{"id":4887,"date":"2021-06-17T22:09:53","date_gmt":"2021-06-17T22:09:53","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4887"},"modified":"2021-10-06T12:37:42","modified_gmt":"2021-10-06T12:37:42","slug":"ushahidi-katika-kuuza-na-kununuwa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/ushahidi-katika-kuuza-na-kununuwa\/","title":{"rendered":"USHAHIDI KATIKA KUUZA NA KUNUNUWA"},"content":{"rendered":"<p><strong>Suala la tatu:<\/strong>\u00a0Ushahidi katika Kuuza na kununuwa Biashara.<br \/>\nInapendekeza katika uislamu kupatikane ushahidi katika kuuza na kununuwa wala si lazima, kwa mujibu wa neno lake Mwenyezi Mungu:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0648\u064e\u0623\u064e\u0634\u0652\u0647\u0650\u062f\u064f\u0648\u0627 \u0625\u0650\u0630\u064e\u0627 \u062a\u064e\u0628\u064e\u0627\u064a\u064e\u0639\u0652\u062a\u064f\u0645\u0652}\u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u0628\u0642\u0631\u0629:282}<\/p>\n<p><em>[Na shuhudieni munapouziana]<\/em>\u00a0 [Suratul Baqra, Aya:282].<\/p>\n<p>Kutokana na aya hii, Mwenyezi Mungu ameamrisha kupatikane ushahidi wakati wakuuziana; lakini maamrisho hayo ni ya kupendekeza wala si ya kulazimishwa, kwa dalili ya aya nyingine pindi aliposema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0641\u064e\u0625\u0650\u0646\u0652 \u0623\u064e\u0645\u0650\u0646\u064e \u0628\u064e\u0639\u0652\u0636\u064f\u0643\u064f\u0645 \u0628\u064e\u0639\u0652\u0636\u064b\u0627 \u0641\u064e\u0644\u0652\u064a\u064f\u0624\u064e\u062f\u0651\u0650 \u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a \u0627\u0624\u0652\u062a\u064f\u0645\u0650\u0646\u064e \u0623\u064e\u0645\u064e\u0627\u0646\u064e\u062a\u064e\u0647\u064f}\u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u0628\u0642\u0631\u0629:283}<\/p>\n<p><em>[Na kama mmoja wenu ameweka amana na mwengine basi aliyeaminiwa airudishe amana ya mwenzake.]<\/em>\u00a0 [Suratul Baqra, Aya:283].<\/p>\n<p>Amrisho lililotokana na aya hiyo ni amrisho la uongozi; ili kupatikane uthibitisho na maslahi.<br \/>\nImepokewa na\u00a0Amara Bin Khuzeima,\u00a0akipokea kutoka kwa babake mdogo, akisimulia khabari itokayo kwa Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0kuwa [amenunua farasi kutoka kwa beduwi (mwarabu) na hakuwa na uthibitisho na hapo kuna jopo la watu walimuendea beduwi kutaka kumnunua farasi na hawakujua kuwa tayari mtume amekwisha kumnunua.]<\/p>\n<p>Mafunzo yanayopatikana katika hadithi hii, lau kama ushuhuda ni jambo la lazima katika kuuzina Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0asingenunua farasi mpaka kupatikane shahidi kati yake na beduwi.<br \/>\nPamoja na hayo, Maswahaba wake Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0walikuwa wakifanya biashara katika masoko bila ya uthibitisho wowote, wala haijapokewa kutoka kwao kuwa ushuhuda ni jambo la wajibu pale unapotaka kuuza au kununuwa.<br \/>\nKuuza na kununuwa ni jambo hufanyika mara kwa mara katika masoko na lau ingelazimika kupatikane ushuhuda na uthibitisho baina ya watu ingepelekea kupatikana kwa mashaka kati yao.<br \/>\nMbali na hayo, kama bidhaa ni yenye thamani na haikupatikana wakati huo wa kufanya biashara basi inawajibika kupatikane ushahidi; ili utumike kwa siku zifuatazo panapotokea ikhitilafu kati ya Muuzaji na Mnunuzi.<\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Suala la tatu:\u00a0Ushahidi katika Kuuza na kununuwa Biashara. Inapendekeza katika uislamu kupatikane ushahidi katika kuuza na kununuwa wala si lazima, kwa mujibu wa neno lake Mwenyezi Mungu: \u0648\u064e\u0623\u064e\u0634\u0652\u0647\u0650\u062f\u064f\u0648\u0627 \u0625\u0650\u0630\u064e\u0627 \u062a\u064e\u0628\u064e\u0627\u064a\u064e\u0639\u0652\u062a\u064f\u0645\u0652}\u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u0628\u0642\u0631\u0629:282} [Na shuhudieni munapouziana]\u00a0 [Suratul Baqra, Aya:282]. Kutokana na aya hii, Mwenyezi Mungu ameamrisha kupatikane ushahidi wakati wakuuziana; lakini maamrisho hayo ni ya kupendekeza wala [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":9487,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[66],"tags":[],"class_list":["post-4887","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-fiqhi-ya-kuamilana"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4887","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4887"}],"version-history":[{"count":2,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4887\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9490,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4887\/revisions\/9490"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/9487"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4887"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4887"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4887"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}