{"id":4721,"date":"2021-06-17T15:48:27","date_gmt":"2021-06-17T15:48:27","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4721"},"modified":"2021-12-10T20:30:46","modified_gmt":"2021-12-10T20:30:46","slug":"kumtakasia-mwenyezi-mungu-ibaada","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/kumtakasia-mwenyezi-mungu-ibaada\/","title":{"rendered":"KUMTAKASIA MWENYEZI MUNGU IBAADA"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #800000;\"><strong>KUMTAKASIA MWENYEZI MUNGU IBAADA<\/strong><\/span><\/h3>\n<p>Nini Ikhlasi? Ikhlasi ina maana nyingi; Kuna wanao sema: Ikhlasi ni kuwa sawa ndani ya mwanaadamu na nje yake. Wengine wasema: Ikhlasi n ikufanya vitendo bila yakujionesha. Na mtu yoyote anayefanya vitendo vyoyote bila ya kujitakasa, vitendo vyake havikubaliwi. Kwasababu Ikhlasi ni nguzo muhimu ya kukubaliwa vitendo, Na kwa sababu ya Ikhlas huzidishiwa daraja mtu.<\/p>\n<p>Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) hakubali vitendo ila viwe ni vyema vimefanywa kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala). Mwenye kufanya vitendo na akamshirikisha Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) kwa kumkusudia mtu mwengine asiyekuwa Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala), Mwenyezi Mungu Mtukufu hakubali amali yake, hata amali hiyo iwe nyingi kiasi gani. Dalili katika hayo ni maneno yake Mwenyezi Mungu Mtukufu Aliposema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0625\u0650\u0646\u0651\u064e\u0627 \u0623\u064e\u0646\u0632\u064e\u0644\u0652\u0646\u064e\u0627 \u0625\u0650\u0644\u064e\u064a\u0652\u0643\u064e \u0627\u0644\u0652\u0643\u0650\u062a\u064e\u0627\u0628\u064e \u0628\u0650\u0627\u0644\u0652\u062d\u064e\u0642\u0651\u0650 \u0641\u064e\u0627\u0639\u0652\u0628\u064f\u062f\u0650 \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u0645\u064f\u062e\u0652\u0644\u0650\u0635\u064b\u0627 \u0644\u0651\u064e\u0647\u064f \u0627\u0644\u062f\u0651\u0650\u064a\u0646\u064e} \u00a0 \u00a0 \u0627\u0644\u0632\u0645\u0631:2<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu].<\/em>\u00a0\u00a0 \u00a0[Az-zumar 2].<\/span><\/p>\n<p>Enyi Waislamu jueni ya kuwa vitendo vyote lazima viwe na (Ikhlas) kujitakasa. Amesema Mwenyezi Mungu Mtukuf:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0642\u064f\u0644\u0652 \u0623\u064e\u0645\u064e\u0631\u064e \u0631\u064e\u0628\u0651\u0650\u064a \u0628\u0650\u0627\u0644\u0652\u0642\u0650\u0633\u0652\u0637\u0650 \u06d6 \u0648\u064e\u0623\u064e\u0642\u0650\u064a\u0645\u064f\u0648\u0627 \u0648\u064f\u062c\u064f\u0648\u0647\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0639\u0650\u0646\u062f\u064e \u0643\u064f\u0644\u0651\u0650 \u0645\u064e\u0633\u0652\u062c\u0650\u062f\u064d \u0648\u064e\u0627\u062f\u0652\u0639\u064f\u0648\u0647\u064f \u0645\u064f\u062e\u0652\u0644\u0650\u0635\u0650\u064a\u0646\u064e \u0644\u064e\u0647\u064f \u0627\u0644\u062f\u0651\u0650\u064a\u0646\u064e \u06da \u0643\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0628\u064e\u062f\u064e\u0623\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u062a\u064e\u0639\u064f\u0648\u062f\u064f\u0648\u0646\u064e} \u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u0623\u0639\u0631\u0627\u0641:29<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Sema: Mola Mlezi wangu ameamrisha uadilifu, na mumuelekeze nyuso zenu kila mnapo sujudu, na muombeni Yeye kwa kumsafia Dini. Kama alivyo kuumbeni mwanzo ndivyo mtavyo rudi]<\/em>\u00a0\u00a0\u00a0[A- Araf : 29].