{"id":4562,"date":"2021-06-16T20:35:59","date_gmt":"2021-06-16T20:35:59","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4562"},"modified":"2022-09-21T11:59:04","modified_gmt":"2022-09-21T11:59:04","slug":"kumgusa-mkeo-huvunda-udhuu","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/kumgusa-mkeo-huvunda-udhuu\/","title":{"rendered":"KUMGUSA MKEO HUVUNDA UDHUU?"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\"><strong>KUMGUSA MWANAMKE HUVUNDA UDHUU?<\/strong><\/span><\/h3>\n<p><span style=\"color: #008000;\">Swali:<\/span> Mtu anapo kuwa na udhu kisha akamgusa mkewe udhu wake huharibika ?<\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Jawabu:<\/span> Mas&#8217;ala ya kumgusa mwanamke kuwa ya tangua udhu ama hayatangui ni mas&#8217;ala yako na ikhitilafu kubwa kati ya wanachuoni,<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">A)<\/span> Kuna wanaosema kuwa udhu unaharibika kwa kumgusa mwanamke kwa namna yoyote ile,na huu ni msimamo wa madhehebu ya Imamu Shafi Allah Amrahamu<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">B)<\/span>\u00a0Kuna wanaosema kuwa kumgusa mwanamke hauvundi udhuu kwa namna yoyote ile sawa iwe kwa kwa matamanio au bila ya matamanio,na huu ni msimamo wa madhehebu ya\u00a0Imamu Abuu Hanif Mungu amrahamu<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">C)<\/span>\u00a0Na kuna wanaosema kuwa udhuu unaharibika ikiwa utamgusa kwa matamanio,na huu ni msimamo wa madhebu ya\u00a0Imam Ahmad bin Hanbal\u00a0Mungu amrahamu.<\/p>\n<p>Na kauli yenye nguvu katika misimamo hii mitatu na yenye kutiliwa nguvu na dalili na hoja ni kauli inaosema kuwa kumgusa mwanamke hakuharibu udhuu, sawa iwe umemgusa kwa matamanio au bila ya matamanio kwa sharti <span style=\"color: #008000;\">kutotokwa<\/span> na kitu katika tubu yake.<\/p>\n<p>Na dalili ya Msimamo huu ni hizi zifuatazo.<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\">\u062d\u062f\u064a\u062b <span style=\"color: #ff6600;\">\u0639\u0627\u0626\u0634\u0629 \u0631\u0636\u064a \u0627\u0644\u0644\u0647<\/span> \u0639\u0646\u0647\u0627 \u0642\u0627\u0644\u062a :<span style=\"color: #008000;\"> [ \u0643\u0646\u062a \u0623\u0646\u0627\u0645 \u0628\u064a\u0646 \u064a\u062f\u064a \u0631\u0633\u0648\u0644 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0635\u0644\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648\u0633\u0644\u0645 \u0648\u0631\u062c\u0644\u0627\u064a \u0641\u064a \u0642\u0628\u0644\u062a\u0647 \u0641\u0625\u0630\u0627 \u0633\u062c\u062f \u063a\u0645\u0632\u0646\u064a \u0641\u0642\u0628\u0636\u062a \u0631\u062c\u0644\u064a \u0641\u0625\u0630\u0627 \u0642\u0627\u0645 \u0628\u0633\u0637\u062a\u0647\u0645\u0627 ]<\/span> <span style=\"color: #ff6600;\">\u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u0628\u062e\u0627\u0631\u064a<\/span><\/p>\n<p>Hadithi ilio pokelewa na Bibi Aisha Radhi za Mugnu ziwe juu yake asema:\u00a0<span style=\"color: #0000ff;\">[Nilikuwa ni kilala mbele ya Mtume Rehma na amani zimfikie yeye,na miguu yangu nimeinyosha mbele ya kibla chake,akisujudu akinifinya nikiikunja miguu yangu akisimama ni kiinyosha.]<\/span> \u00a0\u00a0[Imepokewa na Bukhary]<\/p>\n<p>Na ushahidi ni kuwa: Mtume \ufdfa\u00a0alimgusa\u00a0Bibi Aisha\u00a0Radhi za Allah ziwe juu \u00a0na yeye yuwaswali na lau ingekuwa kumgusa mwanamke huharibu Udhuu basi Mtume \ufdfa\u00a0angevunda swala kwa kuwa udhuu wake umeharibika.<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\">\u0648\u0639\u0646 \u0639\u0627\u0626\u0634\u0629 \u0631\u0636\u064a \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0646\u0647\u0627 \u00a0\u0623\u0646 \u0627\u0644\u0646\u0628\u064a \u0635\u0644\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648\u0633\u0644\u0645 <span style=\"color: #008000;\">\u0642\u0628\u0644 \u0625\u0645\u0631\u0629 \u0645\u0646 \u0646\u0633\u0627\u0626\u0647 \u062b\u0645 \u062e\u0631\u062c \u0625\u0644\u0649 \u0627\u0644\u0635\u0644\u0627\u0629 \u0648\u0644\u0645 \u064a\u062a\u0648\u0636\u0623<\/span> [ \u0631\u0648\u0627\u0647 \u0623\u0628\u0648 \u062f \u0648\u0635\u062d\u062d\u0647 \u0627\u0644\u0623\u0644\u0628\u0627\u0646\u064a<\/p>\n<p>Amepokea Bibi Aisha R.A. <span style=\"color: #0000ff;\">[Kuwa Mtume \ufdfa alimbusu mkewe katika wakeze kisha akatoka kwenda kuswali wala hakutawadha]<\/span>\u00a0\u00a0[Imepokewa na abuu Daud] na kusahihishwa na Al&#8217;alabaniy.]<\/p>\n<p>Na Ushaidi ni kuwa mtu anapo mbusu mkewe huwa mara nyingi ni ka wajili ya matamanio, na hapa Mtume \ufdfa \u00a0alimbusu mmoja katika wakeze kisha akaenda kusawali bila ya kutawadha.<\/p>\n<p>Na katika walio rejehesha qauli hii ni\u00a0Sheikhul- Isalam ibnu taymiyah\u00a0\u00a0na katika wanachuoni wakisasa ni\u00a0Sheikh Ibnu baaz\u00a0na Sheikh\u00a0Ibnu Uthaymin\u00a0Mungu awawelee radhai<\/p>\n<p>Na Allah ndie mjuzi zaidi.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>KUMGUSA MWANAMKE HUVUNDA UDHUU? Swali: Mtu anapo kuwa na udhu kisha akamgusa mkewe udhu wake huharibika ? Jawabu: Mas&#8217;ala ya kumgusa mwanamke kuwa ya tangua udhu ama hayatangui ni mas&#8217;ala yako na ikhitilafu kubwa kati ya wanachuoni, A) Kuna wanaosema kuwa udhu unaharibika kwa kumgusa mwanamke kwa namna yoyote ile,na huu ni msimamo wa madhehebu [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[89],"tags":[],"class_list":["post-4562","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara-fatawa"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4562","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4562"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4562\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":15999,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4562\/revisions\/15999"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4562"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4562"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4562"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}