{"id":4669,"date":"2021-06-17T08:34:15","date_gmt":"2021-06-17T08:34:15","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4669"},"modified":"2021-10-06T12:37:21","modified_gmt":"2021-10-06T12:37:21","slug":"kuamiliana-na-wasio-kuwa-waislamu","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/kuamiliana-na-wasio-kuwa-waislamu\/","title":{"rendered":"KUAMILIANA NA WASIO KUWA WAISLAMU"},"content":{"rendered":"<h2 dir=\"LTR\"><strong>KUAMILIANA NA WASIO KUWA WAISLAMU<\/strong><\/h2>\n<p>Dini ya Kislamu imepanga sheria ya kila kitu. Na miongoni mwa sheria hizo, ni sheria ya kuishi na kufungamana na watu. Jamii moja inakusanya watu wa ina tofauti \u2013 makabila, utamaduni, tabia, Lugha na dini.<br \/>\nMuislamu analazimika kuishi na watu wenye mila na dini tofauti kwa tabia mzuri kama tulivyo fundishwa na Mtume\u00a0\ufdfa. Kila mwanadamu ana haki ya kuishi na ana haki ya kuabudu, kusoma na mengineyo. Lakini haki zote hizi ni lazima Muislamu azifahamu na kuzitekelza kulingana na misingi ya kisheria.<\/p>\n<p><strong>MIZANI YA MWENYEZI MUNGU KATIKA KUPIMA WATU<\/strong><\/p>\n<p>Tunapozingatia Aya za Qur\u2019ani na Hadithi za Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0tunaona Mwenyezi Mungu amejaalia utukufu kutokana na dini, taqwa na tabia njema na wala hakujaalia utukufu katika nasaba wala umaarufu. Amesema Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala):<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0625\u0650\u0646\u0651\u064e \u0623\u064e\u0643\u0652\u0631\u064e\u0645\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0639\u0650\u0646\u062f\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u0650 \u0623\u064e\u062a\u0652\u0642\u064e\u0627\u0643\u064f\u0645\u0652 \u06da \u0625\u0650\u0646\u0651\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u0639\u064e\u0644\u0650\u064a\u0645\u064c \u062e\u064e\u0628\u0650\u064a\u0631\u064c} \u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u062d\u062c\u0631\u0627\u062a:13}<\/p>\n<p><em>[Hakika mtukufu miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni Yule amchae Mungu zaidi katika nyinyi] \u00a0<\/em>\u00a0[Al-Hujuraat:13]<br \/>\nAmesema Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u062e\u064a\u0631\u0643\u0645 \u0645\u0646 \u062a\u0639\u0644\u0645 \u0627\u0644\u0642\u0631\u0622\u0646 \u0648\u0639\u0644\u0645\u0647.] \u00a0 \u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a]<\/p>\n<p>[Mbora wenu anayejifundisha Qur\u2019an na akaifundisha].\u00a0\u00a0 \u00a0\u00a0\u00a0[Imepokewa na Bukhari].<br \/>\nNa akasema tena Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u062e\u064a\u0640\u0631\u0643\u0645 \u0645\u0640\u0640\u0646 \u064a\u0640\u0640\u0631\u062c\u0649 \u062e\u064a\u0640\u0631\u0647\u060c \u0648\u064a\u0624\u0645\u0646 \u0634\u0640\u0631\u0647] \u00a0 \u00a0 \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u062d\u0645\u062f<\/p>\n<p>[Mbora wenu anayetarajiwa kheri kutoka kwake na kuaminika na shari zake]. \u00a0 \u00a0[Imepokewa na Ahmad].