{"id":4537,"date":"2021-06-16T20:17:20","date_gmt":"2021-06-16T20:17:20","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4537"},"modified":"2022-09-26T18:13:19","modified_gmt":"2022-09-26T18:13:19","slug":"swala-ya-tawba","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/swala-ya-tawba\/","title":{"rendered":"SWALA YA TAWBA"},"content":{"rendered":"<h3><strong><span style=\"color: #993300;\">SWALA YA TAWBA<\/span><\/strong><\/h3>\n<p><span style=\"color: #008000;\">Suali:<\/span> Swala ya toba? Inaswaliwa vipi? Na ina rakaa ngapi? Na jee naweza kuiswali baada ya Swala ya Al- Asiri?<br \/>\nAlhamdulillah:<\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">Jawabu:<\/span> Hakika ni katika rahma za Mwenyezi Mungu kwa umma huu ni kuwa ameufungulia mlango wa toba, na haufungwi mpaka roho ifike kwenye koo au mpaka jua lichomoze kutoka magharibi.<\/p>\n<p>Na katika rahma za Mwenyezi Mungu pia kwa umma huu ni kuwaekea ibada ambayo ni katika ibada bora kabisa, kupitia kwa ibada hii anajikurubisha mja aliefanya dhambi kwa mola wake kwa matarajio ya kukubaliwa toba yake nao ni &#8220;Swala ya toba&#8221; na haya ni baadhi ya mambo yanayohusiana na swala hii.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">1-<\/span> kufaa kisheria kwa mtu kuswali swala ya toba.<br \/>\nWamekubaliana wanazuoni kufaa kwa swala ya toba.amepokea Abuu dauud (1521) kutoka kwa Abubakar Aswiddiq radhi za Mwenyezi Mungu zimfikie yeye \u00a0kwamba amesema: nimemsikia Mtume MUHAMMAD \ufdfa akisema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u00a0\u0645\u064e\u0627 \u0645\u0650\u0646\u0652 \u0639\u064e\u0628\u0652\u062f\u064d \u064a\u064f\u0630\u0652\u0646\u0650\u0628\u064f \u0630\u064e\u0646\u0652\u0628\u064b\u0627 \u0641\u064e\u064a\u064f\u062d\u0652\u0633\u0650\u0646\u064f \u0627\u0644\u0637\u0651\u064f\u0647\u064f\u0648\u0631\u064e \u060c \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u064a\u064e\u0642\u064f\u0648\u0645\u064f \u0641\u064e\u064a\u064f\u0635\u064e\u0644\u0651\u0650\u064a \u0631\u064e\u0643\u0652\u0639\u064e\u062a\u064e\u064a\u0652\u0646\u0650 \u060c \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u064a\u064e\u0633\u0652\u062a\u064e\u063a\u0652\u0641\u0650\u0631\u064f \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u0625\u0650\u0644\u0651\u064e\u0627 \u063a\u064e\u0641\u064e\u0631\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064f \u0644\u064e\u0647\u064f \u060c \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0642\u064e\u0631\u064e\u0623\u064e \u0647\u064e\u0630\u0650\u0647\u0650 \u0627\u0644\u0652\u0622\u064a\u064e\u0629\u064e : &#8220;\u0648\u064e\u0627\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a\u0646\u064e \u0625\u0650\u0630\u064e\u0627 \u0641\u064e\u0639\u064e\u0644\u064f\u0648\u0627 \u0641\u064e\u0627\u062d\u0650\u0634\u064e\u0629\u064b \u0623\u064e\u0648\u0652 \u0638\u064e\u0644\u064e\u0645\u064f\u0648\u0627 \u0623\u064e\u0646\u0652\u0641\u064f\u0633\u064e\u0647\u064f\u0645\u0652 \u0630\u064e\u0643\u064e\u0631\u064f\u0648\u0627 \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u0641\u064e\u0627\u0633\u0652\u062a\u064e\u063a\u0652\u0641\u064e\u0631\u064f\u0648\u0627 \u0644\u0650\u0630\u064f\u0646\u064f\u0648\u0628\u0650\u0647\u0650\u0645\u0652 \u0648\u064e\u0645\u064e\u0646\u0652 \u064a\u064e\u063a\u0652\u0641\u0650\u0631\u064f \u0627\u0644\u0630\u0651\u064f\u0646\u064f\u0648\u0628\u064e \u0625\u0650\u0644\u0651\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064f \u0648\u064e\u0644\u064e\u0645\u0652 \u064a\u064f\u0635\u0650\u0631\u0651\u064f\u0648\u0627 \u0639\u064e\u0644\u064e\u0649 \u0645\u064e\u0627 \u0641\u064e\u0639\u064e\u0644\u064f\u0648\u0627 \u0648\u064e\u0647\u064f\u0645\u0652 \u064a\u064e\u0639\u0652\u0644\u064e\u0645\u064f\u0648\u0646\u064e<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[hakuna mja atafanya dhambi kisha akajitwahirisha vizuri,kisha akasimama akaswali rakaa mbili, kisha akamuomba Mwenyezi Mungu msamaha isipokua ALLAH atamsamehe kisha akasoma aya hii\u00a0<em>[Na ambao pindi wafanyapo uchafu au wakajidhulumu nafsi zao humkumbuka Mwenyezi Mungu na wakamwomba msamaha kwa dhambi zao &#8211; na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu? &#8211; na wala hawaendelei na waliyo yafanya na hali wanajua.]