{"id":5550,"date":"2021-06-21T19:40:19","date_gmt":"2021-06-21T19:40:19","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5550"},"modified":"2022-08-22T10:40:24","modified_gmt":"2022-08-22T10:40:24","slug":"mambo-yaliyo-makruhu-katika-udhu","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/mambo-yaliyo-makruhu-katika-udhu\/","title":{"rendered":"MAMBO YALIYO MAKRUHU KATIKA UDHU"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h3>\n<p>Suala:&nbsp;Ni nini Maana ya Makruhi kisheria?<\/p>\n<p>Jawabu:&nbsp;Maana ya Makruhi katika Sheria<\/p>\n<p>Makruhi ni jambo ambalo ukiliwacha unapata Thawabu, na ukilifanya Hupati Dhambi<\/p>\n<p>na Mambo yanaochukizwa katika Udhu ni hayayafuatayo:<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">1.&nbsp;<\/span>Ni karaha kwa mwenye kutawadha kuacha suna yeyote miongoni mwa suna tulizozitaja chini ya anuani :[SUNA ZA UDHU].<\/p>\n<p>Kwa sababu kuacha kuzitekeleza suna hizo kutampelekea mtu huyo kukosa thawabu, na Muislamu wa kweli siku zote hupupia kuitekeleza ibada yake kwa ukamilifu na kwa namna ilivyofundishwa na mwenyewe Bwana Mtume&nbsp;\ufdfa&nbsp;.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2.&nbsp;<\/span>&nbsp;Ni karaha kuyatumia maji kwa israfu {fujo} kufanya hivyo ni&nbsp;kinyume na suna ya Bwana Mtume&nbsp;\ufdfa&nbsp;na kwa neno lake Mwenyezi Mungu Mtukufu:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0648\u0644\u0627 \u062a\u0633\u0631\u0641\u0648\u0627 \u0625\u0646\u0647 \u0644\u0627 \u064a\u062d\u0628 \u0627\u0644\u0645\u0633\u0631\u0641\u064a\u0646}&nbsp; &nbsp; &nbsp; \u0627\u0644\u0623\u0639\u0631\u0627\u0641:31<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Na wala msifanye ubadhirifu. Kwa hakika&nbsp; hapendi wanao fanya israfu.]<\/em>&nbsp;&nbsp;[7:31]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3.<\/span>&nbsp;Ni karaha kutanguliza kuosha mkono\/mguu<em>Yeye<\/em>&nbsp;wa kushoto kabla ya mkono\/mguu wa kulia, kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume na alivyotenda Bwana Mtume&nbsp;\ufdfa.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">4.<\/span>&nbsp;Ni karaha kukausha\/kufuta viungo vya udhu kwa kutumia leso\/taulo na kadhalika.<\/p>\n<p>Ukaraha huo utaondoka kwa udhuru kama vile baridi kali, hapo itakuwa si karaha. Imepokelewa kwamba Mtume \u2013Rehema na Amani zimshukie \u2013 aliletewa leso\/taulo (ili ajifutie) basi hakuigusa (hakuitumia)\u201d&nbsp; &nbsp;Bukhari.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">5.&nbsp;<\/span>Kuupiga uso kwa maji pia ni miongoni mwa mambo yaliyo karaha katika udhu. Kwa sababu kitendo hiki kinapingana na utukufu wa uso.<\/p>\n<p>6.&nbsp;Ni karaha kuzidisha kuosha au kupakaza zaidi ya mara tatu au kupunguza. Alisema Mtume&nbsp;\ufdfa&nbsp;baada ya kwisha kutawadha mara tatu tatu:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0647\u0643\u0630\u0627 \u0627\u0644\u0648\u0636\u0648\u0621\u060c \u0641\u0645\u0646 \u0632\u0627\u062f \u0639\u0644\u0649 \u0647\u0630\u0627 \u0641\u0642\u062f \u0623\u0633\u0627\u0621 \u0648\u062a\u0639\u062f\u0651\u064e\u0649 \u0648\u0638\u0644\u0645]&nbsp; <span style=\"color: #ff6600;\">&nbsp;\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u0628\u0648\u062f\u0627\u0648\u062f \u0648\u0627\u0644\u0646\u0633\u0627\u0626\u064a \u0648\u0625\u0628\u0646 \u0645\u0627\u062c\u0629<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Hivi ndivyo (unavokuwa) udhu, basi atakayezidisha zaidi ya hivi au kupunguza huyo atakuwa amekosea na kudhulumu]&nbsp;&nbsp;&nbsp; &nbsp;&nbsp;<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa Abuu Dawud, na Annasai na Ibnu Maajah]<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">7.<\/span>&nbsp;Ni karaha mtu kuoshwa viungo na mtu mwingine bila ya kuwa na udhuru ukubalikao kama ugonjwa.<\/p>\n<p>Hili limefanywa kuwa ni karaha na sheria kwa sababu ndani yake mna chembechembeza kibri na ubwana, vitu ambavyo vinapingana na uja\/utumwa kwa Mwenyezi Mungu.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">8.<\/span>&nbsp;Ni karaha kwa aliyefunga kuyapeleka ndani sana maji katika kusukutuwa na kupandisha maji puani.<\/p>\n<p>Hii ni kwa sababu ya kuchelea kumponyoka maji na kufika kooni yakaingia ndani na hivyo kusababisha kufisidika\/kuharibika swaumu yake. Amesema Mtume wa Mwenyezi mungu&nbsp;\ufdfa.<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0628\u0627\u0644\u063a \u0641\u064a \u0627\u0644\u0627\u0633\u062a\u0646\u0634\u0627\u0642 \u0625\u0644\u0627 \u0623\u0646 \u062a\u0643\u0648\u0646 \u0635\u0627\u0626\u0645\u064b\u0627]&nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #ff6600;\">\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u0628\u0648\u062f\u0648\u062f \u0648\u0627\u0644\u062a\u0631\u0645\u0630\u064a&nbsp;<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Na balighisha (yapeleke maji ndani sana) katika kupandisha maji puani, ila ukiwa umefunga (usibalighishe)]&nbsp;&nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #008000;\">[Imeokewa na Abuu Dawud.na Attirmidhiy]<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">TANBIIH:<\/span><\/p>\n<p>Ikiwa imekatazwa kubalighisha katika kupandisha maji puani kwa mfungaji, basi kubalighisha katika kusukutua ni bora zaidi kukatazwa.<\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI Suala:&nbsp;Ni nini Maana ya Makruhi kisheria? Jawabu:&nbsp;Maana ya Makruhi katika Sheria Makruhi ni jambo ambalo ukiliwacha unapata Thawabu, na ukilifanya Hupati Dhambi na Mambo yanaochukizwa katika Udhu ni hayayafuatayo: 1.&nbsp;Ni karaha kwa mwenye kutawadha kuacha suna yeyote miongoni mwa suna tulizozitaja chini ya anuani :[SUNA ZA UDHU]. Kwa sababu kuacha kuzitekeleza suna [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":14491,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[68],"tags":[],"class_list":["post-5550","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5550","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5550"}],"version-history":[{"count":6,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5550\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14538,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5550\/revisions\/14538"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/14491"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5550"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5550"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5550"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}