{"id":4281,"date":"2021-06-16T08:14:15","date_gmt":"2021-06-16T08:14:15","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=4281"},"modified":"2022-07-31T11:45:49","modified_gmt":"2022-07-31T11:45:49","slug":"itikadi-ya-mashia-juu-ya-uimamu","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/itikadi-ya-mashia-juu-ya-uimamu\/","title":{"rendered":"ITIKADI YA MASHIA JUU YA UIMAMU"},"content":{"rendered":"<h3 style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #993300;\">ITIKADI YA MASHIA JUU YA UIMAMU<\/span><\/h3>\n<p>Miongoni mwa itikadi za Mashia ni kuamini Maimamu kumi na mbili, na hili la uimamu ni moja katika nguzo za Uislamu kama wanavyo dai Mashia, na kuwa mtu uislamu wake haukubaliki mpaka aamini maimamu kumi na mbili,na kuwa amali ya mtu haikubaliwi mpaka awe ni mwenye kuamini maimu hawa. Kama yalivyo kuja kwenye Vitabu vyao vya kutegemewa,<\/p>\n<p>Na wamemsingizia Jafar Swadi Mungu amrahamu maneno haya:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #808000;\">\u0625\u0646 \u0623\u0648\u0644 \u0645\u0627 \u064a\u064f\u0633\u0623\u0644 \u0639\u0646\u0647 \u0627\u0644\u0639\u0628\u062f \u0625\u0630\u0627 \u0648\u0642\u0641 \u0628\u064a\u0646 \u064a\u062f\u064a \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0640 \u062c\u0644 \u062c\u0644\u0627\u0644\u0647 \u0640 \u0639\u0646 \u0627\u0644\u0635\u0644\u0648\u0627\u062a \u0627\u0644\u0645\u0641\u0631\u0648\u0636\u0627\u062a\u060c \u0648\u0639\u0646 \u0627\u0644\u0632\u0643\u0627\u0629 \u0627\u0644\u0645\u0641\u0631\u0648\u0636\u0629\u060c \u0648\u0639\u0646 \u0627\u0644\u0635\u064a\u0627\u0645 \u0627\u0644\u0645\u0641\u0631\u0648\u0636\u060c \u0648\u0639\u0646 \u0627\u0644\u062d\u062c\u0651 \u0627\u0644\u0645\u0641\u0631\u0648\u0636\u060c \u0648\u0639\u0646 \u0648\u0644\u0627\u064a\u062a\u0646\u0627 \u0623\u0647\u0644 \u0627\u0644\u0628\u064a\u062a\u060c \u0641\u0625\u0646 \u0623\u0642\u0631\u0651 \u0628\u0648\u0644\u0627\u064a\u062a\u0646\u0627 \u062b\u0645\u0651 \u0645\u0627\u062a \u0639\u0644\u064a\u0647\u0627 \u0642\u064f\u0628\u0644\u062a \u0645\u0646\u0647 \u0635\u0644\u0627\u062a\u0647 \u0648\u0635\u0648\u0645\u0647 \u0648\u0632\u0643\u0627\u062a\u0647 \u0648\u062d\u062c\u0647\u060c \u0648\u0625\u0646 \u0644\u0645 \u064a\u0642\u0631 \u0628\u0648\u0644\u0627\u064a\u062a\u0646\u0627 \u0628\u064a\u0646 \u064a\u062f\u064a \u062c\u0644 \u062c\u0644\u0627\u0644\u0647 \u0644\u0645 \u064a\u0642\u0628\u0644 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u0645\u0646\u0647 \u0634\u064a\u0626\u0627 \u0645\u0646 \u0623\u0639\u0645\u0627\u0644\u0647.<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #008080;\">[Hakika jambo la kwanza atakalo ulizwa mja anaposimama mbele ya mola wake mtukufu ataulizwa kuhusu Swala alizofaradhiwa, na ataulizwa kuhusu zaka alizofaradhiwa, na Saumu aliyofaradhiwa na hija aliyofaradhiwa, na ataulizwa kuhusu utawala wa ahlul Bayt, ikiwa ni mwenye kuukubali utawala wetu kisha akawa ni mwenye kufa basi atakubaliwa Swala yake na funga yake na zaka zake na hija yake, na ikiwa hakukubali utawala wetu mbele ya mola alaiyetukuka hatakubaliwa chochote katika matendo yake.]\u00a0 \u00a0 \u00a0[Aamali Swaduuq: uk 154]<\/span><\/p>\n<p>Na wanaitakidi kuwa asiye waamini maimamu kumi na mbili basi huyo si Muislamu bali ni kafiri na ataingia motoni na akae milele humo.<br \/>\nAmeeleza mwanachuoni wao Al Mufiid yakuwa:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: right;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0625\u062c\u0645\u0627\u0639 \u0627\u0644\u0634\u064a\u0639\u0629 \u0627\u0644\u0625\u0645\u0627\u0645\u064a\u0629 \u0627\u0644\u0627\u062b\u0646\u064a \u0639\u0634\u0631\u064a\u0629 \u0639\u0644\u064e\u0649 \u0623\u0646 \u0645\u0646 \u0623\u0646\u0643\u0631 \u0625\u0645\u0627\u0645\u0629 \u0623\u062d\u062f \u0645\u0646 \u0627\u0644\u0623\u0626\u0645\u0629 \u0648\u062c\u062d\u062f \u0645\u0627 \u0623\u0648\u062c\u0628\u0647 \u0627\u0644\u0644\u0647 \u062a\u0639\u0627\u0644\u0649 \u0644\u0647 \u0645\u0646 \u0641\u0631\u0636 \u0627\u0644\u0637\u0627\u0639\u0629 \u0641\u0647\u0648 \u0643\u0627\u0641\u0631 \u0636\u0627\u0644 \u0645\u0633\u062a\u062d\u0642 \u0644\u0644\u062e\u0644\u0648\u062f \u0641\u064a \u0627\u0644\u0646\u0627\u0631. (\u0628\u062d\u0627\u0631 \u0627\u0644\u0623\u0646\u0648\u0627\u0631 8\/ 366\u060c 23\/ 390\u060c \u0623\u0648\u0627\u0626\u0644 \u0627\u0644\u0645\u0642\u0627\u0644\u0627\u062a \u063544).