<\/p>\n<p>Ameulizwa Mtume wa Mwenyezi Mungu \ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0623\u064a \u0627\u0644\u0646\u0627\u0633 \u0623\u0643\u0631\u0645 \u061f \u0642\u0627\u0644 : &#8221; \u0623\u0643\u0631\u0645\u0647\u0645 \u0639\u0646\u062f \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0623\u062a\u0642\u0627\u0647\u0645 &#8221; . \u0642\u0627\u0644\u0648\u0627 : \u0644\u064a\u0633 \u0639\u0646 \u0647\u0630\u0627 \u0646\u0633\u0623\u0644\u0643 . \u0642\u0627\u0644 : &#8221; \u0641\u0623\u0643\u0631\u0645 \u0627\u0644\u0646\u0627\u0633 \u064a\u0648\u0633\u0641 \u0646\u0628\u064a \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0627\u0628\u0646 \u0646\u0628\u064a \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0627\u0628\u0646 \u062e\u0644\u064a\u0644 \u0627\u0644\u0644\u0647 &#8221; . \u0642\u0627\u0644\u0648\u0627 \u0644\u064a\u0633 \u0639\u0646 \u0647\u0630\u0627 \u0646\u0633\u0623\u0644\u0643 \u0642\u0627\u0644 : &#8221; \u0641\u0639\u0646 \u0645\u0639\u0627\u062f\u0646 \u0627\u0644\u0639\u0631\u0628 \u062a\u0633\u0623\u0644\u0648\u0646\u064a \u061f &#8221; \u0642\u0627\u0644\u0648\u0627 : \u0646\u0639\u0645 . \u0642\u0627\u0644 : &#8221; \u0641\u062e\u064a\u0627\u0631\u0643\u0645 \u0641\u064a \u0627\u0644\u062c\u0627\u0647\u0644\u064a\u0629 \u062e\u064a\u0627\u0631\u0643\u0645 \u0641\u064a \u0627\u0644\u0625\u0633\u0644\u0627\u0645 \u0625\u0630\u0627 \u0641\u0642\u0647\u0648\u0627 &#8221; . \u0645\u062a\u0641\u0642 \u0639\u0644\u064a\u0647<\/p>\n<p>\u00a0[Nani mbora kati ya watu? Akasema anayemcha Mwenyezi Mungu. Wakasema hatukuulizia swala hilo. Akasema Mtume mbora wa watu ni Yusuf, ni Nabii wa Mungu na ni mtoto wa Nabii Mtoto wa Kipendi cha Mwenyezi Mungu (Ibrahimi alayhi salaam) wakasema hatukuulizia swala hilo, akasema Mtume munaniuliza kuhusu asli ya Waarabu? wakasema ndio. akasema Mtume: Mbora wao katika ujahiliyya ni mbora wao katika uislamu, ikiwa ni wenye kuifahamu dini (nakushikamana nao)].\u00a0\u00a0\u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim].<br \/>\nNa Mtume wa Mwenyezi Mungu anasawazisha mizani ya watu akasema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0625\u0650\u0646\u0651\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u0644\u0627 \u064a\u064e\u0646\u0652\u0638\u064f\u0631\u064f \u0625\u0650\u0644\u064e\u0649 \u0635\u064f\u0648\u064e\u0631\u0650\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0648\u064e\u0623\u064e\u0645\u0652\u0648\u064e\u0627\u0644\u0650\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0648\u064e\u0644\u064e\u0643\u0650\u0646\u0652 \u064a\u064e\u0646\u0652\u0638\u064f\u0631\u064f \u0625\u0650\u0644\u064e\u0649 \u0642\u064f\u0644\u064f\u0648\u0628\u0650\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0648\u064e\u0623\u064e\u0639\u0652\u0645\u064e\u0627\u0644\u0650\u0643\u064f\u0645\u0652] \u00a0 \u00a0\u0645\u062a\u0641\u0642 \u0639\u0644\u064a\u0647]<\/p>\n<p>[Mwenyezi Mungu haangali sura zenu wala mali zenu lakini huangalia nyoyo zenu na vitendo vyenu].\u00a0 \u00a0\u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim].<br \/>\nAmepita mtu mbele ya Mtume wa Mwenyezi Mungu\u00a0\ufdfaakamuuliza mtu aliyekaa nae, rai yako kwa huyu mtu aliyepita? Akasema ni mbora wa watu, akiposa huoa, akanyamaza Mtume wa Mwenyezi Mungu, baada ya hapo akapita mtu mwingine akamuuliza rai yako kuhusu mtu huyu? Akasema huyu ni maskini, huyu ni mbora akiposa huoa, akisema hasikiwi, akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu huyu ni mbora.<br \/>\nMtume\u00a0\ufdfa\u00a0alimuuliza Abu Dhari:\u00a0[Huoni kuwa na mali nyingi ndio utajiri na kuwa na mali kidogo ni umaskini? ]\u00a0Akasema ndio. Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0akasema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0625\u0646\u0645\u0627 \u0627\u0644\u063a\u0646\u0649 \u063a\u0646\u0649 \u0627\u0644\u0642\u0644\u0628 \u060c \u0648\u0627\u0644\u0641\u0642\u0631 \u0641\u0642\u0631 \u0627\u0644\u0642\u0644\u0628] \u00a0 \u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u062d\u0627\u0643\u0645]<\/p>\n<p>[Utajiri ni utajiri wa moyo na umaskini ni umaskini wa moyo].