{"id":5527,"date":"2021-06-21T18:04:34","date_gmt":"2021-06-21T18:04:34","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=5527"},"modified":"2022-08-22T08:27:58","modified_gmt":"2022-08-22T08:27:58","slug":"maana-ya-kustanji-na-hukmu-yake","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/maana-ya-kustanji-na-hukmu-yake\/","title":{"rendered":"MAANA YA KUSTANJI NA HUKMU YAKE"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">SOMO LA FIQHI<\/span><\/h3>\n<p>Suali:&nbsp;Ni nini Maana ya Kustanji?<\/p>\n<p>Jawabu:&nbsp;Kustanji au Kutamba ni kusafisha na kuondoa najisi iliyotoka katika mojawapo ya tupu (uchi)mbili au zote mbili; tupu ya mbele na ya nyuma kwa kutumia maji twahara au kinachosimama mahala pa maji wakati wa kukosekana maji kama vile mawe, karatasi, kitambaa, majani na kadhalika.<\/p>\n<p>Na anatakiwa mwenye kutamba ahakikishe amejisafisha vema kiasi cha kutobakia athari ya najisi iliyotoka; ikiwa ni mkojo au mavi.<\/p>\n<p>Suali: Ni ipi Hukmu ya kutamba?<\/p>\n<p>Jawabu: Hukmu ya kutamba baada ya kukidhi haja ni Wajibu kama tutakavyoona katika kauli za Mtume&nbsp;\ufdfa&nbsp;katika maelezo yajayo.<\/p>\n<p>Kwa hadithi ya&nbsp;Anas bin Malik&nbsp;radhi za Allah ziwe juu yake kwamba yeye alisema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">&nbsp; &nbsp; \u0643\u0627\u0646 \u0631\u0633\u0648\u0644 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0635\u0644\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648\u0633\u0644\u0645 \u064a\u062f\u062e\u0644 \u0627\u0644\u062e\u0644\u0627\u0621 \u060c \u0641\u0623\u062d\u0645\u0644 \u0623\u0646\u0627 \u0648\u063a\u0644\u0627\u0645 \u0646\u062d\u0648\u064a [ \u0645\u0639\u064a ] \u0625\u062f\u0627\u0648\u0629 \u0645\u0646 \u0645\u0627\u0621 \u0648\u0639\u0646\u0632\u0629 \u060c \u0641\u064a\u0633\u062a\u0646\u062c\u064a \u0628\u0627\u0644\u0645\u0627\u0621 .<span style=\"color: #ff6600;\"> \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a \u0648\u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu \ufdfa akiingia chooni, na mimi nikibeba, na mvulana mwingine pamoja na mimi, chombo cha maji na bakora, akajisafisha na maji]&nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Bukhari na Muslim.].<\/span><\/span><\/p>\n<p>Na kwa sababu mtu hakubaliwi Ibaada yake akiwa na najisi mwilini au kwenye nguo zake,kwa hivyo inakuwa ni lazima kuondosha najisi kwa kutamba.<\/p>\n<p>Suali:&nbsp;Je inafaa kutamba kwa mawe peke yake?<\/p>\n<p>Jawabu:&nbsp;Inafaa kutamba kwa mawe au kwa karatasi na kitambaa, kwa masharti mawili:<\/p>\n<p>1.&nbsp;Mkojo au choo visipite zaidi ya mahali vinapotoka, vikipita basi itabidii atumie maji.<\/p>\n<p>2.&nbsp;Kutamba kwa mawe kuwe ni kwa kufuta mafuto matatu mpaka kusafishika kwa tupu ya mbele au ya nyuma na iondoke athari ya najisi.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>HIKMA YA KUTAMBA&nbsp;<\/strong><\/span><\/p>\n<p>Suali:&nbsp;Ni ipi hikma ya kutamba?<\/p>\n<p>Jawabu:&nbsp;&nbsp;Hekima ya kutamba kwa maji na kwa mawe<br \/>\n1.&nbsp;Kujitwahirisha na kuondoa najisi.<\/p>\n<p>2.&nbsp;Kuwa msafi na kujiepusha na visababisho vya magonjwa.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>TANABAHISHO&nbsp;<\/strong><\/span><\/p>\n<p>Haihitajii kutamba kwa kutokwa na upepo,au mtu anapotoka usingizini,bali anaehitaji kutamba ni yule ambae amekwenda haja ndogo au kubwa,wala si Sunna kufanya hivyo kama wengi wanavyo dhania.<\/p>\n<p>Na kutamba kwa maji ni bora kuliko kufuta kwa mawe, kwa kuwa huko kunatakasa zaidi na kutwahirisha zaidi.<\/p>\n<p>Suali:&nbsp;Ni yapi masharti ya vitu vya kutambia?<\/p>\n<p>Jawabu:&nbsp;Masharti ya kitu kifutio (jiwe au mfanowake) ni kama yafuatavyo:<br \/>\n1.&nbsp;Kiwe twahara. Kwani haifai kwa kitu najisi.<\/p>\n<p>2.&nbsp;Kiwe chafaa kutumiwa, kwani haifai kwa kitu kilicho haramu.<\/p>\n<p>3.&nbsp;Kiwe ni chenye kusafisha mahali pa najisi.<\/p>\n<p>4.