{"id":22131,"date":"2023-09-10T07:19:46","date_gmt":"2023-09-10T07:19:46","guid":{"rendered":"https:\/\/uongofu.com\/?p=22131"},"modified":"2024-10-27T10:49:12","modified_gmt":"2024-10-27T10:49:12","slug":"je-ni-kitu-gani-kilichoumbwa-kabla-ya-vitu-vyote","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/uongofu.com\/en\/je-ni-kitu-gani-kilichoumbwa-kabla-ya-vitu-vyote\/","title":{"rendered":"JE NI KITU GANI KILICHOUMBWA KABLA YA VITU VYOTE"},"content":{"rendered":"<p><strong><span style=\"color: #008000;\">Suali<\/span><\/strong> : Je ni kitu gani kilichoumbwa kabla ya vitu vyote?<\/p>\n<p><span style=\"color: #008000;\"><span style=\"color: #0000ff;\"><strong>Jibu:<\/strong><\/span>\u00a0 <\/span>Kwanza kabisa msingi na marejeo ya kujua mambo yaliyotokea huko nyuma ni Qur\u2019ani na sunnah (Hadithi za Mtume Muhammad <span style=\"color: #008000;\">(\ufdfa)<\/span> na pia ufuhamu wa wanavyuoni wakubwa kuhusu hizo Aya na hadithi za Mtume <span style=\"color: #008000;\">(\ufdfa)<\/span><br \/>\nKwa hivyo, kutokana na hali hiyo wanavyuoni wametafautiana pakubwa kuhusu suala hili la kitu kilichoumbwa mwanzo kabla ya vitu vyote.<\/p>\n<p><span style=\"color: #993300;\"><strong>Sababu ya kutafautiana :<\/strong><\/span><br \/>\nNi kutokamana na jinsi kila mmoja wao alivyozifahamu hizo dalili na kuzijengea hoja mbalimbali.<\/p>\n<p><strong>Kauli ya kwanza :<\/strong>\u00a0 Ni Kalamu<br \/>\nBaadhi ya wanavyuoni wanasema kua kalamu ndiyo ya kwanza kuumbwa kati ya vitu vyote.<\/p>\n<p>Dalili yao :<br \/>\nHadithi ya U\u2019baadah Ibnu Alswaamit iliyopokelewa na Al-imam Ahmad na Abuu Daawuud na Alturmidhiyy, anasema kuwa : alisema Mtume wa Allah rehma na amani zimshukie<\/p>\n<p><span style=\"color: #008000;\"> \u0625\u0650\u0646\u0651\u064e \u0623\u064e\u0648\u0651\u064e\u0644\u064e \u0645\u064e\u0627 \u062e\u064e\u0644\u064e\u0642\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064f \u0627\u0644\u0652\u0642\u064e\u0644\u064e\u0645\u064e \u0641\u064e\u0642\u064e\u0627\u0644\u064e \u0644\u064e\u0647\u064f : \u0627\u0643\u0652\u062a\u064f\u0628\u0652 \u060c \u0642\u064e\u0627\u0644\u064e : \u0631\u064e\u0628\u0651\u0650 \u0648\u064e\u0645\u064e\u0627\u0630\u064e\u0627 \u0623\u064e\u0643\u0652\u062a\u064f\u0628\u064f \u061f \u0642\u064e\u0627\u0644\u064e : \u0627\u0643\u0652\u062a\u064f\u0628\u0652 \u0645\u064e\u0642\u064e\u0627\u062f\u0650\u064a\u0631\u064e \u0643\u064f\u0644\u0651\u0650 \u0634\u064e\u064a\u0652\u0621\u064d \u062d\u064e\u062a\u0651\u064e\u0649 \u062a\u064e\u0642\u064f\u0648\u0645\u064e \u0627\u0644\u0633\u0651\u064e\u0627\u0639\u064e\u0629\u064f<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">\u201d Hakika kitu alichokiumba Allah kwanza ni kalamu, akiamrisha kua: andika, kukapitishwa kuanzia hapo kila kitu kitakachotokea mpaka siku ya Qiyama \u201c<\/span><\/p>\n<p>Hoja yao:<br \/>\nHadithi hii inaonyesha kuwa kitu kilichoumbwa kwanza ni kalamu.