\u00a0\u00a0\u00a0[Imepokewa na Al Haakim].<\/p>\n<p>Walipozikwa mashahidi alikuwa Mtume akiuliza aliyehifadhi Qur\u2019an zaidi akaashiriwa akawa humtanguliza mtu huyo katika kaburi. Mtume aliuliza pote la watu akamuuliza mzee wao kama amehifadhi Suratul Baqara akasema ndio, akamfanya kuwa kiongozi.<br \/>\nMtume\u00a0\ufdfa\u00a0amemfanya\u00a0Ibn Ummi Maktoom\u00a0ambae ni kipofu kuwa ni kiongozi wa Madina baada kusafiri Mtume Swalla Llahu \u2018alayhi wasallam.<br \/>\nKama alivyomfanya Salmaa Faarisy kiongozi wa Madina baada kufungua Fursy.<br \/>\nAmeingia \u2018Abdallah bin \u2018Umar kwa babake akasema nimepewa elfu tatu na amepewa Usama elfu nne, akasema nimeshuhudia mambo asiyoshuhudia Usama. Akasema \u2018Umar \u201cMzidishieni kwani yeye anapendwa na Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0kuliko mimi, na Babake alikuwa akipendwa na Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0kuliko mimi, kisha akawapa watu pesa kutokana na vyeo vyao, na kuhifadhi kwao Qur\u2019ani\u201d<\/p>\n<p>Ndugu Waislamu, hapana shaka ya kuwa neema ya udugu wa Kiislamu baina ya waumini na kupendana baina ya waja wa Mwenyezi Mungu ni katika neema kubwa juu ya umma huu. Na Mwenyezi Mungu Amewaamrisha waja wake kushikamana na udugu wa kiislamu, na kupendana.<br \/>\nAmesema Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala):<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0642\u0627\u0644 \u062a\u0639\u0627\u0644\u0649 \u00a0 {\u0648\u064e\u0627\u0639\u0652\u062a\u064e\u0635\u0650\u0645\u064f\u0648\u0627 \u0628\u0650\u062d\u064e\u0628\u0652\u0644\u0650 \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u0650 \u062c\u064e\u0645\u0650\u064a\u0639\u064b\u0627 \u0648\u064e\u0644\u064e\u0627 \u062a\u064e\u0641\u064e\u0631\u0651\u064e\u0642\u064f\u0648\u0627} \u00a0 \u00a0 \u00a0\u0622\u0644 \u0639\u0645\u0631\u0627\u0646: 103<\/p>\n<p><em>[Na shikamaneni kwa kamba ya Mwenyezi Mungu nyote, wala msiachane].<\/em>\u00a0\u00a0 \u00a0[Al Imraan:103]<\/p>\n<p>Kwa ajili hiyo Mwenyezi Mungu ametulazimisha kupendana, na sura za kupendana ni kama zifuatazo:-<br \/>\nKuwanusuru Waislamu na kuwasaidia nafsi, mali na ulimi. Amesema Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala):<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0642\u0627\u0644 \u062a\u0639\u0627\u0644\u0649 { \u0648\u064e\u0625\u0650\u0646\u0650 \u0627\u0633\u0652\u062a\u064e\u0646\u0652\u0635\u064e\u0631\u064f\u0648\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0641\u0650\u064a \u0627\u0644\u062f\u0651\u0650\u064a\u0646\u0650 \u0641\u064e\u0639\u064e\u0644\u064e\u064a\u0652\u0643\u064f\u0645\u064f \u0627\u0644\u0646\u0651\u064e\u0635\u0652\u0631\u064f} \u00a0 \u00a0 \u0627\u0644\u0623\u0646\u0641\u0627\u0644: 72<\/p>\n<p><em>[Na watakapo kuombeni nusra, basi wasaideni kwa kuwanusuru ndugu zenu].\u00a0<\/em>\u00a0\u00a0[Al Anfaal:72]<\/p>\n<p>Kuwa na uchungu kwa anachokipata muumini kwa jambo la huzuni na kufurahi wanapofurahika. Amesema Mtume (Swalla Llahu \u2018alayhi wasallam): [Waumini kupendana kwao na kuhurumiana kwao ni kama mwili mmoja].<\/p>\n<p>Kuwanasihi waumini na kuwatakia kheri. Amesema Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0644\u0627 \u064a\u0624\u0645\u0646 \u0623\u062d\u062f\u0643\u0645 \u062d\u062a\u0649 \u064a\u062d\u0628 \u0644\u0623\u062e\u064a\u0647 \u0645\u0627 \u064a\u062d\u0628 \u0644\u0646\u0641\u0633\u0647] \u00a0 \u00a0 \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a \u0648\u0645\u0633\u0644\u0645]<\/p>\n<p>[Hatoamini mmoja wenu mpaka ampendelee kheri ndugu yake anachokipendelea nafsi yake].