{"id":4540,"date":"2021-06-16T20:19:52","date_gmt":"2021-06-16T20:19:52","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4540"},"modified":"2022-09-26T17:38:43","modified_gmt":"2022-09-26T17:38:43","slug":"hukmu-ya-kuswali-ijumaa-kwa-msafiri","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/hukmu-ya-kuswali-ijumaa-kwa-msafiri\/","title":{"rendered":"HUKMU YA KUSWALI IJUMAA KWA MSAFIRI"},"content":{"rendered":"<h3><span style=\"color: #993300;\">HUKMU YA KUSWALI IJUMAA KWA MSAFIRI<\/span><\/h3>\n<p><span style=\"color: #008000;\">Suali:<\/span>\u00a0Ni ipi hukmu ya kuswali Swala ya Ijumaa kwa Msafiri?<\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Jawabu:<\/span>\u00a0Kwanza kabisa msafiri haimpasi kuswali Ijumaa, imekuja katika kitabu cha Imamu\u00a0Al Nnawawiy\u00a0\u00a0&#8220;Al Majmuu&#8221;\u00a0Haimpasi kuswali Ijumaa kwa msafiri&#8221;<br \/>\nLakini ikiwa msafiri ataamua kuswali Ijumaa pamoja na watu basi itamtosheleza na hatoswali Adhuhuri, Asema\u00a0Sheikh Ibnu Baaz\u00a0katika Fatawa za Nuur ala Al Darbi :\u00a0&#8220;Na lau msafiri ataswali Ijumaa na watu itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri, kwa sababu msafiri halazimiki kuswali Ijumaa, lau ataingia kwenye mji na yeye ni msafiri akaswali na wao Ijumaa itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri&#8221;.<br \/>\nAma kuswali Ijumaa peke yake au kuchanganya swala ya Ijumaa pamoja na Alasiri hilo halifai wala halitamtosheleza, lakini la uwajibu kwake ni kuswali Adhuhuri hali ya kuipunguza na hakuna ubaya ikiwa itakusanya pamoja na Alasiri kwa kupunguza.<\/p>\n<p>Na Allah ndie Mjuzi zaidi.<\/p>\n<hr \/>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>HUKMU YA KUSWALI IJUMAA KWA MSAFIRI Suali:\u00a0Ni ipi hukmu ya kuswali Swala ya Ijumaa kwa Msafiri? Jawabu:\u00a0Kwanza kabisa msafiri haimpasi kuswali Ijumaa, imekuja katika kitabu cha Imamu\u00a0Al Nnawawiy\u00a0\u00a0&#8220;Al Majmuu&#8221;\u00a0Haimpasi kuswali Ijumaa kwa msafiri&#8221; Lakini ikiwa msafiri ataamua kuswali Ijumaa pamoja na watu basi itamtosheleza na hatoswali Adhuhuri, Asema\u00a0Sheikh Ibnu Baaz\u00a0katika Fatawa za Nuur ala Al [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[90],"tags":[],"class_list":["post-4540","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-swala-fatawa-sw"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4540","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4540"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4540\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":16080,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4540\/revisions\/16080"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4540"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4540"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4540"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}