{"id":4559,"date":"2021-06-16T20:33:52","date_gmt":"2021-06-16T20:33:52","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4559"},"modified":"2022-09-26T16:22:16","modified_gmt":"2022-09-26T16:22:16","slug":"faida-za-kutawadha-kimwili-na-kinafsi","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/faida-za-kutawadha-kimwili-na-kinafsi\/","title":{"rendered":"FAIDA ZA KUTAWADHA KIMWILI NA KINAFSI"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #800000;\">FAIDA ZA KUTAWADHA KIMWILI NA KINAFSI<\/span><\/h3>\n<p><span style=\"color: #008000;\">Suali:<\/span>\u00a0Ni ipi faida ya kutwadha kinafsi na kimwili ??<\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Jawabu: <span style=\"color: #000000;\">K<\/span><\/span>wanza kabisa ni lazima kujua kuwa kutawadha ni ibaada tukufu Mwenyzi Mungu (Subhanahu wata&#8217;ala ) ameamrisha wakati mtu anapo taka kuswali. Na lizima afute Mamrisho ya allah sawa atakuwa ni mwenye kujua hikma yake au asijue,na bila shaka katika kutawadha kuna hikama na kuna faida ambazo Mwenyezi mungu ndie anaejua sawa tuzijue au tusizijue,na katika faida ya kutawadha kinafsi ni kuwa mtu kutawadha wakati akiwa na hasira hushusha hasira zake,kama ilivyo kuja kwenye Hadithi<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0639\u0646 \u0639\u0642\u0628\u0629 \u0628\u0646 \u0645\u062d\u0645\u062f \u0627\u0644\u0633\u0639\u062f\u064a \u0639\u0646 \u0623\u0628\u064a\u0647 \u0639\u0646 \u062c\u062f\u0647 \u0623\u0646 \u0631\u0633\u0648\u0644 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0635\u0644\u0649 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0639\u0644\u064a\u0647 \u0648\u0633\u0644\u0645 \u0642\u0627\u0644: \u0625\u0646 \u0627\u0644\u063a\u0636\u0628 \u0645\u0646 \u0627\u0644\u0634\u064a\u0637\u0627\u0646\u060c \u0648\u0625\u0646 \u0627\u0644\u0634\u064a\u0637\u0627\u0646 \u062e\u0644\u0642 \u0645\u0646 \u0627\u0644\u0646\u0627\u0631\u060c \u0648\u0625\u0646\u0645\u0627 \u062a\u0637\u0641\u0623 \u0627\u0644\u0646\u0627\u0631 \u0628\u0627\u0644\u0645\u0627\u0621\u060c \u0641\u0625\u0630\u0627 \u063a\u0636\u0628 \u0623\u062d\u062f\u0643\u0645 \u0641\u0644\u064a\u062a\u0648\u0636\u0623. <span style=\"color: #ff6600;\">\u00a0\u0648\u0627\u0644\u062d\u062f\u064a\u062b \u0623\u062e\u0631\u062c\u0647 \u0627\u0644\u0625\u0645\u0627\u0645 \u0623\u062d\u0645\u062f<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Amepokea Uqbah bin Muhammad kutoka kwa babake kutoka kwa babu yeke,kwamba Mtume rehma na amani zimfikie yeye amesema [hakika hasira hutokamana na Shetwani, na shetwani ameumbwa kwa Moto,na Moto hizimwa kwa maji,basi atakapo kasirika Mmoja wenu natawadhi]<\/span>\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\"> Imepokewa na Imam Ahmad,<\/span><\/p>\n<p>Lakini hadithi Amedhofishwa na Sheikh Al-Albaniy Mungu amrehemu.<br \/>\nNa katika faida ya kutawdha kimwili,ni kuwa huupa mwili nishati,kwa dalili kuwa Mtume rehma na amani zimfikie amearish kwa Yule alie muingilia mkewe na akataka kurudi tena kumuingilia akatawadhe, kama ilivyo kuja katika Hadithi ilio pokelewa na Imam Muslim:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">&#8220;\u0625 \u0630\u0627 \u0623\u062a\u0649 \u0623\u062d\u062f\u0643\u0645 \u0623\u0647\u0644\u0647 \u062b\u0645 \u0623\u0631\u0627\u062f \u0623\u0646 \u064a\u0639\u0648\u062f \u0641\u0644\u064a\u062a\u0648\u0636\u0623.&#8221;<\/span><\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: left;\"><span style=\"color: #0000ff;\">[Atakapo muingilia Mmoja wenu mkewe kasha akataka kurudi (kutaka kumuingilia tena) basi Akatawadhi]<\/span><\/p>\n<p>Na katika\u00a0riwaya ya Ibn Hibbani imekuja kwa matamshi haya:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">&#8220;\u0625\u0630\u0627 \u0623\u062a\u0649 \u0623\u062d\u062f\u0643\u0645 \u0623\u0647\u0644\u0647 \u062b\u0645 \u0623\u0631\u0627\u062f \u0623\u0646 \u064a\u0639\u0648\u062f \u0641\u0644\u064a\u062a\u0648\u0636\u0623 \u0641\u0625\u0646\u0647 \u0623\u0646\u0634\u0637 \u0644\u0644\u0639\u0648\u062f.&#8221;<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Atakapo muingilia Mmoja wenu mkewe kasha akataka kurudi basi akatawadhe kwani atarudi na shiti]<\/span><br \/>\nNa kutawadha huku japo kuwa silazima,lakini kuna dalili yakuwa kutawadha huupa mwili nishati,hizi ni badhi ya faida ya kutawadha kimwili na kinafsi na bila shaka kuna faida nyingi kwani katika Mamrisho yake allah hapakosekani faida kwa Mwanadamu sawa awe ni mwenye kuzijua \u00a0au asiwe ni mwenye kuzijua.<\/p>\n<p>Na Allah ndie mjuzi zaid<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>FAIDA ZA KUTAWADHA KIMWILI NA KINAFSI Suali:\u00a0Ni ipi faida ya kutwadha kinafsi na kimwili ?? Jawabu: Kwanza kabisa ni lazima kujua kuwa kutawadha ni ibaada tukufu Mwenyzi Mungu (Subhanahu wata&#8217;ala ) ameamrisha wakati mtu anapo taka kuswali. Na lizima afute Mamrisho ya allah sawa atakuwa ni mwenye kujua hikma yake au asijue,na bila shaka katika [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[89],"tags":[],"class_list":["post-4559","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-twahara-fatawa"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4559","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4559"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4559\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":16068,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4559\/revisions\/16068"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4559"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4559"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4559"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}