\u00a0\u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim]<br \/>\nKuwaheshimu waumini na kuwanyenyekea, kutowatia aibu na kutowasengenya, Amesema Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala):<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0642\u0627\u0644 \u062a\u0639\u0627\u0644\u0649 \u00a0{ \u064a\u064e\u0627 \u0623\u064e\u064a\u0651\u064f\u0647\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a\u0646\u064e \u0622\u064e\u0645\u064e\u0646\u064f\u0648\u0627 \u0644\u064e\u0627 \u064a\u064e\u0633\u0652\u062e\u064e\u0631\u0652 \u0642\u064e\u0648\u0645\u064c \u0645\u0650\u0646\u0652 \u0642\u064e\u0648\u0652\u0645\u064d} \u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u062d\u062c\u0631\u0627\u062a: 11<\/p>\n<p><em>[Enyi mlio amini, Wanaume wasiwadharau wanaume wenzao].<\/em>\u00a0\u00a0\u00a0 \u00a0 \u00a0[Al Hujuraat:11]<\/p>\n<p>Kuwa na waumini wakati wa furaha na shida.<\/p>\n<p>Kuwatembelea na kuwa pamoja nao amesema Mtume\u00a0\ufdfa: [Mapenzi yangu yanastahiki kwa wenye kupendana kwa ajili yangu, na wenye\u00a0kutembeleana kwa ajili yangu].<br \/>\nKuheshimu haki ya waumini. Amesema Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0644\u0627 \u064a\u0628\u0639 \u0623\u062d\u062f\u0643\u0645 \u0639\u0644\u0649 \u0628\u064a\u0639 \u0623\u062e\u064a\u0647 \u0648\u0644\u0627 \u064a\u062e\u0637\u0628 \u0639\u0644\u0649 \u062e\u0637\u0628\u0629 \u0623\u062e\u064a\u0647 \u0625\u0644\u0627 \u0623\u0646 \u064a\u0623\u0630\u0646 \u0644\u0647] \u00a0 \u00a0 \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a \u0648\u0645\u0633\u0644\u0645]<\/p>\n<p>[Asiuze moja wenu mauzo ya ndugu yake wala asipose posa ya mwenzake ila kwa ruhusa yake].\u00a0[Imepokewa na Bukhari na Muslim].<br \/>\nKuwaombea waumini. Amesema Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala):<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0642\u0627\u0644 \u062a\u0639\u0627\u0644\u0649: {\u0648\u064e\u0627\u0633\u0652\u062a\u064e\u063a\u0652\u0641\u0650\u0631\u0652 \u0644\u0650\u0630\u064e\u0646\u0652\u0628\u0650\u0643\u064e \u0648\u064e\u0644\u0650\u0644\u0652\u0645\u064f\u0624\u0652\u0645\u0650\u0646\u0650\u064a\u0646\u064e \u0648\u064e\u0627\u0644\u0652\u0645\u064f\u0624\u0652\u0645\u0650\u0646\u064e\u0627\u062a\u0650} \u00a0\u0645\u062d\u0645\u062f: 19<\/p>\n<p>\u00a0<em>[Naomba msamaha kwa madhambi yako, na uwaombe msamaha waumini wa kiume na waumini wa kike].<\/em>\u00a0\u00a0 \u00a0 \u00a0[Muhammad:19]<br \/>\nInapaswa kutowapenda makafiri na kutojifananisha nao, na akaamrisha waja wake kuwahalifu makafiri kwa kila jambo (Ibada, ada, itikadi). Amesema Mtume \ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\">\u0645\u064e\u0646\u0652 \u062a\u064e\u0634\u064e\u0628\u0651\u064e\u0647\u064e \u0628\u0650\u0642\u064e\u0648\u0652\u0645\u064d \u0641\u064e\u0647\u064f\u0648\u064e \u0645\u0650\u0646\u0652\u0647\u064f\u0645\u0652] \u00a0 \u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u0628\u0648\u062f\u0627\u0648\u062f]<\/p>\n<p>[Atakayejifananisha na watu basi ni katika wao].\u00a0 \u00a0\u00a0[Imepokewa na Abuu Daud]<\/p>\n<p>Kupendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu humuinua mja sehemu ya juu. Hadithi ya watu wa saba watakao funikwa na kivuli cha Mwenyezi Mungu siku ambayo hakuna kivuli, mmoja wao; [Watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, wamekusanyika kwa ajili yake na kutengana kwa ajili yake].