&nbsp;Kisiwe ni mfupa au choo.imepokewa na Salman al- Farisi radhi za Allah ziwe juu yake asema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">&nbsp;\u0644\u064e\u0642\u064e\u062f\u0652 \u0646\u0647\u064e\u0627\u0646\u064e\u0627 \u0631\u0633\u0648\u0644\u064f \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0635\u064e\u0644\u0651\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u064e\u0644\u064e\u064a\u0652\u0647\u0650 \u0648\u064e\u0633\u064e\u0644\u0651\u0645: &#8220;\u0623\u0646\u0652 \u0646\u064e\u0633\u0652\u062a\u064e\u0642\u0628\u0644\u064e \u0627\u0644\u0642\u0628\u0644\u064e\u0629\u064e \u0628\u063a\u0627\u0626\u0650\u0637\u064d \u0623\u0648\u0652 \u0628\u0648\u0652\u0644\u064d\u060c \u0623\u0648 \u0623\u0646\u0652 \u0646\u0633\u0652\u062a\u064e\u0646\u0652\u062c\u064a\u064e \u0628\u0627\u0644\u064a\u064e\u0645\u064a\u0646\u0650\u060c \u0623\u0648 \u0646\u064e\u0633\u0652\u062a\u064e\u0646\u0652\u062c\u0650\u064a \u0628\u0623\u0642\u064e\u0644\u0651\u064e \u0645\u0646\u0652 \u062b\u0644\u0627\u062b\u064e\u0629\u0650 \u0623\u062d\u0652\u062c\u0627\u0631\u064d\u060c \u0623\u0648 \u0623\u0646 \u0646\u064e\u0633\u0652\u062a\u064e\u0646\u0652\u062c\u064a\u064e \u0628\u0650\u0631\u064e\u062c\u064a\u0639\u064d \u0623\u0648\u0652 \u0639\u064e\u0638\u0652\u0645\u064d&#8221;.&nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #ff6600;\"> \u0631\u0648\u0627\u0647\u064f \u0645\u0633\u0644\u0645\u064c<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Alitukataza Mtume \ufdfa kuelekea upande wa kibla kwa kwenda haja kubwa au ndogo, kutamba kwa mkono wa kulia, au kutamba kwa mawe yasofikia matatu na kutamba kwa choo au mfupa.]&nbsp;&nbsp;&nbsp;<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Muslim.]<\/span><\/span><\/p>\n<p>5.&nbsp;Kisiwe ni kitu kinachoheshimiwa kama chakula au karatasi iliyoandikwa vitu vinavyohishimiwa.<\/p>\n<p>Kutamba kwa mfupaKutamba kwa kitambaaKutamba kwa chakulaKutamba kwa hanchifuKutamba kwa karatasi inayoheshimikaKutamba kwa mawe<br \/>\nKutamba kwa mkono wa kulia<br \/>\nHaifai kutamba kwa mkono wa kulia kwa kauli ya Mtume&nbsp;\ufdfa&nbsp;aliyesema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0644\u0627 \u064a\u064f\u0645\u0633\u0650\u0643\u0646 \u0623\u062d\u062f\u0643\u0645 \u0630\u0643\u0631\u0647 \u0628\u064a\u0645\u064a\u0646\u0647 \u0648\u0647\u0648 \u064a\u0628\u0648\u0644 \u060c \u0648\u0644\u0627 \u064a\u062a\u0645\u0633\u062d \u0645\u0646 \u0627\u0644\u062e\u0644\u0627\u0621 \u0628\u064a\u0645\u064a\u0646\u0647 ] &nbsp;<span style=\"color: #ff6600;\"> \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Na asishike mmoja wenu dhakari yake (tupu ya mbele) kwa mkono wake wa kulia na asijifute choo kwa mkono wake wa kulia]&nbsp; &nbsp;&nbsp;<span style=\"color: #008000;\">[ Imepokewa na Muslim.]<\/span><\/span><\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SOMO LA FIQHI Suali:&nbsp;Ni nini Maana ya Kustanji? Jawabu:&nbsp;Kustanji au Kutamba ni kusafisha na kuondoa najisi iliyotoka katika mojawapo ya tupu (uchi)mbili au zote mbili; tupu ya mbele na ya nyuma kwa kutumia maji twahara au kinachosimama mahala pa maji wakati wa kukosekana maji kama vile mawe, karatasi, kitambaa, majani na kadhalika. Na anatakiwa mwenye [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":14491,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[68],"tags":[],"class_list":["post-5527","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5527","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=5527"}],"version-history":[{"count":7,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5527\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14511,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/5527\/revisions\/14511"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/14491"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=5527"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=5527"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=5527"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}