\u0645.]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">\u0645\u062a\u0641\u0642 \u0639\u0644\u064a\u0647<\/span><\/span><\/p>\n<p>[Maswahaba wa Bwana Mtume\u00a0\ufdfa walikuwa wakijifanyia kazi wenyewe (na hawakuwa na watumishi) wakawa na harufu mbaya ya jasho. Wakaambiwa na Mtume<\/p>\n<p>[Lau mngalikuwa mnakoga].\u00a0\u00a0\u00a0\u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim]<\/p>\n<p>Na katika upokezi mwingine Mtume \ufdfa Amesema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0644\u0648 \u0627\u063a\u062a\u0633\u0644\u062a\u0645 \u064a\u0648\u0645 \u0627\u0644\u062c\u0645\u0639\u0629]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Lau mngalikuwa mnajitwahirisha kwa ajili ya siku ya Ijumaa].<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3<\/span>. Kuwa mchangamfu na kupata nguvu.<\/p>\n<p>Mwili wa mwanadamu anapokoga huwa na nguvu mpya na kurudia kuwa katika hali ya uchangamfu baada ya ulegevu na uchovu ambao humsababisha uvivu na kutokujisikia kufanya jambo lolote zaidi ya kubweteka bwete!<\/p>\n<p>Hili la kujisikia kuchoka na mwili kunyong\u2019onyea hupatikana zaidi mara tu baada ya tendo la kujamiiana.<\/p>\n<p>Kwa maneno ya jumla, Hikma ya kuoga kwa ajili ya twahara na usafi humuandaa mtu na kumuweka katika nafasi nzuri ya kuwasiliana na kuzungumza na Mola Muumba wake ndani ya swala akiwa katika hali njema kabisa.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>HEKIMA YA KUOGA JANABA Kuoga katika sheria lina hekima na faida nyingi, miongoni mwa hizo ni kama zifuatazo : 1. Kupata thawabu Hii ni kwa sababu Kuoga kwa maana na mtazamo wa kisheria ni Ibaada kwa kuwa ndani yake kuna kutekeleza amri ya sheria na kuitumia hukumu ya sheria. Kwa hivyo lina hili la utekelezaji [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":14491,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[68],"tags":[],"class_list":["post-5566","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5566","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5566"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5566\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14564,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5566\/revisions\/14564"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/14491"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5566"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5566"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5566"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}