<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #008080;\">[Wameafikiana kwa ujumla wanachuoni wa kishia wanao amini maimamu kumi na mbili yakuwa yoyote yule atakae mkanusha imamu mmoja katika katika maimamu na akapinga aliyowajibishwa na Mwenyezi Mungu mtukufu katika kumtii basi mtu huyo ni kafiri mpotevu anaestahiki kukaa motoni milele]\u00a0\u00a0\u00a0\u00a0\u00a0[Biharul Anwaar 8\/366,23\/390 na kitabu Awaail Al Maqaalat uk 44 ]<\/span><\/p>\n<p>Na wanaitakidi kuwa Maimamu wao ni Maasumin wamehifadhiwa na Madhambi kama vile Manabii na wanaitakidi kuwa wanajua ilmul Ghayb mambo yalifichika, na kuwa maimamu wao wanajua siku ya kufa kwao na wao ni bora kuliko manabii wote isipokuwa Mtume Muhammad<br \/>\nKama yalivyo kuja katika kitabu chao wanachokitegemea sana<br \/>\nAl-Kulayniy katika kitabu \u2018Uswuwlul-Kaafiy\u2019: &#8220;Kasema Imamu Ja\u2019afar AswSwaadiq:<\/p>\n<p>[Sisi ni hazina ya elimu ya Allaah, sisi ni wafasiri wa amri za Allaah,<br \/>\nSisi ni watu tuliokingwa na dhambi, imeamrishwa tutiiwe, na imekatazwa<br \/>\ntusiasiwe, Sisi ndio hoja ya Allaah ya wazi kwa viumbe vilivyo chini ya ardhi na mbingu na vilivyo juu ya Ardhi.]\u00a0[Usuul-ul-Kaafiy cha Al-Kulayniyiy 1\/165.]<\/p>\n<p>Itikadi hii ya Mashia juu ya Uimamu ni itakadi potofu kwani yaenda kinyume na Mafunzo ya Qur&#8217;ani na Hadithi sahihi za Bwana Mtume\u00a0\ufdfa:<\/p>\n<p>zime kuja aya aya nyingi za kuthibitisha kuwa hakuna ajue Elimu ya Ghayb idipokuwa yeye Mwenyezi Mungu mtukufu Mwenyezi Mungu anasema katika Qur&#8217;ani tukufu:<\/p>\n<p dir=\"rtl\" style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0642\u064f\u0644 \u0644\u0651\u064e\u0627 \u064a\u064e\u0639\u0652\u0644\u064e\u0645\u064f \u0645\u064e\u0646 \u0641\u0650\u064a \u0627\u0644\u0633\u0651\u064e\u0645\u064e\u0627\u0648\u064e\u0627\u062a\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0652\u0623\u064e\u0631\u0652\u0636\u0650 \u0627\u0644\u0652\u063a\u064e\u064a\u0652\u0628\u064e \u0625\u0650\u0644\u0651\u064e\u0627 \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064f} \u00a0 \u00a0 \u00a0\u0627\u0644\u0646\u0645\u0644:65}<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\"><em>[Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu.]\u00a0\u00a0 \u00a0\u00a0\u00a0[Al Naml:65].<\/em><\/span><\/p>\n<p>Na lakustajabisha ni nguzo hii muhimu kama waanvyo dai Mashia ya kuwa amali za mja hazikubaliwi asipo amini itikadi hii ya Uimamu, kisha Mwenyezi Mungu Mtukufu asitaje kwenye Qur&#8217;ani tukufu wala kushiria kama vile ilivyo kuja Swala, na zaka, na hijja, na Saumu. zimekuja aya zaidi ya moja juu yanguzo hizi tano za Uislamu, lakini hakuna aya hata moja inayoashiria itikadi hii batili Mashia.<\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>ITIKADI YA MASHIA JUU YA UIMAMU Miongoni mwa itikadi za Mashia ni kuamini Maimamu kumi na mbili, na hili la uimamu ni moja katika nguzo za Uislamu kama wanavyo dai Mashia, na kuwa mtu uislamu wake haukubaliki mpaka aamini maimamu kumi na mbili,na kuwa amali ya mtu haikubaliwi mpaka awe ni mwenye kuamini maimu hawa. [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":10716,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[81],"tags":[],"class_list":["post-4281","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-itikadi-za-mashia"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4281","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=4281"}],"version-history":[{"count":4,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4281\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":14333,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/4281\/revisions\/14333"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/10716"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=4281"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=4281"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=4281"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}