{"id":4576,"date":"2021-06-16T21:18:20","date_gmt":"2021-06-16T21:18:20","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4576"},"modified":"2022-09-20T07:12:54","modified_gmt":"2022-09-20T07:12:54","slug":"hukmu-ya-kutumia-maji-yalio-tumiwa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hukmu-ya-kutumia-maji-yalio-tumiwa\/","title":{"rendered":"HUKMU YA KUTUMIA MAJI YALIO TUMIWA"},"content":{"rendered":"<h2><span style=\"color: #993300;\"><strong>\u00a0HUKMU YA KUTUMIA MAJI YALIO TUMIWA<\/strong><\/span><\/h2>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #008000;\">Swali:<\/span>\u00a0Je yafaa mtu kutumia maji yalio tumiwa kujitwayarisha kukamilishia Udhu wake. Mfano; mtu akayakusanya maji ya kutawadhia kwenye chombo kisha maji<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">yale akayatumia katika kuoshea miguu je yafaa kufanya hivyo?<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #008000;\">Jawabu:<\/span> Kutumia maji yaliotumika katika twahara ni katika Mas\u2019ala wanchuoni walio ikhtilalifiana\u00a0 sawa au si sawa katika kuyatumia maji yale kukamilisha Udhu au kutawadhia upya.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Madh\u2019habu ya Imamu Malik anaona yafaa kutumia kwa sababu maji yale ni twahara na waweza kutwahirishia ikiwa maji yale hayakubadilika lakini ni Makruhu kutumia.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Na msimamo huu ndio msimamo wa Sheikhul islam Ibn Taimiyah.\u00a0Asema kwa sababu maji yalio tumika katika kuondoshea hadathi yamebaki katika utwahara wake,na imesihi<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">kutoka kwa Mtume \ufdfa Akisema:<\/span><\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0625\u0646 \u0627\u0644\u0645\u0627\u0621 \u0637\u0647\u0648\u0631 \u0644\u0627 \u064a\u064f\u0646\u062c\u0651\u0650\u0633\u064f\u0647 \u0634\u064a\u0621]\u00a0\u00a0<span style=\"color: #ff6600;\">\u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u0628\u0648 \u062f\u0627\u0648\u062f \u060c \u0648\u0627\u0644\u062a\u0631\u0645\u0630\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #0000ff;\">[Hakika ya Maji ni Twahara hayanajisiki kwa kitu chochote]\u00a0<\/span> \u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Abuu<\/span><\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\" style=\"color: #008000;\">Dawud na Attirmidhiy]\u00a0<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Maji hayawezi kuwa na janaba,wala hayawezi kuchukuwa hukmu ya janaba.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Lakini msimamo wa wengi katika wanachuoni wanaona maji yalio tumiwa hayafai kuyatumia katika kuondoshea\u00a0hadathi. sawa iwe ni hadathi ndogo kama kutawadhia, au Hadathi kubwa, kama kuoga janaba na msimamo huu ndio msimamo wa wengi na ni katika kujiondoa kwenye shaka na khilafu.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Kwa hivyo itakuwa ni bora kutumia maji ambao hajatumiwa katika kuondoshea hadathi sawa kukamilishia Udhu au kutawadhia.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Na allah ndie Mjuzi zaidi.<\/span><\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>\u00a0HUKMU YA KUTUMIA MAJI YALIO TUMIWA Swali:\u00a0Je yafaa mtu kutumia maji yalio tumiwa kujitwayarisha kukamilishia Udhu wake. Mfano; mtu akayakusanya maji ya kutawadhia kwenye chombo kisha maji yale akayatumia katika kuoshea miguu je yafaa kufanya hivyo? Jawabu: Kutumia maji yaliotumika katika twahara ni katika Mas\u2019ala wanchuoni walio ikhtilalifiana\u00a0 sawa au si sawa katika kuyatumia maji [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[89],"tags":[],"class_list":["post-4576","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara-fatawa"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4576","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4576"}],"version-history":[{"count":6,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4576\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15969,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4576\/revisions\/15969"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4576"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4576"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4576"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}