<br \/>\nImepokewa na Abu Huraira kuwa mtu ametoka\u00a0kumtembelea mwenzake katika kijiji kingine basi Mwenyezi Mungu akamtuma Malaika, akamuulize Yule mtu anaenda wapi? Akasema anamkusudia mtu fulani, akasema Malaika je ana neema? Akasema namtembelea kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, akasema Malaika basi mimi ni Malaika shuhudia kuwa Mwenyezi Mungu anakupenda kwa kumpenda ndugu yako\u201d<br \/>\nImepokewa hadithi ya Mtume kuwa: [Imani thabiti ni kupendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na kuchukia kwa ajili ya Mwenyezi Mungu].<br \/>\nMtume \ufdfa amesema: [ Enyi watu sikieni na mtie akili, kwamba Mwenyezi Mungu ana waja si manabii wala sio mashuhadaa, wanatamaniwa na manabii na mashuhadaa kwa daraja waliyonao na ukaribu wao kwa Mwenyezi Mungu]. Hao ni watu kutoka maeneo tofauti na kabila tofauti tofauti, hawana kati yao ukaraba, wamependana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, watakalia makalio ya nuru siku ya Qiyama yaliyoandaliwa na Mwenyezi Mungu, na\u00a0nyuso zao kuwa na nuru, na nguo zao kuwa na nuru, wanaogopa watu wala hawaogopi, hao ndio mawalii wa Mwenyezi Mungu hawana hofu wala huzuni\u201d<\/p>\n<p>MWISHO<br \/>\nNdugu Waislamu, tabia njema na maadili mema ndio mizani ya sheria ya kupima kila jambo wakati ukitaka kuamiliana na jambo hilo. Vilevile, ni mizani ya kuamiliana na watu aina tofauti \u2013 Muislamu na asiyekuwa Muislamu. Muislamu ana haki zake juu yako. Na asiyekuwa Muislamu ana haki zake kulingana na misingi ya kisheria.<br \/>\nTunamuomba Allah atuwafikishe tuweza kutekeleza haki za waja kama alivyo tuamrisha kupitia mafundisho ya Mtume\u00a0\ufdfa. Ewe Mola wetu turuzuku mwisho mwema, na utupe hapa duniani mema na kesho akhera, Ewe Mola wetu usitupe chuki katika vifua vyetu, na utusamehe wewe ndio mwenye kusamehe.<\/p>\n<p dir=\"LTR\"><em>\u00a0SIKILIZA MADA HII NA SHEIKH ALI BAHERO<\/em><\/p>\n<p><audio style=\"display: block; margin: 9px auto;\" src=\"https:\/\/archive.org\/download\/KUAMILINANAWASIOKUWAWAISLAMU\/KUAMILINA%20NA%20WASIOKUWA%20WAISLAMU.mp3\" controls=\"controls\"><\/audio><\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>KUAMILIANA NA WASIO KUWA WAISLAMU Dini ya Kislamu imepanga sheria ya kila kitu. Na miongoni mwa sheria hizo, ni sheria ya kuishi na kufungamana na watu. Jamii moja inakusanya watu wa ina tofauti \u2013 makabila, utamaduni, tabia, Lugha na dini. Muislamu analazimika kuishi na watu wenye mila na dini tofauti kwa tabia mzuri kama tulivyo [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":9517,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[98],"tags":[],"class_list":["post-4669","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-sehemu-ya-jamii"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4669","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4669"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4669\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9522,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4669\/revisions\/9522"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/9517"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4669"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4669"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4669"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}