<\/span><br \/>\nAmesema tena Mwenyezi Mungu Mtukufu:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0648\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0623\u064f\u0645\u0650\u0631\u064f\u0648\u0627 \u0625\u0650\u0644\u0651\u064e\u0627 \u0644\u0650\u064a\u064e\u0639\u0652\u0628\u064f\u062f\u064f\u0648\u0627 \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u0645\u064f\u062e\u0652\u0644\u0650\u0635\u0650\u064a\u0646\u064e \u0644\u064e\u0647\u064f \u0627\u0644\u062f\u0651\u0650\u064a\u0646\u064e \u062d\u064f\u0646\u064e\u0641\u064e\u0627\u0621\u064e \u0648\u064e\u064a\u064f\u0642\u0650\u064a\u0645\u064f\u0648\u0627 \u0627\u0644\u0635\u0651\u064e\u0644\u064e\u0627\u0629\u064e \u0648\u064e\u064a\u064f\u0624\u0652\u062a\u064f\u0648\u0627 \u0627\u0644\u0632\u0651\u064e\u0643\u064e\u0627\u0629\u064e \u06da \u0648\u064e\u0630\u064e\u0670\u0644\u0650\u0643\u064e \u062f\u0650\u064a\u0646\u064f \u0627\u0644\u0652\u0642\u064e\u064a\u0651\u0650\u0645\u064e\u0629\u0650} \u0627\u0644\u0628\u064a\u0646\u0629:5<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Dini madhubuti.] <\/em>\u00a0\u00a0[.Bayyina: 5].<\/span><br \/>\nSifa na vitendo vyote vilivyo mbali na ikhlasi havikubaliwi na Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala). Ewe mja wa Mwenyezi Mungu ni kukusudia vitendo kwa ajili ya Mwenyezi Mungu peke yake wala usimshirikishe na chochote ndio utapata malipo kutoka kwa Allah.<br \/>\nZingatia Ewe Muislamu ni vipi Qur\u2019an ina muombea mwenye kuisoma, pamoja na kuwa Qura\u2019n ni maombezi siku ya kiyama lakini hapa haikumuombea kwa sababu ya kukosa ikhlas. Ni hivyo hivyo mali hayamuombei mwenye mali kwa kufanyia watu wema kuunga kizazi kwa sababu ya kukosa ikhlas. Na vile vile aliyepigana vita lakini kupigana kwake hakukumsaidia Allah. Kwa sababu alikuwa mbali na ikhlas. Je mimi na wewe tuko wapi? Ole wetu tukihalifu ikhlas ambayo ni nguzo kubwa ya kukubaliwa vitendo.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>MAMBO YANAYO HARIBU IKHLASI:<\/strong><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">A)<\/span> Kumshirikisha Mwenyezi Mungu sawa kwa shiriki ndogo au kubwa.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">(1)<\/span> Shirki kubwa : Ni kuthibitisha mshirika wa Mwenyezi Mungu kwa kukusudiwa mwingine. Na Shirki hii inamtoa mtu kwenye dini, na kwasababu ya shirki ataingia motoni na atabaki humo milele na shirki kubwa hubatilisha na kuharibu vitendo yote.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">(2)<\/span> Shirki ndogo: nayo ni kila neno au kitendo kilicho kusudiwa kuonyesha watu. Shirki hii haimtoi mtu katika dini kama kujionesha kutaka sifa.