DUA KABLA YA KUJIMAI (KUMUINGILIA MKEO)
[ بسم الله ، اللهم جنبنا الشيطان وجنب الشيطان ما رزقتنا ]
البخاري 6/141 ومسلم 2/1028
[Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Ewe Mwenyezi Mungu tuepushe na shetani, na muepushe shetani na ulicho turuzuku] [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]
DUA KABLA YA KUJIMAI (KUMUINGILIA MKEO)
![]() | Today | 4493 |
Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.