{"id":4835,"date":"2021-06-17T21:19:13","date_gmt":"2021-06-17T21:19:13","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4835"},"modified":"2023-05-10T08:30:23","modified_gmt":"2023-05-10T08:30:23","slug":"maisha-ya-sayyidna-ali-katika-uhai-wa-mtume-%ef%b7%ba","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/maisha-ya-sayyidna-ali-katika-uhai-wa-mtume-%ef%b7%ba\/","title":{"rendered":"MAISHA YA SAYYIDNA ALI KATIKA UHAI WA MTUME \ufdfa"},"content":{"rendered":"<h4><span style=\"color: #993300;\">MAISHA YAKE KATIKA UHAI WA MTUME\u00a0<span style=\"color: #008000;\">\ufdfa<\/span><\/span><\/h4>\n<p>Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0alimuoza &#8216;Ali (r.a.) binti yake,\u00a0Fatimah\u00a0(r.a.), katika\u00a0mwaka wa pili wa hijra. Akamtayarishia nguo laini na mto wa ngozi\u00a0ambao uliwekwa majani ndani yake. Na yalikuwa maisha ya &#8216;Ali\u00a0(r.a.) na mkewe ni ya kupa nyongo ulimwengu na niya kimaskini na\u00a0ya kusubiri.\u00a0[Al-Murtadha uk. 40]<\/p>\n<p>Ali (r.a.) alikuwa pamoja na Mtume \ufdfa katika vita vya Badri.Na mapambano yake na Al-Walid ibn &#8216;Utbah maarufu.<\/p>\n<p>Pia alikuwa\u00a0\u00a0pamoja na Mtume \ufdfa katika vita vya Uhud. Na katika vita vya\u00a0Khandaq, &#8216;Ali (r.a.) alipambana na &#8216;Amru ibn &#8216;Abdu-Wudd ambaye\u00a0akilinganishwa na wapiganaji elfu moja kwa ushujaa wake. &#8216;Ali (r.a.)\u00a0alimuua.Na katika vita vya Al-Hudaybiyyah, &#8216;Ali (r.a.) alikuwa\u00a0mwandishi wa Waraka wa Sulhu. Na katika vita vya Khaybar, &#8216;Ali\u00a0(r.a.) alishika bendera ya jeshi la Walslamu. Na\u00a0akamuu wamwamba\u00a0wa Wayahudi aitwaye Murahhab. Na &#8216;Ali (r.a.) aliwahi kuinua lango la ngome moja, ambalo huinuliwa na watu arubaini.\u00a0[Al-Bidayah\u00a0Wan-Nihayah Juz. 7 uk. 225]<\/p>\n<p>Ali (r.a.) hakushiriki katika vita vya Tabuk kwa sababu alimwakilisha\u00a0Mtume \ufdfa kwa Ahli yake katika mji wa Madinah. &#8216;Ali (r.a.)\u00a0akamshtakia Mtume \ufdfa kuwa wanafiki wanasema maneno\u00a0mengi kuhusu yeye. Mtume (s.a.w.) akamwambia kwa kumtuliza:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0623\u0644\u0627 \u062a\u0631\u0636\u0649 \u0623\u0646 \u062a\u0643\u0648\u0646 \u0645\u0646\u064a \u0628\u0645\u0646\u0632\u0644\u0629 \u0647\u0627\u0631\u0648\u0646 \u0645\u0646 \u0645\u0648\u0633\u0649 \u060c \u0625\u0644\u0627 \u0623\u0646\u0647 \u0644\u064a\u0633 \u0646\u0628\u064a \u0628\u0639\u062f\u064a]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Je, wewe huridhiki kuwa daraja yako kwangu mimi ni kama vile\u00a0Harun kwa\u00a0Musa,\u00a0isipokuwa hakuna Mtume baada yangu.]\u00a0 \u00a0 \u00a0[AI-\u00a0Bidayah Wan-Nihayah Juz. 7 uk.\u00a0225]<\/span><\/p>\n<p>Mtume \ufdfa alimpeleka Khalid ibn Al-Walid (r.a.) pamoja na\u00a0Waislamu wengine kwa wakazi wa Yaman awalinganie katika\u00a0Uislamu, wakakaa huko kwa muda wa miezi sita, ila Wayaman\u00a0walikataa Kusilimu. Kisha Mtume \ufdfa akampeleka &#8216;Ali (r.a.),\u00a0akawasomea barua ya Mtume \ufdfa . Wakasilimu watu wote wa\u00a0kabila ya Hamadan. &#8216;Ali (r.a.) akamuandikia Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0kumjulisha kuhusu kusilimu kwao. Khabari hizo zilipomfikia Mtume\u00a0(s.a.w.)\u00a0akasujudu kwa furaha, kisha akainua kichwa chake\u00a0akisema: &#8220;Amani iwe juu ya Hamadan, amani iwe juu ya Hamadan.&#8221;\u00a0(Zad AI-Ma&#8217;ad Juz. 2 uk. 33)<\/p>\n<p>Abu Bakr (r.a.) alipotumwa kuwa amiri wa Hijja na Mtume (s.a.w.) katika mwaka 9H, kisha baadaye akaenda &#8216;Ali (r.a.) na aya za Qur&#8217;ani kutoka Suratut-Taubah akawasomea watu siku ya kuchinja; basi Abu Bakar (r.a.) aliendelea kuwaongoza watu katika Hijja, ilipofika siku ya kuchinja alisimama &#8216;Ali (r.a.) akawasomea watu aya hizo. Kisha akatangaza kuwa kafiri hataingia Peponi, na baada ya mwaka huu si ruhusa kwa mshiriki yeyote kuhiji. Pia hairuhusiwi kutufu uchi kwenye Al-Ka&#8217;bah. Na mwenye mkataba wowote na Mtume (s.a.w.) basi utadumu mkataba wake mpaka umalizike muda wake. (Ibn Hisham Juz. 2 uk. 543)<\/p>\n<p>Alipofariki Mtume (s.a.w.) &#8216;Ali (r.a.) alimuosha pamoja na &#8216;ammi\u00a0yake &#8216;Abbas (r.a.) na watoto wa &#8216;Abbas: Al-Fadhl na Qutham,\u00a0wakiwa pamoja na Shuqrah mtumwa wa Mtume (s.a.w.) na Usamah\u00a0ibn Zaid, na &#8216;Aus ibn Khaulah. Na walisimamia mazishi ya Mtume\u00a0(s.a.w.).<\/p>\n<blockquote><p>*Khulafaau Arrashidun 130-131<\/p><\/blockquote>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>MAISHA YAKE KATIKA UHAI WA MTUME\u00a0\ufdfa Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0alimuoza &#8216;Ali (r.a.) binti yake,\u00a0Fatimah\u00a0(r.a.), katika\u00a0mwaka wa pili wa hijra. Akamtayarishia nguo laini na mto wa ngozi\u00a0ambao uliwekwa majani ndani yake. Na yalikuwa maisha ya &#8216;Ali\u00a0(r.a.) na mkewe ni ya kupa nyongo ulimwengu na niya kimaskini na\u00a0ya kusubiri.\u00a0[Al-Murtadha uk. 40] Ali (r.a.) alikuwa pamoja na Mtume \ufdfa katika vita [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":20191,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[62],"tags":[],"class_list":["post-4835","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-ali-ibn-abi-twalib"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4835","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4835"}],"version-history":[{"count":7,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4835\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":20195,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4835\/revisions\/20195"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/20191"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4835"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4835"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4835"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}