<\/em>\u00a0\u00a0Amesahihisha hadithi hii Albany katika sahihi ya Abii Dauud.<\/span><br \/>\nNa amepokea Imam Ahmad (26998) kutoka kwa Abii darda&#8217;a radhi za ALLAH ziwe juu yake amesema nimemsikia Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0akisema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0645\u064e\u0646\u0652 \u062a\u064e\u0648\u064e\u0636\u0651\u064e\u0623\u064e \u0641\u064e\u0623\u064e\u062d\u0652\u0633\u064e\u0646\u064e \u0648\u064f\u0636\u064f\u0648\u0621\u064e\u0647\u064f \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0642\u064e\u0627\u0645\u064e \u0641\u064e\u0635\u064e\u0644\u0651\u064e\u0649 \u0631\u064e\u0643\u0652\u0639\u064e\u062a\u064e\u064a\u0652\u0646\u0650 \u0623\u064e\u0648\u0652 \u0623\u064e\u0631\u0652\u0628\u064e\u0639\u064b\u0627 (\u0634\u0643 \u0623\u062d\u062f \u0627\u0644\u0631\u0648\u0627\u0629) \u064a\u064f\u062d\u0652\u0633\u0650\u0646\u064f \u0641\u0650\u064a\u0647\u0650\u0645\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0630\u0651\u0650\u0643\u0652\u0631\u064e \u0648\u064e\u0627\u0644\u0652\u062e\u064f\u0634\u064f\u0648\u0639\u064e \u060c \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0627\u0633\u0652\u062a\u064e\u063a\u0652\u0641\u064e\u0631\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u0639\u064e\u0632\u0651\u064e \u0648\u064e\u062c\u064e\u0644\u0651\u064e \u060c \u063a\u064e\u0641\u064e\u0631\u064e \u0644\u064e\u0647\u064f]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Mwenye kutawadha na akafanya uzuri katika udhu wake kisha akasimama akaswali rakaa mbili au nne (ametia shaka mmoja wa wapokezi) kisha akamtaja Mwenyezi Mungu \u00a0na akanyenyekea vizuri ndani ya rakaa hizo,kisha akamuomba msamaha Mwenyezi Mungu alietukuka basi Mwenyezi Mungu atamsamehe]<\/span><br \/>\n<span style=\"color: #008000;\">Wanasema wenye kuhakikisha sanad za hadithi.Hadithi hii sanad yake ni sahihi na ameitaja hadithi hii Albany katika\u00a0[Silisilatul Ahaadithi Sswahiihah] (3398)<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2-<\/span> Sababu ya Swala ya Toba:<br \/>\nSababu ya swala ya toba ni Muislamu kufanya madhambi sawa yawe ni madhambi makubwa au madhambi madogo,hivyo basi ni wajibu wake kutubia haraka iwezekanavyo,na inapendekezwa kwake kuswali rakaa hizi mbili ili afanye wakati wa toba yake tendo zuri ambalo linamkurubisha zaidi kwa Mwenyezi Mungu \u00a0nayo ni swala hii,anajikurubisha kwa ALLAH kupitia swala hii na kutarajia yakwamba Mwenyezi Mungu atakubali toba yake na atamsamehe madhambi yake.<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3-<\/span> Wakati wa Swala ya Tawba.<br \/>\nInapendekezwa kuswali Swala hii pindi tu Muislamu anapoazimia kufanya toba kutokana na dhambi alilolifanya,sawa toba hii iwe baada ya kufanya maasi pale pale, au akachelewesha toba.Na ni lazima kwa mwenye kufanya dhambi kuharakisha kufanya toba lakini akiichelewesha itakubaliwa,kwani toba inakubaliwa ikiwa hakutapatikana vizuizi vifwatavyo:<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">1-<\/span> Roho ikishafika kwenye koo anasema Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0625\u0650\u0646\u0651\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064e \u064a\u064e\u0642\u0652\u0628\u064e\u0644\u064f \u062a\u064e\u0648\u0652\u0628\u064e\u0629\u064e \u0627\u0644\u0652\u0639\u064e\u0628\u0652\u062f\u0650 \u0645\u064e\u0627 \u0644\u064e\u0645\u0652 \u064a\u064f\u063a\u064e\u0631\u0652\u063a\u0650\u0631\u0652] \u00a0 <span style=\"color: #ff6600;\">\u00a0\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0627\u0644\u062a\u0631\u0645\u0630\u064a \u0648\u062d\u0633\u0646\u0647 \u0627\u0644\u0623\u0644\u0628\u0627\u0646\u064a<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[hakika Mwenyezi Mungu anakubali toba ya mja kabla hajatokwa na roho]\u00a0 \u00a0<span style=\"color: #008000;\">Imam Albany ameifanya hadithi hii ni nzuri katika (swahih al tirmidhy) (3537)<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">2-<\/span> Jua likichomoza kutoka upande wa magharibi Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0anasema :<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0645\u064e\u0646\u0652 \u062a\u064e\u0627\u0628\u064e \u0642\u064e\u0628\u0652\u0644\u064e \u0623\u064e\u0646\u0652 \u062a\u064e\u0637\u0652\u0644\u064f\u0639\u064e \u0627\u0644\u0634\u0651\u064e\u0645\u0652\u0633\u064f \u0645\u0650\u0646\u0652 \u0645\u064e\u063a\u0652\u0631\u0650\u0628\u0650\u0647\u064e\u0627 \u062a\u064e\u0627\u0628\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064f \u0639\u064e\u0644\u064e\u064a\u0652\u0647\u0650] \u00a0 \u00a0 <span style=\"color: #ff6600;\">\u0631\u0648\u0627\u0647 \u0645\u0633\u0644\u0645<\/span><\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Atakaetubu kabla ya jua kuchomoza kutoka magharibi Mwenyezi Mungu atakubali toba yake]\u00a0[Imepokelewa na Imamu Muslim (2703)].<\/span><br \/>\nNa Swala hii inaswaliwa kila wakati hata katika zile nyakati ambazo imekatazwa kuswali ndani yake kama vile (baada ya al asiri) kwa sababu swala hii ni katika swala zilizo na sababu hivyo basi inaswaliwa pale inapopatikana sababu yake.<br \/>\nAnasema Sheikhul Islam ibnu Taymiyah Mungu amrahamu.\u00a0&#8220;Swala zote zenye sababu zinaswaliwa ikiwa zitacheleweshwa mpaka mda wa makatazo kama vile sijda ya tilawa,tahiyyatul masjid,swala ya kupatwa kwa jua,na mfano wa swala baada ya tohara, kama ilivyokuja katika hadithi ya bilal r.a na vile vile swala ya istikhaara na vile vile swala ya toba, mtu anapofanya dhambi ni wajibu wake atubu kwa haraka, nayo ni sunna mpaka atakaposwali rakaa mbili na kutubu kama ilivyokuja katika hadithi ya abubakar swiddiq&#8221;<br \/>\n[Majmuul fataawa 215\/23]<\/p>\n<p><span style=\"color: #ff6600;\">3-<\/span> Sifa ya Swala ya Tawba:<br \/>\nSwala ya tawba ni rakaa mbili kama ilivyo katika hadithi ya Abubakar radhi za ALLAH ziwe juu yake na inapendeza kwa mwenye kutubu aiswali peke yake kwa sababu swala hii ni katika Sunna ambazo haifai kuziswali kwa jamaa,na ni sunna baada ya swala afanye istighfaar na amuombe Mwenyezi Mungu msamaha kwa hadithi iliyopokelewa na \u00a0Abubakar radhi za Allah ziwe juu yake.<br \/>\nNa haijathibiti kutoka kwa Mtume\u00a0\ufdfa\u00a0kuhusisha swala hii na sura maalum bali mwenye kuswali atasoma sura yeyote anayoitaka.<br \/>\nNa inapendeza mtu ajitahidi kufanya matendo mema pamoja na Swala hii kwani Mwenyezi Mungu \u00a0anasema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0648\u064e\u0625\u0650\u0646\u0651\u0650\u064a \u0644\u064e\u063a\u064e\u0641\u0651\u064e\u0627\u0631\u064c \u0644\u0650\u0645\u064e\u0646\u0652 \u062a\u064e\u0627\u0628\u064e \u0648\u064e\u0622\u0645\u064e\u0646\u064e \u0648\u064e\u0639\u064e\u0645\u0650\u0644\u064e \u0635\u064e\u0627\u0644\u0650\u062d\u0627\u064b \u062b\u064f\u0645\u0651\u064e \u0627\u0647\u0652\u062a\u064e\u062f\u064e\u0649} \u00a0 \u00a0\u0637\u0647:82<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Na hakika yangu mimi ni mwingi wa msamaha kwa yule atakaetubu na akaamini na kufanya matendo mema kisha akaongoka]<\/em>\u00a0\u00a0 \u00a0\u00a0[Twaha:82.]<\/span><br \/>\nNa katika bora ya matendo mema atakayoyafanya mwenye kutubu ni kutoa Sadaka.