ANACHOSEMA WAKATI WA KUCHINJA
بسم الله والله أكبر [ اللهم منك ولك ] اللهم تقبل مني
مسلم 3/1557 والبيهقي 9/287
[Kwa jina la Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Ewe Mwenyezi Mungu huyu (mnyama) anatoka kwako na niwako, Ewe Mwenyezi Mungu nitakabalie (nikubalie).] [Imepokewa na Muslim na Al-Bayhaqiy.]
ANACHOSEMA WAKATI WA KUCHINJA
![]() | Today | 3735 |
Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.