<br \/>\nNa hio ni mbaya kwa muumin, kwasabau inakanusha ikhlas na inabatilisha vitendo ambavyo vimepatikana kwa kujionesha sio kwa ajli ya Allah. Imepokewa na Mahmuod Ibnu Labidi ya kwamba Mtume (Swalla Llahu \u2018alayhi wasallam) Amesema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0625\u0650\u0646\u064e\u0651 \u0623\u064e\u062e\u0652\u0648\u064e\u0641\u064e \u0645\u064e\u0627 \u0623\u064e\u062e\u064e\u0627\u0641\u064f \u0639\u064e\u0644\u064e\u064a\u0652\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0627\u0644\u0634\u0650\u0651\u0631\u0652\u0643\u064f \u0627\u0644\u0652\u0623\u064e\u0635\u0652\u063a\u064e\u0631\u064f] \u0642\u064e\u0627\u0644\u064f\u0648\u0627 \u0648\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0634\u0650\u0651\u0631\u0652\u0643\u064f \u0627\u0644\u0652\u0623\u064e\u0635\u0652\u063a\u064e\u0631\u064f \u064a\u064e\u0627 \u0631\u064e\u0633\u064f\u0648\u0644\u064e \u0627\u0644\u0644\u064e\u0651\u0647\u0650 \u0642\u064e\u0627\u0644\u064e:[\u0627\u0644\u0631\u0650\u0651\u064a\u064e\u0627\u0621\u064f \u064a\u064e\u0642\u064f\u0648\u0644\u064f \u0627\u0644\u0644\u064e\u0651\u0647\u064f \u0639\u064e\u0632\u064e\u0651 \u0648\u064e\u062c\u064e\u0644\u064e\u0651 \u0644\u064e\u0647\u064f\u0645\u0652 \u064a\u064e\u0648\u0652\u0645\u064e \u0627\u0644\u0652\u0642\u0650\u064a\u064e\u0627\u0645\u064e\u0629\u0650 \u0625\u0650\u0630\u064e\u0627 \u062c\u064f\u0632\u0650\u064a\u064e \u0627\u0644\u0646\u064e\u0651\u0627\u0633\u064f \u0628\u0650\u0623\u064e\u0639\u0652\u0645\u064e\u0627\u0644\u0650\u0647\u0650\u0645\u0652 \u0627\u0630\u0652\u0647\u064e\u0628\u064f\u0648\u0627 \u0625\u0650\u0644\u064e\u0649 \u0627\u0644\u064e\u0651\u0630\u0650\u064a\u0646\u064e \u0643\u064f\u0646\u0652\u062a\u064f\u0645\u0652 \u062a\u064f\u0631\u064e\u0627\u0621\u064f\u0648\u0646\u064e \u0641\u0650\u064a \u0627\u0644\u062f\u064f\u0651\u0646\u0652\u064a\u064e\u0627 \u0641\u064e\u0627\u0646\u0652\u0638\u064f\u0631\u064f\u0648\u0627 \u0647\u064e\u0644\u0652 \u062a\u064e\u062c\u0650\u062f\u064f\u0648\u0646\u064e \u0639\u0650\u0646\u0652\u062f\u064e\u0647\u064f\u0645\u0652 \u062c\u064e\u0632\u064e\u0627\u0621\u064b \u00a0 \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u062d\u0645\u062f \u0648\u0627\u0644\u0637\u0628\u0631\u0627\u0646\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Ni nalo waaogopea juu yenu ni shirki ndogo wakasema ni ipi shirki ndogo?. Akasema: ni Riya.<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) atawaambia wao siku ya kiyama atakapo walipa watu kwa vitendo vyao: Nendeni kwa wale mliyo kuwa mkijionesha katika dunia muangalie mtapata malipo kwao]\u00a0 \u00a0 \u00a0\u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imetolewa na Ahmad na Al Twabraaniy].<\/span><\/span><\/p>\n<p>B) Kukusudia Dunia kupitia vitendo vya akhera. Nayo nikufanya baadhi ya vitendo vya akhera kwa ajili ya kupata starehe za ulimwengu. Mfano anae pigana kwa ajili ya kupata Ghanima mali ya makafiri, au kufundisha ilimu ya Dini kwa sababu ya kupata Shahada cheti au kupata kazi. Na hayo kuna hali mbili:<br \/>\n(1) Ikiwa kutaka ulimwengu kwa kitendo cha akhera ni chenye kukusudiwa kwa ajili ya ulimwengu, au kikawa ni sawa sawa na kusidio ya akhera. Kufanya hivyo, inapelekea kuharibu ikhlasi, bali inapelekea kupata dhambi, na kubatilisha vitendo vyote. Amepokea Ubayyah Ibnu Kaab akisema; Amesema Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0628\u064e\u0634\u0650\u0651\u0631\u0652 \u0647\u064e\u0630\u0650\u0647\u0650 \u0627\u0644\u0652\u0623\u064f\u0645\u064e\u0651\u0629\u064e \u0628\u0650\u0627\u0644\u0633\u064e\u0651\u0646\u064e\u0627\u0621\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0631\u0650\u0651\u0641\u0652\u0639\u064e\u0629\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u062f\u0650\u0651\u064a\u0646\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0646\u064e\u0651\u0635\u0652\u0631\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u062a\u064e\u0651\u0645\u0652\u0643\u0650\u064a\u0646\u0650 \u0641\u0650\u064a \u0627\u0644\u0652\u0623\u064e\u0631\u0652\u0636\u0650 \u060c \u0641\u064e\u0645\u064e\u0646\u0652 \u0639\u064e\u0645\u0650\u0644\u064e \u0645\u0650\u0646\u0652\u0647\u064f\u0645\u0652 \u0639\u064e\u0645\u064e\u0644\u064e \u0627\u0644\u0652\u0622\u062e\u0650\u0631\u064e\u0629\u0650 \u0644\u0650\u0644\u062f\u064f\u0651\u0646\u0652\u064a\u064e\u0627 \u060c \u0644\u064e\u0645\u0652 \u064a\u064e\u0643\u064f\u0646\u0652 \u0644\u064e\u0647\u064f \u0641\u0650\u064a \u0627\u0644\u0652\u0622\u062e\u0650\u0631\u064e\u0629\u0650 \u0646\u064e\u0635\u0650\u064a\u0628\u064c] \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u062d\u0645\u062f<\/span><\/span><\/p>\n<p>[Wape bishara umma huu kwa utukfu na kunusurika kwa dini na kuamikinika katika Ardhi, Mwenye kufanya katika wao kitendo cha akhera kwa ajili ya ulimwengu, hatakuwa na \u00a0fungu siku ya akhera] \u00a0\u00a0[Imepokewa na Ahmad]<\/p>\n<p>Ewe Mwenyezi Mungu takasa vitendo vyetu na shirki, na utujaalie kuwa na ikhlasi katika Matendo yetu ya dhahiri na yasiri.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>MATUNDA YA IKHLASI<\/strong><\/span><\/p>\n<p>Kumtakasia Mwenyezi Mungu Ibaada kuna faida nyingi sana miongoni mwa faida ya Ikhlasi ni haya yanayofuata:<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">1)<\/span> Ni kuthibitisha tawhidi na Akida ya Muislamu, pamoja na kusalimika na unafiki.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">2)<\/span> Kuingia Peponi na kuepukana na moto. Na Muisilamu anapo ingia motoni ni kuwa hakuwa na Ikhlasi katika Matendo yake.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">3)<\/span> Kukubaliwa vitendo na kuongezewa malipo.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">4)<\/span> Kusamehewa madhambi<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">5)<\/span> Kuonja utamu wa ibada na daraja zake.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">6)<\/span> Kufaulu kupata uombezi wa Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0siku ya akhera.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">7)<\/span> Kupata amani kwa ukamilifu, na uongofu duniani na ahkera<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">8)<\/span> Kuhifadhiwa na fitna na vitimbi vya shetani.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">9)<\/span> Kumkomboa mja na ibada ya Shetani<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">10)<\/span> Kufurahiwa na watu na kupendwa.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">11)<\/span> Kuepushwa moyo wake na uchafu wa kujiona kibri na hasadi.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">12)<\/span> Kupata nusra ya Mwenyezi Mungu.<\/p>\n<p>Na alikuwa Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0Akijilinda kwa Mwenyezi Mungu kuingia katika shirki kwa sababu ya kukosa ikhlasi.