{"id":4578,"date":"2021-06-16T21:19:58","date_gmt":"2021-06-16T21:19:58","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4578"},"modified":"2025-09-06T13:44:51","modified_gmt":"2025-09-06T13:44:51","slug":"hukmu-ya-kutawadha-na-maji-yalio-ingia-mende","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hukmu-ya-kutawadha-na-maji-yalio-ingia-mende\/","title":{"rendered":"HUKMU YA KUTAWADHA NA MAJI YALIO INGIA MENDE"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\"><strong><span dir=\"LTR\">HUKMU YA KUTAWADHA NA MAJI YALIO INGIA MENDE<\/span><\/strong><\/span><\/h3>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #008000;\">Swali\u00a0<\/span>: Mende\/Kombamwiko akiingia kwenye maji kidogo ambao hajafikia Qullatayn maji yale hunajisika?<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #0000ff;\">Jibu:<\/span>\u00a0 kuingia wadudu ambao hawana damu kama vile mende,inzi na wengineo kwenye maji au yasio kuwa maji basi hayanajiski. Hata maji yakawa ni kidogo,hata kama atafia ndani na huu ndio Msimamo wa Jamhuri ya wanchuoni. Maji yale yatakuwa yafaa kutumia katika ibada kama kujitwahirishia au ada kama kunywa na<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">kupikia,kwa Hadihti iliopokelewa na imamu Bukhari:<\/span><\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0639\u0646 \u0623\u0628\u064a \u0647\u0631\u064a\u0631\u0629 \u0640\u0631\u0636\u064a \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0646\u0647 \u0640 \u0623\u0646 \u0627\u0644\u0646\u0628\u064a \u0635\u0644\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648 \u0633\u0644\u0645 \u0642\u0627\u0644:\u0625\u0630\u0627 \u0648\u0642\u0639 \u0627\u0644\u0630\u0628\u0627\u0628 \u0641\u064a \u0634\u0631\u0627\u0628 \u0623\u062d\u062f\u0643\u0645 \u0641\u0644\u064a\u063a\u0645\u0633\u0647 \u0643\u0644\u0647 \u062b\u0645 \u0644\u064a\u0637\u0631\u062d\u0647\u060c \u0641\u0625\u0646 \u0641\u064a \u0623\u062d\u062f \u062c\u0646\u0627\u062d\u064a\u0647 \u062f\u0627\u0621\u064b\u060c \u0648\u0641\u064a \u0627\u0644\u0622\u062e\u0631 \u062f\u0648\u0627\u0621\u064b.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Kutoka kwa Abuu Hurayra radhi za Mungu zimfikie yeye,kwamba Mtume rehma na amani zimfikie yeye, asema:<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\" style=\"color: #0000ff;\">[Inzi anapo ingia katika kinywaji cha mmoja wenu basi naamzamishe yeye mzima kisha amtoe,kwa sababu kwenye ubawa wake mmoja uko na ungonjwa,na mwengine uko na dawa].<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Asema\u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">Ibnul Qayyim<\/span>\u00a0katika kitabu chake<span style=\"color: #ff6600;\"> &#8216;Al-Zzaad&#8217;<\/span> hadithi hii ni dalili ilo wazi kwamba inzi anapo kufa kenye maji au vitu vya majimaji,havinajisiki,na hii ndio kauli ya jamhuri ya wanachuoni. Wala hajulikani katika Salaf (watu wema walio tangulia) mwenye kukhalifu hilo. Kisha hukmu yake ikaenea kwa wadudu wote wasio kuwa na damu ya kutirizika kama vile,nyuki, na Zanbur (wasp) na Ankabut (spider) na mfano wa hao.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Na baadhi ya wanchuoni wamemtoa Mende wa choni na kila mdudu alitokamana na najisi, wakasema kila mdudu alitoka kwenye kitu twahara huwa ni twahara. Mdudu alitoka kwenye najisi huwa ni najisi.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Kiufupi ni kuwa wadudu wasio kuwa na damu wanapo ingia kwenye maji au kitu chochote, kitu kile au maji yale huwa ni twahara wala si najisi.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Wallahu aalam.<\/span><\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>HUKMU YA KUTAWADHA NA MAJI YALIO INGIA MENDE Swali\u00a0: Mende\/Kombamwiko akiingia kwenye maji kidogo ambao hajafikia Qullatayn maji yale hunajisika? Jibu:\u00a0 kuingia wadudu ambao hawana damu kama vile mende,inzi na wengineo kwenye maji au yasio kuwa maji basi hayanajiski. Hata maji yakawa ni kidogo,hata kama atafia ndani na huu ndio Msimamo wa Jamhuri ya wanchuoni. [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[89],"tags":[],"class_list":["post-4578","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara-fatawa"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4578","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4578"}],"version-history":[{"count":22,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4578\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":24860,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4578\/revisions\/24860"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4578"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4578"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4578"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}