{"id":4576,"date":"2021-06-16T21:18:20","date_gmt":"2021-06-16T21:18:20","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4576"},"modified":"2022-09-20T07:12:54","modified_gmt":"2022-09-20T07:12:54","slug":"hukmu-ya-kutumia-maji-yalio-tumiwa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hukmu-ya-kutumia-maji-yalio-tumiwa\/","title":{"rendered":"HUKMU YA KUTUMIA MAJI YALIO TUMIWA"},"content":{"rendered":"<h2><span style=\"color: #993300;\"><strong>&nbsp;HUKMU YA KUTUMIA MAJI YALIO TUMIWA<\/strong><\/span><\/h2>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #008000;\">Swali:<\/span>&nbsp;Je yafaa mtu kutumia maji yalio tumiwa kujitwayarisha kukamilishia Udhu wake. Mfano; mtu akayakusanya maji ya kutawadhia kwenye chombo kisha maji<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">yale akayatumia katika kuoshea miguu je yafaa kufanya hivyo?<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #008000;\">Jawabu:<\/span> Kutumia maji yaliotumika katika twahara ni katika Mas&#8217;ala wanchuoni walio ikhtilalifiana&nbsp; sawa au si sawa katika kuyatumia maji yale kukamilisha Udhu au kutawadhia upya.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Madh&#8217;habu ya Imamu Malik anaona yafaa kutumia kwa sababu maji yale ni twahara na waweza kutwahirishia ikiwa maji yale hayakubadilika lakini ni Makruhu kutumia.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Na msimamo huu ndio msimamo wa Sheikhul islam Ibn Taimiyah.&nbsp;Asema kwa sababu maji yalio tumika katika kuondoshea hadathi yamebaki katika utwahara wake,na imesihi<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">kutoka kwa Mtume \ufdfa Akisema:<\/span><\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0625\u0646 \u0627\u0644\u0645\u0627\u0621 \u0637\u0647\u0648\u0631 \u0644\u0627 \u064a\u064f\u0646\u062c\u0651\u0650\u0633\u064f\u0647 \u0634\u064a\u0621]&nbsp;&nbsp;<span style=\"color: #ff6600;\">&nbsp;\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u0628\u0648 \u062f\u0627\u0648\u062f \u060c \u0648\u0627\u0644\u062a\u0631\u0645\u0630\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\"><span style=\"color: #0000ff;\">[Hakika ya Maji ni Twahara hayanajisiki kwa kitu chochote]&nbsp;<\/span> &nbsp; &nbsp;<span style=\"color: #008000;\">[Imepokewa na Abuu<\/span><\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\" style=\"color: #008000;\">Dawud na Attirmidhiy]&nbsp;<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Maji hayawezi kuwa na janaba,wala hayawezi kuchukuwa hukmu ya janaba.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Lakini msimamo wa wengi katika wanachuoni wanaona maji yalio tumiwa hayafai kuyatumia katika kuondoshea&nbsp;hadathi. sawa iwe ni hadathi ndogo kama kutawadhia, au Hadathi kubwa, kama kuoga janaba na msimamo huu ndio msimamo wa wengi na ni katika kujiondoa kwenye shaka na khilafu.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Kwa hivyo itakuwa ni bora kutumia maji ambao hajatumiwa katika kuondoshea hadathi sawa kukamilishia Udhu au kutawadhia.<\/span><\/p>\n<p><span dir=\"LTR\">Na allah ndie Mjuzi zaidi.<\/span><\/p>\n<hr>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>&nbsp;HUKMU YA KUTUMIA MAJI YALIO TUMIWA Swali:&nbsp;Je yafaa mtu kutumia maji yalio tumiwa kujitwayarisha kukamilishia Udhu wake. Mfano; mtu akayakusanya maji ya kutawadhia kwenye chombo kisha maji yale akayatumia katika kuoshea miguu je yafaa kufanya hivyo? Jawabu: Kutumia maji yaliotumika katika twahara ni katika Mas&#8217;ala wanchuoni walio ikhtilalifiana&nbsp; sawa au si sawa katika kuyatumia maji [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[89],"tags":[],"class_list":["post-4576","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara-fatawa"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4576","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4576"}],"version-history":[{"count":6,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4576\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15969,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4576\/revisions\/15969"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4576"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4576"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4576"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}