<\/p>\n<p>hakika mtu kutoa sadaka ni katika sababu kubwa za kufutiwa Madhambi Mwenyezi Mungu anasema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">{\u0625\u0650\u0646\u0652 \u062a\u064f\u0628\u0652\u062f\u064f\u0648\u0627 \u0627\u0644\u0635\u0651\u064e\u062f\u064e\u0642\u064e\u0627\u062a\u0650 \u0641\u064e\u0646\u0650\u0639\u0650\u0645\u0651\u064e\u0627 \u0647\u0650\u064a\u064e \u0648\u064e\u0625\u0650\u0646\u0652 \u062a\u064f\u062e\u0652\u0641\u064f\u0648\u0647\u064e\u0627 \u0648\u064e\u062a\u064f\u0624\u0652\u062a\u064f\u0648\u0647\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0652\u0641\u064f\u0642\u064e\u0631\u064e\u0627\u0621\u064e \u0641\u064e\u0647\u064f\u0648\u064e \u062e\u064e\u064a\u0652\u0631\u064c \u0644\u064e\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0648\u064e\u064a\u064f\u0643\u064e\u0641\u0651\u0650\u0631\u064f \u0639\u064e\u0646\u0652\u0643\u064f\u0645\u0652 \u0645\u0650\u0646\u0652 \u0633\u064e\u064a\u0651\u0650\u0626\u064e\u0627\u062a\u0650\u0643\u064f\u0645\u0652}<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha mkawapa mafakiri kwa siri basi hivyo ni kheri kwenu, na yatakuondoleeni baadhi ya maovu yenu]\u00a0\u00a0 \u00a0<\/em>[Al-Baqara:271]<\/span><\/p>\n<p>Na imethubutu kutoka kwa Ka&#8217;ab bin Malik alimwambia Mtume baada ya Mwenyezi Mungu kukubali Tawba yake : Ewe mtume wa Mwenyezi Mungu ni katika tawba yangu nizitoe na mali zangu zote ziwe ni sadaka kwa ajili ya Mwenyezi Mungu \u00a0na Mtume wake. Mtume akasema:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">[\u0623\u0645\u0633\u0643 \u0639\u0644\u064a\u0643 \u0628\u0639\u0636 \u0645\u0627\u0644\u0643 \u0641\u0647\u0648 \u062e\u064a\u0631 \u0644\u0643]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[Zuia baadhi ya Mali zako hilo ni kheri kwako]\u00a0\u00a0Ka&#8217;ab akasema mimi nabaki na fungu langu la ngawira za vita vya kheibar.<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #008000;\">[Imepokelewa na Bukhari na Muslim.]<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\">KWA UFUPI:<\/span><br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">1.<\/span> Swala hii ya Tawba imethibiti kutoka kwa Mtume\u00a0\ufdfa.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">2<\/span>. Swala hii inafaa kuswaliwa baada ya muislamu kufanya dhambi sawa liwe dhambi kubwa au dogo, sawa iwe ni baada ya kufanya madhambi hapo hapo ama baada ya mda.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">3.<\/span> Swala hii inaswaliwa kila wakati hata katika zile nyakati ambazo imekatazwa kuswali.<br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">4-<\/span> yakwamba inapendeza kwa mwenye kutubu pamoja na swala hii kufanya baadhi ya matendo mema kama vile kutoa sadaka na mengineyo.<\/p>\n<blockquote><p>** Chanzo: Hii ni Fatwa ya Sheikh Mahammad Swaleh Al Munajid<\/p><\/blockquote>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SWALA YA TAWBA Suali: Swala ya toba? Inaswaliwa vipi? Na ina rakaa ngapi? Na jee naweza kuiswali baada ya Swala ya Al- Asiri? Alhamdulillah: Jawabu: Hakika ni katika rahma za Mwenyezi Mungu kwa umma huu ni kuwa ameufungulia mlango wa toba, na haufungwi mpaka roho ifike kwenye koo au mpaka jua lichomoze kutoka magharibi. Na [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[90],"tags":[],"class_list":["post-4537","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-swala-fatawa-sw"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4537","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4537"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4537\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":16090,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4537\/revisions\/16090"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4537"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4537"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4537"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}