<br \/>\nAnasema Mtume\u00a0\ufdfa:\u00a0[Shirki imefichika kama ubawa wa chungu mweusi nitakujulisha jambo ukilifanya itakuwa kando na wewe shirki ndogo na kubwa. Sema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0627\u0644\u0644\u0647\u0645 \u0625\u0646\u064a \u0623\u0639\u0648\u0630 \u0628\u0643 \u0623\u0646 \u0623\u0634\u0631\u0643 \u0628\u0643 \u0634\u064a\u0626\u0627\u064b \u0648\u0623\u0646\u0627 \u0623\u0639\u0644\u0645\u060c \u0648\u0623\u0633\u062a\u063a\u0641\u0631\u0643 \u0645\u0646 \u0627\u0644\u0630\u0646\u0628 \u0627\u0644\u0630\u064a \u0644\u0627 \u0623\u0639\u0644\u0645] \u00a0<span style=\"color: #ff6600;\"> \u00a0\u0623\u062e\u0631\u062c\u0647 \u0623\u062d\u0645\u062f<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Ewe Mwenyezi Mungu, hakika mimi najilinda kwako na kukushirikisha hali najuwa, naomba msamaha kwako kwa nisilo lijuwa]. \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Ahmad]<\/span><\/span><\/p>\n<p>Ewe Mwenyezi Mungu turuzuku ikhlasi katika maneno na vitendo.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>Mwisho<\/strong><\/span><br \/>\nEwe ndugu Muislamu hakuna katika sisi asiye taka kufaulu. Basi tunapo taka kufaulu tushikamane na ikhlasi, kwani ikhlasi ni katika nguzo za kukubaliwa vitendo vyetu. Kama ilivyopokewa kutoka kwa maneno ya wanavyuoni sharuti zakukubaliwa matendo ni mbili: (1) Ikhlasi (2) Kumfuata Mtume\u00a0\ufdfa.<\/p>\n<p>Tunakuomba Mwenyezi Mungu uturuzuku ikhlasi na utuepushe na kujonyesha katika vitendo vyetu. Ewe Mwenyezi Mungu tuhifadhi na utulinde kutokushirikisha wewe na kitu chochote.<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #993300;\"><em>KWA FAIDA ZAIDI SIKILA MADA HII NA SHEIKH HAMMAD QASIMA<\/em><\/span><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><iframe loading=\"lazy\" style=\"display: block; margin-left: auto; margin-right: auto;\" src=\"https:\/\/archive.org\/embed\/IKHLAASKUMTAKASIAMUNGUIBAADA\" width=\"500\" height=\"30\" frameborder=\"0\" allowfullscreen=\"allowfullscreen\"><\/iframe><\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>KUMTAKASIA MWENYEZI MUNGU IBAADA Nini Ikhlasi? Ikhlasi ina maana nyingi; Kuna wanao sema: Ikhlasi ni kuwa sawa ndani ya mwanaadamu na nje yake. Wengine wasema: Ikhlasi n ikufanya vitendo bila yakujionesha. Na mtu yoyote anayefanya vitendo vyoyote bila ya kujitakasa, vitendo vyake havikubaliwi. Kwasababu Ikhlasi ni nguzo muhimu ya kukubaliwa vitendo, Na kwa sababu ya [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":9137,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[96],"tags":[],"class_list":["post-4721","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sehemu-ya-imani"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4721","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4721"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4721\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":12089,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4721\/revisions\/12089"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/9137"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4721"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4721"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4721"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}