{"id":4372,"date":"2021-06-16T10:22:15","date_gmt":"2021-06-16T10:22:15","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4372"},"modified":"2023-05-03T05:43:16","modified_gmt":"2023-05-03T05:43:16","slug":"je-yesu-alisulubiwa-na-kufa-msalabani","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/je-yesu-alisulubiwa-na-kufa-msalabani\/","title":{"rendered":"JE YESU ALISULUBIWA NA KUFA MSALABANI?"},"content":{"rendered":"<h2><span style=\"color: #993300;\">JE YESU ALISULUBIWA NA KUFA MSALABANI?<\/span><\/h2>\n<p>Wengi katika ndugu wakristo hufikiri Nabii Yesu[as] ndiye aliye kuja na msalaba kwa hivyo wakautukuza mno hadi wengine kudai msalaba waweza kuokoa jambo ambalo si kweli hata kidogo. Ni kwa hili ndipo sisi kama waislamu tukaona umuhimu wa kutafuta ile kweli na kuufahamisha umma ambao unajiangamiza kwa fikra ,au akida isiyo kuwa ya kisawasawa .<\/p>\n<p>Quran na baadhi ya maandiko ya Biblia yaliyo salimika yanaafikiana kuwa msalaba ni alama ya laana na si vyema kujihusisha nao kwa ushahidi ufuatao:<\/p>\n<p>1.Torati 21:22-23<br \/>\n2.Yoshua 10:26-27<br \/>\n3.Esta 9:24-25<br \/>\n4.Quran 5:33-34<br \/>\n5.Wagalatia 3:13-14<br \/>\n1.Quran 3:54-56<br \/>\n2.Yohana 11:45-52<br \/>\n3.Quran 4:155-156<br \/>\n1.Quran 4:157-158-\u00a0Allah andhibitisha wazi kuwa Nabii wake hakufa kifo cha laana<br \/>\n2.Mathayo 26:24-25-majuto kwa msaliti<br \/>\n3.Mathayo 27:27-29\u00a0\u2013vazi jekundu<br \/>\n4.Marko 15:16-18\u00a0vazi la rangi ya zambarau<br \/>\n5.Mathayo 27:45-46\u00a0saa sita Yesu yuko msalabani<br \/>\n6.Yohana 19:14-15\u00a0saa sita Yesu yuko mahakamani<br \/>\n7.Marko 15:25\u00a0saa tatu asubuhi Yesu ameshasulubiwa<\/p>\n<p>ISHARA YA NABII YESU<br \/>\n1.Mathayo 12:38-40\u00a0ishara ya nabii Yona ni ipi<br \/>\n2.Yona 2:1-2\u00a0Yona aliomba ndani ya tumbo la samaki<br \/>\n3.Yohana 19:3-35\u00a0maiti aweza kuvuja damu?<\/p>\n<p>MWISHO WA YUDA ULIKUWAJE?<br \/>\n1.Mathayo 27:3-7 Yuda alienda akajinyonga?<br \/>\n2.Matendo 1:16-19 Yuda alianguka kwa kasi akapasuka tumbo?<\/p>\n<p>WALIOENDA KABURINI NI WANGAPI?<br \/>\n1.Mathayo 28:1-2\u00a0wanawake walio enda kaburini ni Mariamu Magdalene na Mariamu Yule wa pili<br \/>\n2.Marko 16:1-walio enda ni Mariamu Magdalene,Mariamu mamaye Yakobo,naSalome<br \/>\n3.Luka 24:1,10\u00a0walioenda kaburini ni Mariamu Magdalene,Yoana,Mariamu mamaye Yakobo na wale wanawake\u00a0wengine waliokuwa pamoja nao<br \/>\n4.Yohana 20:1-2\u00a0Mariamu Magdalene peke yake alikwenda kaburini<br \/>\n5.Luka 24:36-40\u00a0ushahidi kuwa Nabii Yesu hakusulubiwa<br \/>\n6.Quran 2:119-120<br \/>\n7.Quran 2:111\u00a0-changamoto kwa ndugu wakristo wadhibitishe kifo cha Nabii Yesu<br \/>\nPaulo aliye muasisi wa ukristo,aliwachanganya wakristo akisema usipo uamini msalaba huwezi kamwe kuokoka 1 wakorintho 15:14,jambo ambalo si kweli.<\/p>\n<p>Mwandishi wa kikristo asema kwenye kitabu chake\u00a0&#8220;The Crucified God&#8221;<br \/>\n\u201cKifo cha Yesu msalabani ndicho kiini cha ukristo wote \u2026\u2026\u2026\u2026\u2026\u2026\u2026\u2026mazugumzo yote ya kikristo kuhusu Mungu,uumbaji ,dhambi,na kifo zote zina chimbuko katika Yesu \u2018aliyesulubiwa\u2019.Mazungumzo yote ya kihistoria, kuhusu kanisa, imani ,kutosheka na kuhusu mambo yajayo ,kuhusu tumaini,yote yameitikadiwa kwenye kusulubiwa kwa Yesu\u201d\u2026\u2026\u2026\u2026\u2026..Prof. Jurgen Moltmann<br \/>\nNaye mwandishi mwingine Josh Mcdowell katika kitabu chake kiitwacho\u00a0\u201dThe Ressurection Factor\u201d\u00a0asema\u201dNililazimika kwenye uamuzi kufufuka kwa Yesu huenda ni uwongo,ukora ,ujanja uliopangiliwa na kuingizwa kwa bongo lamwanadamu,au ni tukio kubwa la kihistoria\u201d<br \/>\nYote haya yanadhibitisha wazi msalaba ni upotofu mkubwa kwa wanadamu.<\/p>\n<blockquote><p>IMETAYARISHWA NA :<br \/>\nADAM AMBETSA<br \/>\nMWEMBE TAYARI TABLIGH GROUP<br \/>\nMOBILE NO. 0723 17 41 54<br \/>\nMOMBASA, KENYA.<\/p><\/blockquote>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>JE YESU ALISULUBIWA NA KUFA MSALABANI? Wengi katika ndugu wakristo hufikiri Nabii Yesu[as] ndiye aliye kuja na msalaba kwa hivyo wakautukuza mno hadi wengine kudai msalaba waweza kuokoa jambo ambalo si kweli hata kidogo. Ni kwa hili ndipo sisi kama waislamu tukaona umuhimu wa kutafuta ile kweli na kuufahamisha umma ambao unajiangamiza kwa fikra ,au [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":20050,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[85],"tags":[],"class_list":["post-4372","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-itikadi-za-wakiristo"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4372","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4372"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4372\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":20053,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4372\/revisions\/20053"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/20050"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4372"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4372"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4372"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}