{"id":4685,"date":"2021-06-17T08:49:42","date_gmt":"2021-06-17T08:49:42","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4685"},"modified":"2021-12-11T15:35:13","modified_gmt":"2021-12-11T15:35:13","slug":"umoja-wa-kiislamu-sehemu-ya-tatu","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/umoja-wa-kiislamu-sehemu-ya-tatu\/","title":{"rendered":"UMOJA WA KIISLAMU SEHEMU YA TATU"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">UMOJA WA KIISLAMU SEHEMU YA TATU<\/span><\/h3>\n<p>Tulizungumza katika sehemu ya pili mambo yenye kutilia nguvu umoja wa kiislamu ,tukasema kuwa ni umoja katika itikadi (imani ) na tukafafanua kwa kadri tulivo afikiwa na mwenyezimgu sub hana hu wa taala.<\/p>\n<p>Leo tukizungumzia jambo lengine lenye kutilia nguvu Umoja katika Uislamu;<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">UMOJA WA SHERIA NA SHAAIR (ALAMA ,NEMBO, VITAMBULISHI)<\/span><\/p>\n<p>Ukitazama mambo yote wanao yafanyia kazi waislamu katika mambo yao ya kiibada utaona kuwa hakuna tofauti katika misingi ya utekelezaji wa mambo yenyewe, vilevile katika mambo ya kuhukumiana kwao.Mwenyezi Mungu anasema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0634\u064e\u0631\u064e\u0639\u064e \u0644\u064e\u0643\u064f\u0645 \u0645\u0651\u0650\u0646\u064e \u0627\u0644\u062f\u0651\u0650\u064a\u0646\u0650 \u0645\u064e\u0627 \u0648\u064e\u0635\u0651\u064e\u0649\u0670 \u0628\u0650\u0647\u0650 \u0646\u064f\u0648\u062d\u064b\u0627 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a \u0623\u064e\u0648\u0652\u062d\u064e\u064a\u0652\u0646\u064e\u0627 \u0625\u0650\u0644\u064e\u064a\u0652\u0643\u064e \u0648\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0648\u064e\u0635\u0651\u064e\u064a\u0652\u0646\u064e\u0627 \u0628\u0650\u0647\u0650 \u0625\u0650\u0628\u0652\u0631\u064e\u0627\u0647\u0650\u064a\u0645\u064e \u0648\u064e\u0645\u064f\u0648\u0633\u064e\u0649\u0670 \u0648\u064e\u0639\u0650\u064a\u0633\u064e\u0649\u0670 \u06d6 \u0623\u064e\u0646\u0652 \u0623\u064e\u0642\u0650\u064a\u0645\u064f\u0648\u0627 \u0627\u0644\u062f\u0651\u0650\u064a\u0646\u064e \u0648\u064e\u0644\u064e\u0627 \u062a\u064e\u062a\u064e\u0641\u064e\u0631\u0651\u064e\u0642\u064f\u0648\u0627 \u0641\u0650\u064a\u0647\u0650}<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Allah anasema :amekuamrisheni dini ile aliyo muusia nuhu na tulio kufunulia wewe ,na tulio wausia Ibrahim na musa na issa ,kwamba shikamaneni na dini wala msifarikane kwayo.]\u00a0<\/em>\u00a0\u00a0 [shuraa: 13]<\/span><\/p>\n<p>Anasema\u00a0Sheikh Al Saady\u00a0Allah amrehemu:&#8221;Na miongoni mwa ijtimai katika dini ni kuto tafautiana ni yale mambo yalio amrishwa na sharia katika mikusanyiko ya pamoja kama mikusanyiko ya ibada ya hajj ,idi mbili ,swala tano ,na jihad na mengineo katika mambo ya ibada ambayo hayawezi kukamilika ispokuwa kwa kuwa pamoja&#8221;.<br \/>\nAllah ameweka sheria kwa waislamu katika dini mambo ambayo yatakuwa ni yenye kuwakurubisha waumini kwa mola wao na kumtukuza ,miongoni mwa sheria hizo tukufu ni nguzo tano za uisilamu, kama ilivo pokewa na ibnu umar anasema ,anasema Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u00a0[\u0628\u064f\u0646\u064e\u064a \u0627\u0644\u0625\u0633\u0644\u0627\u0645\u064f \u0639\u0644\u0649 \u062e\u064e\u0645\u0652\u0633\u064d : \u0634\u0647\u0627\u062f\u064e\u0629\u0650 \u0623\u064e\u0646\u0652 \u0644\u0627 \u0625\u0644\u0647\u064e \u0625\u0644\u0627 \u0627\u0644\u0644\u0647\u064f \u0648\u0623\u064e\u0646\u0651\u064e \u0645\u062d\u0645\u0651\u064e\u062f\u0627\u064b \u0631\u0633\u0648\u0644\u064f \u0627\u0644\u0644\u0647\u0650\u060c \u0648\u0625\u0642\u064e\u0627\u0645\u0650 \u0627\u0644\u0635\u0651\u064e\u0644\u0627\u0629\u0650\u060c \u0648\u0625\u064a\u062a\u064e\u0627\u0621\u0650 \u0627\u0644\u0632\u0651\u064e\u0643\u0627\u0629\u0650\u060c \u0648\u062d\u064e\u062c\u0651\u0650 \u0627\u0644\u0628\u064e\u064a\u0652\u062a\u0650\u060c \u0648\u0635\u064e\u0648\u0652\u0645\u0650 \u0631\u064e\u0645\u064e\u0636\u064e\u0627\u0646\u064e]\u00a0 \u00a0 \u00a0 <span style=\"color: #ff6600;\">\u00a0 \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Uislamu umejengwa kwa mambo matano, shahada mbili , swala ,zaka, hajj na swaumu ya mwezi wa ramadhani.]