<\/p>\n<p><strong>Kauli ya pili :<\/strong> Ni Arshi<br \/>\nAnasema <span style=\"color: #ff6600;\">Al-imam Ibnu Kathiyr:<\/span><br \/>\nJamhuri ya wanavyuoni wamekubaliana kua A\u2019rshi ndiyo iliyoumbwa mwanzo kabla ya vitu vyote .<\/p>\n<p>Dalili yao:<br \/>\nHadithi ya Abdullah Ibnu A\u2019mr Ibnul-\u2018Aaswi, katika Swahiyh Muslim, alisema Mtume (\ufdfa)<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0643\u064e\u062a\u064e\u0628\u064e \u0627\u0644\u0644\u0651\u064e\u0647\u064f \u0645\u064e\u0642\u064e\u0627\u062f\u0650\u064a\u0631\u064e \u0627\u0644\u0652\u062e\u064e\u0644\u064e\u0627\u0626\u0650\u0642\u0650 \u0642\u064e\u0628\u0652\u0644\u064e \u0623\u064e\u0646\u0652 \u064a\u064e\u062e\u0652\u0644\u064f\u0642\u064e \u0627\u0644\u0633\u0651\u064e\u0645\u064e\u0627\u0648\u064e\u0627\u062a\u0650 \u0648\u064e\u0627\u0644\u0652\u0623\u064e\u0631\u0652\u0636\u064e \u0628\u0650\u062e\u064e\u0645\u0652\u0633\u0650\u064a\u0646\u064e \u0623\u064e\u0644\u0652\u0641\u064e \u0633\u064e\u0646\u064e\u0629\u064d \u060c \u0642\u064e\u0627\u0644\u064e : \u0648\u064e\u0639\u064e\u0631\u0652\u0634\u064f\u0647\u064f \u0639\u064e\u0644\u064e\u0649 \u0627\u0644\u0652\u0645\u064e\u0627\u0621\u0650<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">\u201d Mwenyezi Mungu aliandika na kupanga mipango ya viumbe vyote kabla hajaumba mbingu na ardhi kwa kipindi miaka elfu hamsini , na kiti chake cha enzi kilikuwa juu ya maji .\u201d<\/span><\/p>\n<p>Hoja yao :<\/p>\n<p>Wanasema kua hii hadithi inamaanisha kua kuandikwa kwa mipangilio ya kila kitu kulitokea baada ya kuumbwa kwa A\u2019rshi ..<br \/>\nNa wanaijibu hadithi ya kuumbwa kwa kalamu kwanza kwamba hiyo hadithi inamaanisha kua kalamu iliumbwa baada ya a\u2019rshi na maji , Na Ibnu Hajar vilevile alikubaliana na hilo, pamoja na Ibnu Taymiyyah na IbnulQayyim.<\/p>\n<p><strong>Kauli ya tatu : Maji<\/strong><br \/>\nKauli ya tatu inasema kuwa maji ndiyo yaliyoumbwa kabla ya a\u2019rshi na kalamu .<\/p>\n<p>Dalili yao :<br \/>\nHadithi marfuu\u2019u kupitia kwa Abuu Raziyn Al-Uqayliyy: \u201d Maji ndiyo yaliyoumbwa kabla ya a\u2019rshi \u201d<\/p>\n<p>Na <span style=\"color: #ff6600;\">Al-imam Alssuddiy<\/span> amepokea kwa riwaya nyingi kua: Mwenyezi Mungu hakuumba kitu chochote kabla ya kuumba maji.<\/p>\n<p>Hoja yao :<br \/>\nHizi hadithi zinaonyesha kuwa Mwenyezi Mungu aliumba maji kwanza kabla ya kuumba a\u2019rshi.<\/p>\n<p>Dalili nyingine :<\/p>\n<p>Anasema Allah Mtukufu<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><span style=\"color: #008000;\">\u0648\u064e\u0647\u064f\u0648\u064e \u0671\u0644\u0651\u064e\u0630\u0650\u064a \u062e\u064e\u0644\u064e\u0642\u064e \u0671\u0644\u0633\u0651\u064e\u0645\u064e\u0670\u0648\u064e\u0670\u062a\u0650 \u0648\u064e\u0671\u0644\u06e1\u0623\u064e\u0631\u06e1\u0636\u064e \u0641\u0650\u064a \u0633\u0650\u062a\u0651\u064e\u0629\u0650 \u0623\u064e\u064a\u0651\u064e\u0627\u0645\u0656 \u0648\u064e\u0643\u064e\u0627\u0646\u064e \u0639\u064e\u0631\u06e1\u0634\u064f\u0647\u064f\u06e5 \u0639\u064e\u0644\u064e\u0649 \u0671\u0644\u06e1\u0645\u064e\u0627\u0653\u0621\u0650 \u0644\u0650\u064a\u064e\u0628\u06e1\u0644\u064f\u0648\u064e\u0643\u064f\u0645\u06e1 \u0623\u064e\u064a\u0651\u064f\u0643\u064f\u0645\u06e1 \u0623\u064e\u062d\u06e1\u0633\u064e\u0646\u064f \u0639\u064e\u0645\u064e\u0644\u0657\u0627\u06d7\u00a0 \u00a0\u0633\u0648\u0631\u0629 \u0647\u0648\u062f:7<\/span><\/p>\n<p><span style=\"color: #0000ff;\">[ Na Allah ndie aliye umba mbingu na ardhi na a\u2019rshi yake ilikua juu ya maji, ili awape mtihani ni yupe kati yenu mwenye matendo mazuri zaidi]<\/span>\u00a0 \u00a0Sura Huud: 7<\/p>\n<p>Hoja yao :<br \/>\nHii aya inamaanisha kua Allah aliumba maji kwanza kabla ya A\u2019rshi , na arshi ilikua juu ya maji kabla hajaumba mbingu na ardhi\u2026<br \/>\nKwa hivyo wanasema kua yaliumbwa maji kwanza kisha a\u2019rshi kisha kalamu na kisha mbingu na ardhi.<\/p>\n<p>Kwa ufupi :<br \/>\nWanavyuoni wengi wamekubaliana kua Mwenyezi Mungu aliumba A\u2019rshi na maji kabla ya kuumba kila kitu.<\/p>\n<p>Allah ndie anajua zaidi<\/p>\n<p><strong><span style=\"color: #993300;\">Yametayarishwa na :<\/span><\/strong><br \/>\n<span style=\"color: #ff6600;\">Abuu Yuusuf Sha\u2019baan Abuuhurairah<\/span> (Allah amuhifadhi)<\/p>","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Suali : Je ni kitu gani kilichoumbwa kabla ya vitu vyote? Jibu:\u00a0 Kwanza kabisa msingi na marejeo ya kujua mambo yaliyotokea huko nyuma ni Qur\u2019ani na sunnah (Hadithi za Mtume Muhammad (\ufdfa) na pia ufuhamu wa wanavyuoni wakubwa kuhusu hizo Aya na hadithi za Mtume (\ufdfa) Kwa hivyo, kutokana na hali hiyo wanavyuoni wametafautiana pakubwa [&hellip;]<\/p>","protected":false},"author":2,"featured_media":15967,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"_acf_changed":false,"give_campaign_id":0,"_bbp_topic_count":0,"_bbp_reply_count":0,"_bbp_total_topic_count":0,"_bbp_total_reply_count":0,"_bbp_voice_count":0,"_bbp_anonymous_reply_count":0,"_bbp_topic_count_hidden":0,"_bbp_reply_count_hidden":0,"_bbp_forum_subforum_count":0,"footnotes":""},"categories":[90],"tags":[],"class_list":["post-22131","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-mlango-wa-swala-fatawa-sw"],"acf":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/22131","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=22131"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/22131\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":23534,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/22131\/revisions\/23534"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media\/15967"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=22131"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=22131"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/uongofu.com\/en\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=22131"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}