\u00a0\u00a0\u00a0 \u00a0 <span style=\"color: #008000;\">\u00a0[Imepokewa na Bukahri]<\/span><\/span><\/p>\n<p>Na nguzo hizi tano zina muhusu kila Muislamu na Allah ameweka sheria kwa nguzo hizi ili kuthubitisha nguvu za Umma wa Kiislamu na mshikamano na kusaidiana kati yao.kama ambavyo sheria hizi ni upeo wa uzuri na uwadilifu na umoja kwa lengo la kuwapangia maisha na kupata mafanikio ya maisha ya Duniani na Akhera kwa Wanaadamu.<br \/>\nPindi unapo tazama malengo matukufu ya sharia utaona kwa ujumla wake yapo kwa lengo la kuyathibitisha maslahi ya Umma wa Kiislamu kwa upande wa nguvu ,Umoja na kusaidiana kati yao, kwa mfano miongoni mwa malengo ya kuwekwa Sharia ya vita ni kuwasaidia wanyonge na kuondosha dhulma kati ya wanaadamu ,Allah anasema katika Qur&#8217;ani Tukufu:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0648\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0644\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0644\u064e\u0627 \u062a\u064f\u0642\u064e\u0627\u062a\u0650\u0644\u064f\u0648\u0646\u064e \u0641\u0650\u064a \u0633\u064e\u0628\u0650\u064a\u0644\u0650 \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0652\u0645\u064f\u0633\u0652\u062a\u064e\u0636\u0652\u0639\u064e\u0641\u0650\u064a\u0646\u064e \u0645\u0650\u0646\u064e \u0627\u0644\u0631\u0651\u0650\u062c\u064e\u0627\u0644\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0646\u0651\u0650\u0633\u064e\u0627\u0621\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0652\u0648\u0650\u0644\u0652\u062f\u064e\u0627\u0646\u0650 \u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a\u0646\u064e \u064a\u064e\u0642\u064f\u0648\u0644\u064f\u0648\u0646\u064e \u0631\u064e\u0628\u0651\u064e\u0646\u064e\u0627 \u0623\u064e\u062e\u0652\u0631\u0650\u062c\u0652\u0646\u064e\u0627 \u0645\u0650\u0646\u0652 \u0647\u064e\u0670\u0630\u0650\u0647\u0650 \u0627\u0644\u0652\u0642\u064e\u0631\u0652\u064a\u064e\u0629\u0650 \u0627\u0644\u0638\u0651\u064e\u0627\u0644\u0650\u0645\u0650 \u0623\u064e\u0647\u0652\u0644\u064f\u0647\u064e\u0627 \u0648\u064e\u0627\u062c\u0652\u0639\u064e\u0644 \u0644\u0651\u064e\u0646\u064e\u0627 \u0645\u0650\u0646 \u0644\u0651\u064e\u062f\u064f\u0646\u0643\u064e \u0648\u064e\u0644\u0650\u064a\u0651\u064b\u0627 \u0648\u064e\u0627\u062c\u0652\u0639\u064e\u0644 \u0644\u0651\u064e\u0646\u064e\u0627 \u0645\u0650\u0646 \u0644\u0651\u064e\u062f\u064f\u0646\u0643\u064e \u0646\u064e\u0635\u0650\u064a\u0631\u064b\u0627<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Na mna nini msipigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu na ya wale wanao onewa, wanaume na wanawake na watoto, ambao husema: Mola Mlezi wetu! Tutoe katika mji huu ambao watu wake ni madhaalimu, na tujaalie tuwe na mlinzi anaye toka kwako, na tujaalie tuwe na wa kutunusuru anaye toka kwako]<\/em>\u00a0 \u00a0 \u00a0\u00a0[Al Nnisaa:75]<\/span><\/p>\n<p>Pia ukiitazama Ibada ya zaka utaiona kuwa ni faradhi inao wahusu wana jamii inaotoka katika nyoyo za Matajiri kwa lengo la kuwatakasa na uchoyo na ubakhili na kuyasafisha Mali yao,na hii ni njia pekee ilio faulu katika kupambana na ufukara ulio kithiri katika miji.<br \/>\nVilevile katika utekelezaji wa ibada ya Swala kwa pamoja pia ibada ya Hajj ambapo Mahujaji wote wanaitikia mwito wa kumpwekesha Mwenyezi Mungu kwa sauti moja wakiwa katika viwanja vya Minaa na Arafa bila ya kutafautisha kati ya kiongozi (mfalme ) na raia na kati ya mweupe na mweusi na kati ya muarabu na asiekuwa muarabu.<br \/>\nNa katika kuzifanyia kazi Sharia hizi za Uislamu hakuna tofauti kati ya Mke na Mume,au Mkumbwa na Mdogo au kati ya Muungwana na Mtumwa,wote wapo sawa mbele ya Sharia ya Mwenyezi Mungu.kama ilivo pokewa katika hadithi ya Aisha kuhusu mwanamke wa kabila la Quraishi alieiba ,likawa kubwa jambo lake kwa kuwa atapishiwa hukumu ya kukatwa mkono na yeye ni mwanamke mtukufu jamaa zake wakamtuma Usama ili awaombee kwa bwana Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0hukumu hii iondoshwe kwa huyu mwanamke \u2026Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0akakasirika mno akasema :<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0625\u0650\u0646\u0651\u064e\u0645\u064e\u0627 \u0623\u064e\u0647\u0652\u0644\u064e\u0643\u064e \u0645\u064e\u0646\u0652 \u0643\u064e\u0627\u0646\u064e \u0642\u064e\u0628\u0652\u0644\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0623\u064e\u0646\u0651\u064e\u0647\u064f \u0625\u0650\u0630\u064e\u0627 \u0633\u064e\u0631\u064e\u0642\u064e \u0641\u0650\u064a\u0647\u0650\u0645\u064f \u0627\u0644\u0634\u0651\u064e\u0631\u0650\u064a\u0641\u064f \u062a\u064e\u0631\u064e\u0643\u064f\u0648\u0647\u064f , \u0648\u064e\u0625\u0650\u0630\u064e\u0627 \u0633\u064e\u0631\u064e\u0642\u064e \u0641\u0650\u064a\u0647\u0650\u0645\u064f \u0627\u0644\u0636\u0651\u064e\u0639\u0650\u064a\u0641\u064f \u0642\u064e\u0637\u064e\u0639\u064f\u0648\u0647\u064f , \u0648\u064e\u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a \u0646\u064e\u0641\u0652\u0633\u0650\u064a \u0628\u0650\u064a\u064e\u062f\u0650\u0647\u0650 \u0644\u064e\u0648\u0652 \u0643\u064e\u0627\u0646\u064e\u062a\u0652 \u0641\u064e\u0627\u0637\u0650\u0645\u064e\u0629\u064f \u0627\u0628\u0652\u0646\u064e\u0629\u064f \u0645\u064f\u062d\u064e\u0645\u0651\u064e\u062f\u064d \u0633\u064e\u0631\u064e\u0642\u064e\u062a\u0652 \u0644\u064e\u0642\u064e\u0637\u064e\u0639\u0652\u062a\u064f \u064a\u064e\u062f\u064e\u0647\u064e\u0627<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[hakika waliangamia walio pita kabla yenu alipo kuwa akiiba Mtukufu kati yao wakimuacha na anapo iba Mnyonge (asiekuwa na hadhi katika jamii) wakimsimamisha hukmu ,Wallahi napa kwa jina la Mwenyezimgu lau kama Fatima binti yangu angekuwa ndie alie iba ningemkata mkono wake.]\u00a0 \u00a0\u00a0<span style=\"color: #008000;\">[imepokewa na Muslim]<\/span><\/span><\/p>\n<p>Hii ndio sharia ya Mwenyezi Mungu imekuja kwa ajili ya Maslahi ya watu wote..<br \/>\nItaendelea katika sehemu ya nne inshallah\u2026<\/p>\n<p>Imeandikwa na Hussein Ali Omar Swidiq<\/p>\n<p>+255 717755358\u2026+254 733666396<\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>UMOJA WA KIISLAMU SEHEMU YA TATU Tulizungumza katika sehemu ya pili mambo yenye kutilia nguvu umoja wa kiislamu ,tukasema kuwa ni umoja katika itikadi (imani ) na tukafafanua kwa kadri tulivo afikiwa na mwenyezimgu sub hana hu wa taala. Leo tukizungumzia jambo lengine lenye kutilia nguvu Umoja katika Uislamu; UMOJA WA SHERIA NA SHAAIR (ALAMA [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":12142,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[98],"tags":[],"class_list":["post-4685","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sehemu-ya-jamii"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4685","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4685"}],"version-history":[{"count":3,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4685\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":12143,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4685\/revisions\/12143"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/12142"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4685"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4685"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4685"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}